Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
The Boss kauliza, sasa uchokozi hapa umetoka wapi?
unajua hata mimi nilitaka kuuliza hivyo!
Kwani hilo jambo ndo kitovu cha mada??
Naomba sana tusifanyiane fujo.....
Babu DC!! (Mwenyekiti)!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Boss kauliza, sasa uchokozi hapa umetoka wapi?
unajua hata mimi nilitaka kuuliza hivyo!
mtu mzima mwenzangu, mimi naona anza kumwambia mleta uzi a-edit kama lengo ilikuwa ni kuweka viulizo....Wambie wakafute hiyo kitu...
Mie nimeondoa kabisa...hatutaki fujo wala kuchokonoana kwenye hii thread...lol!!
Babu DC!!
Kwani hilo jambo ndo kitovu cha mada??
Naomba sana tusifanyiane fujo.....
Babu DC!! (Mwenyekiti)!!
fujo hapa inatoka wapi sasa?Kwani hilo jambo ndo kitovu cha mada??
Naomba sana tusifanyiane fujo.....
Babu DC!! (Mwenyekiti)!!
Mzee mwenzangu mbona uko defensive sana!??
Hongera zake! Wote wawili ni member wa jf? Walikutana hapa?
mtu mzima mwenzangu, mimi naona anza kumwambia mleta uzi a-edit kama lengo ilikuwa ni kuweka viulizo....
kaiweka wazi sana.... yaani kabla ya kumsoma The Boss, mimi mwenyewe ndo nilielewa hivyo
Hahahaahaah huo umbea sasa lol
Hahahaahaah huo umbea sasa lol
fujo hapa inatoka wapi sasa?
nitakufanya ukumbuke password yako iliyopotea ya PM, lol!
Ulikuwa na mpango nini!??
The Boss kwa uchokozi...... Hongera@YANNAH, Mungu akutangulie ktk maandalizi ya kuingia ktk hatua nyingine ya maisha, pole tanga wing kwa kupoteza member na hongera arusha wing kwa kumpata member mpya