Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
-
- #461
Hahahahha nimecheka!!!Asisahau kuandaa na machela hihiiiihi na dawa ya vidondaAmfute machozi au ampe machozi!!.. Inabidi aende kozi ya utayari miezi mitatu kwa rashidi matumla, aongeze juhudi za kuangalia movie za jack chan, statham, boyka n.k ndani kwake asikose cd za kina tyson, muhammad ali nakadharika.
[emoji23] [emoji23]
Mimi najitolea kuwa mdhamini harusi yao ila kwa sharti moja tu la kufunga automatic kamera yenye kujizima wakiwa wana kwichi kwichi na kujiwasha wakiwa wanatwangana, nimechoka kulipia dstv ngumi zenyewe a.j akipigana leo mpaka mwakani.Hahahahha nimecheka!!!Asisahau kuandaa na machela hihiiiihi na dawa ya vidonda
Mimi ni wa mihogo, nsasa,mlenda na ugali wa muhogo,mimi ni wa jembe(kilimo ni uti wa mgongo),mimi ni wa uji wa ulezi na viazi vitamu.Nyie si wale wa ...you know my dad is yugala he got bags.
AsanteeMimi ni wa mihogo, nsasa,mlenda na ugali wa muhogo,mimi ni wa jembe(kilimo ni uti wa mgongo),mimi ni wa uji wa ulezi na viazi vitamu.
Raha yako kuona wenzio wanatwangana[emoji23] siku hizi wakurya hawatwangani tena.Ni mahaba kama Tanga vileMimi najitolea kuwa mdhamini harusi yao ila kwa sharti moja tu la kufunga automatic kamera yenye kujizima wakiwa wana kwichi kwichi na kujiwasha wakiwa wanatwangana, nimechoka kulipia dstv ngumi zenyewe a.j akipigana leo mpaka mwakani.
Asante hii vipi bebeAsantee
Umenitajia vitu vyangu kabisa hapo babeAsante hii vipi bebe
Duh!! Hawa watakuwa wakurya wa google.Raha yako kuona wenzio wanatwangana[emoji23] siku hizi wakurya hawatwangani tena.Ni mahaba kama Tanga vile
Hahahahha nimecheka!!!Asisahau kuandaa na machela hihiiiihi na dawa ya vidonda
Au nikupe na we mmoja uprove mwenyewe?Duh!! Hawa watakuwa wakurya wa google.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ntafungua hospitali kabisa ndani yenye vitengo vyote vya mifupa hadi moyo.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Umenitajia vitu vyangu kabisa hapo babe
Mimi ni wa mihogo, nsasa,mlenda na ugali wa muhogo,mimi ni wa jembe(kilimo ni uti wa mgongo),mimi ni wa uji wa ulezi na viazi vitamu.
Hapana nashukuru kwa ofa yako mwanana..Au nikupe na we mmoja uprove mwenyewe?
Hutaki toto la kikurya we ni mbaguzi wa kabila eeeSitaki toto la kikurya ila kama ni wa hiyo sampuli kama yako ntapiga moyo konde. Nifanyie maarifa rafiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapana nashukuru kwa ofa yako mwanana..
Nimedhamilia huu mwaka niupitishe chuku chuku, bado miezi kadhaa nifikishe mwaka,[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wifi wa kikuryaaaa loooohNaona ngekewa ya mkurya inataka kunidondokea. Mjiandae kupokea wifi
Hutaki toto la kikurya we ni mbaguzi wa kabila eee
Njoo tutete basi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]loooh naona umeamua kutupaaa madongee pambana tu mkuu hakuna namna