Hayawi hayawi yamekuwa, Bilinass na Nandy wafunga ndoa tar 16/7/2022 katika kanisa la KKKT Mbezi Beach

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731

Leo ni siku ya Jumamosi Faustina Mfinanga na William Lyimo (Nandy na Billnass) wanafunga ndoa yao katika kanisa la KKKT usharioa wa Mbezi beach.

Awali wawili hawa walivishana pete ya uchumba na leo wanakwenda kuwa mwili mmoja, tayari maharusi wameshawasili kanisani na shamra shamra zinaendelea katika kukamioisha shughuli nzima.

Tuwaombee wawili hawa ndoa yao ikawe heri na baraka kwao na kwa familia nzima watakayojaliwa.


 
Daahh, Tulioneshwa Junior anachukungulia mlango sasa ndio ndoano inafuata...

Huyu mfungisha ndoa na hili kanisa linabariki ndoa ya namna hii...!!

Enewei, maharusi karibuni chamani!
 
Kwanini hawahamualika KOFI OLOMIDE a.k.a Papa mobimba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…