Hayawi hayawi, Uwanja wa Bunju wa Simba FC, ujenzi wapamba moto

Hayawi hayawi, Uwanja wa Bunju wa Simba FC, ujenzi wapamba moto

Maisha Haya ni shiida, Rais wa Simba yuko zake ndani lkn huku nje wakina kaburu wanafanya yao. Kweli kila mtu hufa lwake
 
Watanzania Kwa Wivuuuu! Kwani Na Wao Si Wakatafute Bati Wakaezeke Kale Kadimbwi Kao Pale Jangwani!!
 
Moo FC kushangilia huo uwanja ni sawa na kushangilia ujauzito. Ujauzito sio mtoto.
 
Sasa huo ni uwanja au vumbi?mbona hatuko serious kwenye michezo?

Kuona Huoni Lakini Je Hufahamu?? Hivi Kuna Ujenzi Usio na Vumbi?? Na Ndiyo Maana Ukaitwa UWANJA kwasababu Ukitaka Kuje Ni Lazima Greda Litifue Ardhi.
Wivu Wenu Umezidi Nyie Wapiga Zoezi Dimbwini pale Jangwani.
 
Manji kaachia ngazi Yanga !!

'Natukanwa sana na baadhi ya matajiri ambao ni wapenzi wa Yanga. . Hawapendi mimi niwepo pale. . Pesa ni yangu natoa kwa mapenzi niliyonayo kwa klabu yangu. . Kwanini nitukanwe wakati sipati maslahi yoyote?najiuzulu". . Ni kauli ya mwenyekiti wa Yanga SC ambaye ametangaza kujiuzulu kufuatia kusakamwa na hasa baada ya kuomba kuichukua Yanga kwa miaka 10.

Hata hivyo kumekuwa na vikao mbalimbali kumsihi Manji abadili maamuzi yake lakini inaonekana amechoka na ameamua kuibwaga Yanga.Tayari Reginald Mengi ameonesha nia ya kuingia Yanga endapo Manji ataondoka. . Leo jioni baraza la wazee wanataraji kuwa na kikao na Mengi.

Tusubiri.
 
Manji kaachia ngazi Yanga !!

'Natukanwa sana na baadhi ya matajiri ambao ni wapenzi wa Yanga. . Hawapendi mimi niwepo pale. . Pesa ni yangu natoa kwa mapenzi niliyonayo kwa klabu yangu. . Kwanini nitukanwe wakati sipati maslahi yoyote?najiuzulu". . Ni kauli ya mwenyekiti wa Yanga SC ambaye ametangaza kujiuzulu kufuatia kusakamwa na hasa baada ya kuomba kuichukua Yanga kwa miaka 10.

Hata hivyo kumekuwa na vikao mbalimbali kumsihi Manji abadili maamuzi yake lakini inaonekana amechoka na ameamua kuibwaga Yanga.Tayari Reginald Mengi ameonesha nia ya kuingia Yanga endapo Manji ataondoka. . Leo jioni baraza la wazee wanataraji kuwa na kikao na Mengi.

Tusubiri.

Dah! Wazee Wa Madimbwini Naona Sintofahamu inanukia
 
Manji kaachia ngazi Yanga !!

'Natukanwa sana na baadhi ya matajiri ambao ni wapenzi wa Yanga. . Hawapendi mimi niwepo pale. . Pesa ni yangu natoa kwa mapenzi niliyonayo kwa klabu yangu. . Kwanini nitukanwe wakati sipati maslahi yoyote?najiuzulu". . Ni kauli ya mwenyekiti wa Yanga SC ambaye ametangaza kujiuzulu kufuatia kusakamwa na hasa baada ya kuomba kuichukua Yanga kwa miaka 10.

Hata hivyo kumekuwa na vikao mbalimbali kumsihi Manji abadili maamuzi yake lakini inaonekana amechoka na ameamua kuibwaga Yanga.Tayari Reginald Mengi ameonesha nia ya kuingia Yanga endapo Manji ataondoka. . Leo jioni baraza la wazee wanataraji kuwa na kikao na Mengi.

Tusubiri.
Duuh sikua nimeipata aisee. Kwa fitna na figisufigisu Mengi ni baba lao. Kama kweli habari hii ni ya kweli
 
Na mume wao Manji ameshawaacha solemba......huko jangwani....
Wakati mtaa wa msimbazi ndio nyota inawaka......
 
Jibu swali alafu uulize swali, haya Manji amejiuzuru huko, kaandamane arudi.
Wacha Kingu watema Kingu!!!!!! When a King dies another King reins!!!

Usihofu wala usichekelee; Yanga imekuwepo tangu zamani bila Manji na Yanga itaendelea kuwepo bila Manji.
 
Back
Top Bottom