MasterP.
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 8,063
- 6,405
Watumishi wa Mungu zama hizi wana kazi sana. Ndoa inafungwa mimba kubwaaa inabidi tu wafumbe macho hivyo hivyo vinginevyo wakijifanya kuwa wakali watakosa wauminiDaahh, Tulioneshwa Junior anachukungulia mlango sasa ndio ndoano inafuata...
Huyu mfungisha ndoa na hili kanisa linabariki ndoa ya namna hii...!!
Enewei, maharusi karibuni chamani!