Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Hivi na wewe UPOGO?
Nilikuwa nimeanzisha msako maalum nikijua umeenda kwa Mwanyasi Tanga Wing, maana kuna kipindi nilimwona Dark City Arachuga akiwa na wewe, na majirani zako wakaniambia ni mshenga wako kwa Mwanyasi.
Kwakweli niliamini, maana DC akija chuga lazima atoe taarifa, lakini this time alipokuja alizima Simu kabisa.

Mwenyekiti usimwage kuku kwenye mchele kidogo!
Tumesema lazima tulipize! marejesho huwa anakuja kutembelea miradi yake
 
Last edited by a moderator:
Hii ni habari njema sn kwa WanaJf kwa Ujumla, lakini pia kwa A-Wing, maana tutaongezeka idadi.

Na sisi huku itatupasa kukaa kama kamati ya matumizi tuangalie mustakabali wa jambo hili.

Nichukue nafasi hii kumpongeza sana YNNAH kwa hatua njema sana ya kupata mwenza wa maisha.

Pia nitoe pole zangu za dhati kwa Tanga -Wing kwa kupoteza mwanawing wenu ambaye ni active sana.

Msisome hapa chini:
Kumbe ndiyo maana Ynnah amekuja Arusha mara 5 ndani ya October!

Hapa ni hongera tu!
Mpokeeni sawasawa!
Kwahiyo PakaJimmy mmeonana naye mara tano sio?
 
Last edited by a moderator:
Hivi na wewe UPOGO?
Nilikuwa nimeanzisha msako maalum nikijua umeenda kwa Mwanyasi Tanga Wing, maana kuna kipindi nilimwona Dark City Arachuga akiwa na wewe, na majirani zako wakaniambia ni mshenga wako kwa Mwanyasi.
Kwakweli niliamini, maana DC akija chuga lazima atoe taarifa, lakini this time alipokuja alizima Simu kabisa.

Taratibu na Mke wangu!
 
Last edited by a moderator:
Dada huyoo!! Anaolewaa! Maharii! Keshatolewa!! Haya wape hongera zao bibi na bwana harusi mtarajiwa!!
Hahahahaaaa Munkari umenichekesha sana aiseee
Umenikumbusha mwaka jana nilikuwa namuimbia mdada mmoja lol
Safi sana YNNAH huyooooooo anaolewaaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom