Inawezekana Gara B alikuwa booked tayari...NC wangemuweka gara b,,,,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usikute Junior alianza kumpiga mateke
Sasa hivi tunamtetea kuwa aliungama ndipo akafunga ndoa, hapo hapo anaenda kukaa uchi ukumbini kwenye halaiki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes; alisema Nenga alitamani sana a-host harusi yao ila tarehe ilishakuwa bookedInawezekana Gara B alikuwa booked tayari...
Ila ile nguo Nandy alivaa ukumbini.... aibu niliona mimi....Sasa hivi tunamtetea kuwa aliungama ndipo akafunga ndoa, hapo hapo anaenda kukaa uchi ukumbini kwenye halaiki.
Hata kama ni staa, sio sawa. Angesubiri sherehe iishe akaendelee na maisha yake huko ya kistaa.
Yah....niliona jana kuna harusi Gara B alikuwa ana'host.... Naona nayo ilikuwa si haba...Yes; alisema Nenga alitamani sana a-host harusi yao ila tarehe ilishakuwa booked
Hivi mama Nenga ndiyo mnyaki au? Maana niliona wanyaki wanapaishws sanaIla ile nguo Nandy alivaa ukumbini.... aibu niliona mimi....
Mbele ya wazazi wake... Wazazi wa Nenga... kwa kweli hapana.
Eeh niliiona hiyo harusi, si haba kwa kweliYah....niliona jana kuna harusi Gara B alikuwa ana'host.... Naona nayo ilikuwa si haba...
Baadaye nikamuona Mlimani City tena kwenye Harusi ya Nenga kama Mualikwa tu.
Nadhani hivyo... Mama yake ni Mnyaki...Hivi mama Nenga ndiyo mnyaki au? Maana niliona wanyaki wanapaishws sana
Ila yule Aunty yake Nandy jamani[emoji28]....Maana yule siyo Shangazi....Hivi mama Nenga ndiyo mnyaki au? Maana niliona wanyaki wanapaishws sana
Ninavyowajua wanyaki, na gubu letu; Ile second dress ya Nandy, watakuwa wameongea jamani. Kama nawaona vile "aseeeeeeeeeeeee".Nadhani hivyo... Mama yake ni Mnyaki...
Baba yake Mtu wa Kaskazini... Old Moshi huko...
Rich Aunty vibes. Shangazi ana mbwembwe jamani uuhIla yule Aunty yake Nandy jamani[emoji28]....Maana yule siyo Shangazi....
Anakuambia ' Billnice'...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninavyowajua wanyaki, na gubu letu; Ile second dress ya Nandy, watakuwa wameongea jamani. Kama nawaona vile "aseeeeeeeeeeeee".
Ila Nandy na Nenga wanapendana jamani; Mungu akawatetee kwenye ndoa yao, wakawe na ndoa ya mfano kwa wasanii na hata wengine
Kwa kweli wale wengine ni Dada zake Baba....[emoji28][emoji28][emoji28]Rich Aunty vibes. Shangazi ana mbwembwe jamani uuh
Wengine wale ni mashangazi a.k.a dada zake baba[emoji16][emoji16][emoji16]
Nawajua ndugu zangu, huko sijui wameongeaje uwiiiiii. Siku aende sasa Kyela/Tukuyu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanyaki hamna jambo dogo nyie....
Wanapendana mno....Mungu awatangulie kwa kweli....
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Nawajua ndugu zangu, huko sijui wameongeaje uwiiiiii. Siku aende sasa Kyela/Tukuyu....
A big AMEN