Hayupo mwenye kuridhia Katiba Mpya kwenye Mitano yake ya Mwanzo

Hayupo mwenye kuridhia Katiba Mpya kwenye Mitano yake ya Mwanzo

Mtu safi mwenye hofu ya m/mungu anaanzaje kuogopa katiba?? Kiongozi ni mchungaji na kila mchungaji wataulizwa siku ya mwisho kwa vile vitu walivyovichunga,
.
Mtu mwizi/bandido hataweza kukubali katiba mpya

Ninakazia: "Hayupo rais wa CCM ataridhia katiba kubadilika kwenye awamu yake ya kwanza."

Sana sana kwenye mitano mingine na hapo kama tutakomaa kama alivyokomaliwa Mengele!
 
Rasimu ya mabadiliko ya Katiba ya Time ya Warioba na Katiba pendendekezwa vyote lazima kuna vifungu,maoni au mapendekezo yake mengine yatakuwa yameshapitwa na wakati.
Muhimu ni makubaliano miongoni mwa wananchi,tunaanzia pale alipoishia Mh.Warioba na tume yake na kuboresha zaidi kwa weledi tukiwa na sober minds.Siyo wengine hawataki wengine wanataka.Tunahitaji makubaliano zaidi kuliko kingine ili Tanzania irejee katika nafasi yake ya ukinara wa siasa za Haki na amani barani Afrika na Duniani.
Wanaokataa Katiba mpya wameidhoofisha sana nchi yetu.Tunaweza kutengeneza Katiba ya mfano kushinda wengine Ila ubishi na ubinafsi Wa wana CCM umeidumaza nchi yetu.
Nimekusoma hiyo paragraph ya kwanza sijakuelewa mahali, umezungumzia hizo Katiba mbili [Warioba na pendekezwa] kama zina mapungufu zifanyiwe mabadiliko.

Hapo najiuliza kwanini mabadiliko yafanyike kabla ya kupitishwa? ni kipi rahisi, kupitisha Katiba husika au kuzifanyia marekebisho sheria husika baada ya kupitishwa?

Kwa upande wangu, naona njia ya kwanza ni muhimu ianze kufanyika kwa kupitisha Katiba Mpya ASAP, na hapa tusidanganyane, ile pendekezwa haikuwa ya wananchi ilikuwa ya wana-CCM.

Waliileta makusudi ili kuviondoa vifungu vile walivyoona vitawabana wao na maslahi yao, lakini hayakuwa mahitaji ya watanzania, baada ya kupitishwa hii ndio yafanyike marekebisho uyatakayo kama yatakuwepo.

Kwasababu naamini ni ngumu sana kujua mapungufu ya kitu kama bado hujaanza kukitumia, kwanza ipitishwe itumike ikionekana kuna mapungufu ndio yafanyiwe amendments lakini sio kuanza na amendments kabla hujaipitisha.
 
Ikumbukwe katiba iliyopo iliasisiwa kwa lengo la kuufanya utawala wa CCM kuendelea kudumu.

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Rais gani wa CCM ataafiki uwezekano wa mabadiliko ya katiba ndani ya awamu yake ya kwanza katika 2 anazopewa?

Asijipende vipi mtu huyo?

Inawezekana ni kwa mantiki hiyo kwamba sarakasi hizi za katiba mpya iwe baada ya 2025 tunaziona sasa.

Mh. Rais Samia hana haja ya katiba mpya kwenye mitano hii labda kwenye ile mitano mingine!

Ni vizuri kuujua ukweli mchungu huu ili kuukubali au kuukataa.

Kunyoa au kusuka yote si ni uamuzi mikononi mwetu.

Stefano Mengele anajua vyema.
Woga na ulafi wa madaraka. Ndio sababu kubwa ya kutotaka
 
Nimekusoma hiyo paragraph ya kwanza sijakuelewa mahali, umezungumzia hizo Katiba mbili [Warioba na pendekezwa] kama zina mapungufu zifanyiwe mabadiliko.

Hapo najiuliza kwanini mabadiliko yafanyike kabla ya kupitishwa? ni kipi rahisi, kupitisha Katiba husika au kuzifanyia marekebisho sheria husika baada ya kupitishwa?

Kwa upande wangu, naona njia ya kwanza ni muhimu ianze kufanyika kwa kupitisha Katiba Mpya ASAP, na hapa tusidanganyane, ile pendekezwa haikuwa ya wananchi ilikuwa ya wana-CCM.

Waliileta makusudi ili kuviondoa vifungu vile walivyoona vitawabana wao na maslahi yao, lakini hayakuwa mahitaji ya watanzania, baada ya kupitishwa hii ndio yafanyike marekebisho uyatakayo kama yatakuwepo.

Kwasababu naamini ni ngumu sana kujua mapungufu ya kitu kama bado hujaanza kukitumia, kwanza ipitishwe itumike ikionekana kuna mapungufu ndio yafanyiwe amendments lakini sio kuanza na amendments kabla hujaipitisha.

Hapa nakusoma kuwa mchakato wa katiba mpya uanze ASAP.

Mengine ni details:

IMG_20220325_185419_284.jpg


Katiba Mpya: Kwanini CCM hawataridhia kirahisi
 
Ikumbukwe katiba iliyopo iliasisiwa kwa lengo la kuufanya utawala wa CCM kuendelea kudumu.

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Rais gani wa CCM ataafiki uwezekano wa mabadiliko ya katiba ndani ya awamu yake ya kwanza katika 2 anazopewa?

Asijipende vipi mtu huyo?

Inawezekana ni kwa mantiki hiyo kwamba sarakasi hizi za katiba mpya iwe baada ya 2025 tunaziona sasa.

Mh. Rais Samia hana haja ya katiba mpya kwenye mitano hii labda kwenye ile mitano mingine!

Ni vizuri kuujua ukweli mchungu huu ili kuukubali au kuukataa.

Kunyoa au kusuka yote si ni uamuzi mikononi mwetu.

Stefano Mengele anajua vyema.
Hii ni vicious circle. Anayeingia hataki kukubali kupunguziwa madaraka na anapotoka CCM hawataki awaachie bila madaraka. Kinachobaki ni umma kuamua wanataka nini. Hapo ndipo ninapokubaliana na Lissu kuwa njia mbadala inahitajika otherwise hawa maCCM watatuachia nchi ikiwa kwenye hali ya Sudan.
 
Hii ni vicious circle. Anayeingia hataki kukubali kupunguziwa madaraka na anapotoka CCM hawataki awaachie bila madaraka. Kinachobaki ni umma kuamua wanataka nini. Hapo ndipo ninapokubaliana na Lissu kuwa njia mbadala inahitajika otherwise hawa maCCM watatuachia nchi ikiwa kwenye hali ya Sudan.

Kuujua ukweli huo ni hatua njema sana
 
Nimekusoma hiyo paragraph ya kwanza sijakuelewa mahali, umezungumzia hizo Katiba mbili [Warioba na pendekezwa] kama zina mapungufu zifanyiwe mabadiliko.

Hapo najiuliza kwanini mabadiliko yafanyike kabla ya kupitishwa? ni kipi rahisi, kupitisha Katiba husika au kuzifanyia marekebisho sheria husika baada ya kupitishwa?

Kwa upande wangu, naona njia ya kwanza ni muhimu ianze kufanyika kwa kupitisha Katiba Mpya ASAP, na hapa tusidanganyane, ile pendekezwa haikuwa ya wananchi ilikuwa ya wana-CCM.

Waliileta makusudi ili kuviondoa vifungu vile walivyoona vitawabana wao na maslahi yao, lakini hayakuwa mahitaji ya watanzania, baada ya kupitishwa hii ndio yafanyike marekebisho uyatakayo kama yatakuwepo.

Kwasababu naamini ni ngumu sana kujua mapungufu ya kitu kama bado hujaanza kukitumia, kwanza ipitishwe itumike ikionekana kuna mapungufu ndio yafanyiwe amendments lakini sio kuanza na amendments kabla hujaipitisha.
Sorry Mkuu kama sijaeleweka,ila nilimaanisha kuwa Katiba tunayoipigania ni ile itakayokubalika na wananchi.Documents zipo ni suala la uamuzi wetu,tukianzia pale alipoishia Mzee Warioba ni vema sana lakini hatuwezi ichukua kama ilivyo baada ya marekebisho tutakayokubaliana au kama tunaanzia kwenye hatua ya katiba pendekezwa pia kuna marekebisho ya kufanywa ili ikubalike na wananchi wengi.
Hakuna njia ya mkato,tutabanana hadi katiba mpya ipatikane.
 
Sorry Mkuu kama sijaeleweka,ila nilimaanisha kuwa Katiba tunayoipigania ni ile itakayokubalika na wananchi.Documents zipo ni suala la uamuzi wetu,tukianzia pale alipoishia Mzee Warioba ni vema sana lakini hatuwezi ichukua kama ilivyo baada ya marekebisho tutakayokubaliana au kama tunaanzia kwenye hatua ya katiba pendekezwa pia kuna marekebisho ya kufanywa ili ikubalike na wananchi wengi.
Hakuna njia ya mkato,tutabanana hadi katiba mpya ipatikane.
Katiba Mpya hasa ile rasimu ya Warioba ndio ilikuwa ya wananchi, wale wajumbe wa tume iliyoundwa walizunguka nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi.

Sasa hii pendekezwa ya CCM unayotaka nayo iheshimiwe hiyo heshima itoke wapi? haistahili, ile haikuwa ya wananchi ilikuwa ya kikundi fulani cha watu, hapa sioni sababu za marekebisho kwenye issue ambayo ilikuwa batili.

Bado sijakuelewa kwanini unataka marekebisho kwenye Rasimu ya Warioba, unamaanisha wananchi wale waliotoa maoni yao wakati ule walikuwa hawajui wanachofanya?

Hapa naona matumizi yako ya neno "marekebisho" umeyaleta ili ujaribu kuleta usawa kwenye hizi Katiba mbili, unataka kuleta kuaminiana, lakini kwangu sioni sababu ya kufanya hivyo kwani ni sawa na kukubali uvunjifu wa sheria uwe halali.
 
Wale wanaoelewa kuhusu mambo ya gharama za kuendeleza mchakato wa Katiba wangejaribu kutoa hints zake. Hali ya uchumi inayo nyemelea dunia yetu kutokana na vita ya Ukraine na kabla ya hapo corona si rafiki hata kidogo. Gharama za katiba mpya kiuchumi zitaleta athari gani kwa taifa?

Wakati wa JPM alisema anashughulikia mambo ya uchumi kwanza na huko baadaye angali ona uwezekano wa katiba mpya. Na alishughulikia uchumi kweli kweli na mwenye macho haambiwi tazama.

Awamu hii bahati mbaya tunavyoambiwa na Viongoxi wetu imekuta tanesco inahitaji kushughulikia uchakafu wake na maboresho ya hiyo huduma kwa $1.9B. Kumbuka na JPM naye aliboresha ATCL na kukatokea ile kelele ya 1.5 trillion za kitanzania. Yule prof bado yuko ama kahama nchi? Tunge tafakari kama taifa je Katiba na haya mambo muhimu ya uchumi wa nchi kipi kipewe kipaumbele cha kwanza? Kweli katiba mpya inahitajika sana na serikali ya CCM ilisha anzisha mchakato wake na ulifikia hatua nzuri tu. Hapa ni wananchi waamue kunyoa ama kusuka.
 
Wale wanaoelewa kuhusu mambo ya gharama za kuendeleza mchakato wa Katiba wangejaribu kutoa hints zake. Hali ya uchumi inayo nyemelea dunia yetu kutokana na vita ya Ukraine na kabla ya hapo corona si rafiki hata kidogo. Gharama za katiba mpya kiuchumi zitaleta athari gani kwa taifa?

Wakati wa JPM alisema anashughulikia mambo ya uchumi kwanza na huko baadaye angali ona uwezekano wa katiba mpya. Na alishughulikia uchumi kweli kweli na mwenye macho haambiwi tazama.

Awamu hii bahati mbaya tunavyoambiwa na Viongoxi wetu imekuta tanesco inahitaji kushughulikia uchakafu wake na maboresho ya hiyo huduma kwa $1.9B. Kumbuka na JPM naye aliboresha ATCL na kukatokea ile kelele ya 1.5 trillion za kitanzania. Yule prof bado yuko ama kahama nchi? Tunge tafakari kama taifa je Katiba na haya mambo muhimu ya uchumi wa nchi kipi kipewe kipaumbele cha kwanza? Kweli katiba mpya inahitajika sana na serikali ya CCM ilisha anzisha mchakato wake na ulifikia hatua nzuri tu. Hapa ni wananchi waamue kunyoa ama kusuka.

Mkuu tusijaribu kulinganisha gharama za kuwa na katiba mbovu dhidi ya gharama za kuwa na katiba muafaka?

Kwamba zimekosekana pesa? Kwa hakika ni kukosekana kwa nia tu ndugu.

Au kama vipi, tufanye pamoja na matozo na matumizi fyongo yaliyopo nchini, wananchi tuchangie hata jero jero basi?

Hata tufanye kumbe huku tulikuwa tukilishana upepo tu:

IMG_20220303_102530_977.jpg
 
Mkuu unajaribu kulinganisha gharama za kuwa na katiba mbovu dhidi ya katiba muafaka?

Kwamba zimekosekana pesa? Siyo nia tu ndugu?

Au tufanye hivi pamoja na tozo na matumizi fyongo yaliyopo nchini wananchi tuchangie hata jero jero basi? Hapo napo vipi?

Kwani ina maana huku kumbe tulikuwa tukilishana upepo tu?

View attachment 2164906

Hapana nalinganisha uchafu wa ATCL na Tanesco jinsi vilivyo parrallel kwa hizi awamu mbili 5 &6 za CCM. "A parallogram strategy."
 
Hapana nalinganisha uchafu wa ATCL na Tanesco jinsi vilivyo parrallel kwa hizi awamu mbili 5 &6 za CCM. "A parallogram strategy."

Mkuu suala la gharama na katiba mpya ni kisingizio tu.

Kimsingi kwa usongo wake wananchi tuko tayari kuchangia.
 
Katiba Mpya hasa ile rasimu ya Warioba ndio ilikuwa ya wananchi, wale wajumbe wa tume iliyoundwa walizungukwa nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi.

Sasa hii pendekezwa ya CCM unayotaka nayo iheshimiwe hiyo heshima itoke wapi? haistahili, ile haikuwa ya wananchi ilikuwa ya kikundi fulani cha watu, hapa sioni sababu za marekebisho kwenye issue ambayo ilikuwa batili.

Bado sijakuelewa kwanini unataka marekebisho kwenye Rasimu ya Warioba, unamaanisha wananchi wale waliotoa maoni yao wakati ule walikuwa hawajui wanachofanya?

Hapa naona matumizi yako ya neno "marekebisho" umeyaleta ili ujaribu kuleta usawa kwenye hizi Katiba mbili, unataka kuleta kuaminiana, lakini kwangu sioni sababu ya kufanya hivyo kwani ni sawa na kukubali uvunjifu wa sheria uwe halali.

Hapa kuna suala la makubaliano zaidi. Ni kweli kuwa katiba ya Warioba na pendekezwa, ya Warioba ni bora zaidi.

Hata hivyo ikizingatiwa ya Warioba nayo itakuwa imepitwa na wakati, maboresho mle itakuwa muhimu.

Isisahaulike kujadili details wakati kuanza kwa mchakato wenyewe bado Samia hataki, kujadili details yaweza kuwa sawa na kutukana mamba kabla ya kuvuka mto.
 
Hapa kuna suala la makubaliano zaidi. Ni kweli kuwa katika ya Warioba na pendekezwa, ya Warioba ni bora zaidi.

Hata hivyo ikizingatiwa ya Warioba nayo itakuwa imepitwa sana na wakati, maboresho mle itakuwa muhimu.

Isisahaulike kujadili details wakati kuanza kwa mchakato wenyewe bado Samia hataki, ni sawa na kutukana mamba kabla ya kuvuka mto.
Kukubali makubaliano kati ya hizo rasimu mbili za Katiba ni kuwatusi wananchi, kuyadharau mapendekezo yao, na zaidi mnatengeneza mazingira yatakayoendelea kulea uminywaji haki kwani kutaka usawa na kikundi cha kibinafsi chenye maslahi yao pekee kwangu ni kuzunguka mbuyu.
 
Kukubali makubaliano kati ya hizo rasimu mbili za Katiba ni kuwatusi wananchi, kuyadharau mapendekezo yao, na zaidi mnatengeneza mazingira yatakayoendelea kulea uminywaji haki kwani kutaka usawa na kikundi cha kibinafsi chenye maslahi yao pekee kwangu ni kuzunguka mbuyu.

Hayapo majadiliano baina ya mbili hizo. Kumbuka inafahamika kuwa:

IMG_20220325_185419_284.jpg


Leo kuna reality zaidi kwa tuliyoyaona zaidi (hata na kina Tiganga tu) ambayo hayakuonekana 2014.

Reference document ya kuanzia ni vizuri kuwa ile ya Warioba.

Hata hivyo kumbuka majadiliano ya details zozote kwa sasa ni sawa na kumtukana mamba kabla ya kuvuka mto.

Kumbuka Samia hautaki mchakato huu na Zitto yuko kazini:

Kanuni Mpya vyama vya Siasa zinazotaka kupenyezwa
 
Ikumbukwe katiba iliyopo iliasisiwa kwa lengo la kuufanya utawala wa CCM kuendelea kudumu.

Kidumu Chama cha Mapinduzi.

Rais gani wa CCM ataafiki uwezekano wa mabadiliko ya katiba ndani ya awamu yake ya kwanza katika 2 anazopewa?

Asijipende vipi mtu huyo?

Inawezekana ni kwa mantiki hiyo kwamba sarakasi hizi za katiba mpya iwe baada ya 2025 tunaziona sasa.

Mh. Rais Samia hana haja ya katiba mpya kwenye mitano hii labda kwenye ile mitano mingine!

Ni vizuri kuujua ukweli mchungu huu ili kuukubali au kuukataa.

Kunyoa au kusuka yote si ni uamuzi mikononi mwetu.

Stefano Mengele anajua vyema.
Hataridhia ila sisi wananchi ndio tumeitaka.
 
Kukubali makubaliano kati ya hizo rasimu mbili za Katiba ni kuwatusi wananchi, kuyadharau mapendekezo yao, na zaidi mnatengeneza mazingira yatakayoendelea kulea uminywaji haki kwani kutaka usawa na kikundi cha kibinafsi chenye maslahi yao pekee kwangu ni kuzunguka mbuyu.
Wananchi walishamaliza kazi yao kupitia kazi pevu ya Jaji Warioba.
 
Back
Top Bottom