Hayawi, Hayawi, Yamekuwa! Wakristo wa Uongo Tayari Wametokea

naomba niulize wewe ni msabato ?
 
Angalie
Angalieni mtu asije kuwadanganya, wengi watakuja kwa jina langu, wakisema ndiye Kristo, ndiye Kristo kwelii ,vilevile mimi ninasema vita mitetemo njaa vitatokea, watu watasalitiana vita huku na huko vyaja sikika
 
Angalie

Angalieni mtu asije kuwadanganya, wengi watakuja kwa jina langu, wakisema ndiye Kristo, ndiye Kristo kwelii ,vilevile mimi ninasema vita mitetemo njaa vitatokea, watu watasalitiana vita huku na huko vyaja sikika
wewe ni dheheb uh gani mkuu
 
Hapana. Yesu hakuoa. Mary Magdalene(Mariamu Magdalene) alikuwa mmojawapo wa kinamama waliomfuata Yesu na kumhudumia(Luka 8:1-3). Biblia inasema kwamba Yesu alimtoa pepo saba(Luka 8:2, Marko 16:9).
DAN Brown katika ,The Davince code,amesemaje pale?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…