Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
1658139671140.png

Leo ni siku ya Jumamosi Faustina Mfinanga na William Lyimo (Nandy na Billnass) wanafunga ndoa yao katika kanisa la KKKT usharioa wa Mbezi beach.

Awali wawili hawa walivishana pete ya uchumba na leo wanakwenda kuwa mwili mmoja, tayari maharusi wameshawasili kanisani na shamra shamra zinaendelea katika kukamioisha shughuli nzima.

Tuwaombee wawili hawa ndoa yao ikawe heri na baraka kwao na kwa familia nzima watakayojaliwa.

1657961840508.png

Screenshot_20220716-120800_Instagram.jpg
 
Daahh, Tulioneshwa Junior anachukungulia mlango sasa ndio ndoano inafuata...

Huyu mfungisha ndoa na hili kanisa linabariki ndoa ya namna hii...!!

Enewei, maharusi karibuni chamani!
 
Leo ni siku ya Jumamosi Nandera na Emmanuel ( Nandy na Billnass) wanafunga ndoa yao katika kanisa la KKKT usharioa wa Mbezi beach.

Awali wawili hawa walivishana pete ya uchumba na leo wanakwenda kuwa mwili mmoja, tayarimaharusi wameshawasili kanisani na shamra shamra zinaendelea katika kukamioisha shughuli nzima.

Tuwaombee wawili hawa ndoa yao ikawe heri na baraka kwao na kwa familia nzima watakayojaliwa.

Kwanini hawahamualika KOFI OLOMIDE a.k.a Papa mobimba?
 
Back
Top Bottom