mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
Sasa nandi analia Nini wakati anakataga mauno fiesta uwanja umetaapika leo kanisa hata halijaja analeta drama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa si kitu rahisi ,kulia ni hisia muacheni Alie, analia vingi ,Naamini watadumu Sana maana wamekutana wote sio wahuni,SEMA tu mama mtu ndo alikua analeta tamaa zake na ameshindwa kwa jina la Mungu aliye hai.Sasa nandi analia Nini wakati anakataga mauno fiesta uwanja umetaapika leo kanisa hata halijaja analeta drama
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwa Nini nawaombea Sana afu nawapenda mnoo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]natamani nisiskie ugomvi kwao ntakua disappointed mnoooApataye Mke apata kitu chema...
Ndoa yao ikadumu, Iwe na Amani na Iwe Mfano kwa 'Wasanii' wengine pia.
Mwenyewe nimefurahi sana Rey!!!nimefurahi kwa ajili yao....Sijui kwa Nini nawaombea Sana afu nawapenda mnoo[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]natamani nisiskie ugomvi kwao ntakua disappointed mnooo
Karanga zipo atameza tu vipi shida nini au usikue wote wanameza karangaKuwa nenga inataka moyo ndugu.. yaan unajua kabisa bwana wa unaetaka kuoa alidanja na naniliu na bado unakomaa tuu.. ndomana nandy anampenda sana jamaa sabab anajua mwamba amesacrifice maisha yake 100%.
Afadhali kamfukua mtaro na kamuoa,kuliko wengine wanaishia kudanga tuuHii nadhani ni ngoma mpya..
Kutoka kufukuana mitaro mpaka kuoana?
Nikiangalia naona real love kwao,Mungu awatetee mnoo,Mwenyewe nimefurahi sana Rey!!!nimefurahi kwa ajili yao....
Watoto wadogo wameweza kufanya mambo makubwa....Mungu awatangulie jamani...
Halafu umepotelea wapi wewe lakini?
Kivipi wakati apo ni mjamzito?Mtu anaenda bikiriwa
Yah!!!App Inatutesa mno...ila tunakomaa nayo tu hivyo hivyo..Nikiangalia naona real love kwao,Mungu awatetee mnoo,
Nipo SEMA jf siku hizi inazingua mnooo application inakera haswaa!!!