Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Baada ya kutoka hapa uingie moja kwa moja chumbani, utanikuta nikukague!

Waiting.....!
Mkuu lako lilikuwa moja tu humu leo!
YNNAH anasubiri kauli yako
 
Mwenzangu YNNAH hongera sana kwa kufanya maamuzi hayo ya ki utu uzima!
Muda si mrefu na mimi nitaleta news kama hizi hapa jukwaani!
Halafu Mwanyasi ametangaza yako, yake lini?


Duuuuuuuuuuuuuuhhhhhhh,

Kumbe wewe ni mkali kiasi hicho??

Hilo jukumu atafanya mwenyekiti muda si mrefu kutoka sasa.....


Stay tuned,

Babu DC!!
 
Waefeso
5:22-24 "Enyi wake watiini
waume zenu kama kutii Bwana
wetu kwa maana mume ni
kishwa cha mkewe kama Kristo
naye nikichwa cha kanisa, naye
nimwokozi wa mwili. Lakini
kama vile kanisa limtiivyo Kristo
vivyo hivyo wake nao wawatii
waume zao katika kila jambo."

Hongera dada YNNAH
 
Last edited by a moderator:
Waefeso
5:22-24 "Enyi wake watiini
waume zenu kama kutii Bwana
wetu kwa maana mume ni
kishwa cha mkewe kama Kristo
naye nikichwa cha kanisa, naye
nimwokozi wa mwili. Lakini
kama vile kanisa limtiivyo Kristo
vivyo hivyo wake nao wawatii
waume zao katika kila jambo."

Hongera dada YNNAH
 
Last edited by a moderator:
hongera dada YNNAH Mwenyezi akujalie ndoa yenye baraka na amani
 
Last edited by a moderator:
Je naruhusiwa huyu Shemeji yetu aje nimfanyie rehersal? Nione jkama kweli Mpwa wangu atafaidi au lah? Hahahaa hongereni once again and my the Good God guide you throughout your life ....amen
na malazi yawe safi
hongera YNNAH kila la heri katika hatu hiyo muhim
 
YNNAHndio maana haonekani humu?hebu ni pm
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana na mungu aibariki familia yako kutokana na matakwa yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…