Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Hii ni habari njema sn kwa WanaJf kwa Ujumla, lakini pia kwa A-Wing, maana tutaongezeka idadi.

Na sisi huku itatupasa kukaa kama kamati ya matumizi tuangalie mustakabali wa jambo hili.

Nichukue nafasi hii kumpongeza sana YNNAH kwa hatua njema sana ya kupata mwenza wa maisha.

Pia nitoe pole zangu za dhati kwa Tanga -Wing kwa kupoteza mwanawing wenu ambaye ni active sana.

Msisome hapa chini:
Kumbe ndiyo maana Ynnah amekuja Arusha mara 5 ndani ya October!

Pole ya nini mkuu??

Umesahau ule msemo wa mshua??

Kula ili na wewe u.....

Jiandaeni kuyapokea mashambulizi....

Babu DC!!
 
Hii ni habari njema sn kwa WanaJf kwa Ujumla, lakini pia kwa A-Wing, maana tutaongezeka idadi.

Na sisi huku itatupasa kukaa kama kamati ya matumizi tuangalie mustakabali wa jambo hili.

Nichukue nafasi hii kumpongeza sana YNNAH kwa hatua njema sana ya kupata mwenza wa maisha.

Pia nitoe pole zangu za dhati kwa Tanga -Wing kwa kupoteza mwanawing wenu ambaye ni active sana.

Msisome hapa chini:
Kumbe ndiyo maana Ynnah amekuja Arusha mara 5 ndani ya October!

Hivi unaozesha au wewe mwenyekiti wa kumtoa mwali?
 
Last edited by a moderator:
Hivi unaozesha au wewe mwenyekiti wa kumtoa mwali?


Unajua kuna maswali mengine yanatia shaka sana....

Nakuomba PakaJimmy usijibu na hili....

Labda tu uchukue nafasi hii kumkaribisha kwenye shughuli yenyewe...

Babu ana kadi za complementary...

Babu DC!!
 
What a good news!!!!!!!!!

Kuolewa na kuoa ni jambo la kheri, tunaunga mkono uamuzi huu wa busara.
At the same time tutakaa na kumwandalia party ya kumkaribisha YNNAH kuwa mwana-wing wetu mpya rasmi kwani kama mwenyekiti PakaJimmy alivyosema hapo juu, last month only alikuja huku zaidi ya mara tano. Let alone miezi mingine ilopita.

Pia tutamwandalia send-off tukishirikiana na kamati husika.
 
mtu mzima mwenzangu, mimi naona anza kumwambia mleta uzi a-edit kama lengo ilikuwa ni kuweka viulizo....
kaiweka wazi sana.... yaani kabla ya kumsoma The Boss, mimi mwenyewe ndo nilielewa hivyo

Karibuni siku ya tukio! haya yote yatawekwa wazi!
Kwa sasa toeni pongezi na kutakia mema
 
Thubutu ......atanikumbuka....


Hahahahhahahhahahahah,

Hongera kama hujaishia kulamba midomo kama nyau aliyekosa maziwa...lol!!

Kwani masali yako yanatilisha huruma...Pole lakini..ndiyo dunia hiyo!!

Babu DC!!
 
Hayawi hayawi hayooo yamekaribia kuwa....Hongera bibie....
Hivi na wewe UPOGO?
Nilikuwa nimeanzisha msako maalum nikijua umeenda kwa Mwanyasi Tanga Wing, maana kuna kipindi nilimwona Dark City Arachuga akiwa na wewe, na majirani zako wakaniambia ni mshenga wako kwa Mwanyasi.
Kwakweli niliamini, maana DC akija chuga lazima atoe taarifa, lakini this time alipokuja alizima Simu kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom