Hazina acheni kuitumia CRDB na kuiacha NMB. Watumishi mmeona kinachoendelea

Hazina acheni kuitumia CRDB na kuiacha NMB. Watumishi mmeona kinachoendelea

Watumishi wa serikali wale ambao mishahara inapitia bank ya CRDB kuanzia saa tano salary imesoma ila wale wa NMB mpaka Sasa hakuna jipya

Maswali Kuna Nini nyuma ya haya mambo zamani CRDB mtumishi akiomba loan walikuwa hawana masharti ya mshahara upitie bank yao ila Sasa hivi CRDB hawatoi loan kwa mtumishi ambaye mshahara haupiti kwao hapa ndio maswali huibuka nani ana maslahi na hii bank
Usiseme uhongo Mimi nipo CRDB na mshahara uliingia saa mbili usiku Jana
 
Mpaka Sasa Kuna watumishi wengi tu ambao mishahara yao wanachukua NMB hawajapata Chao.....naona wanamchezea mama Hawa hazina.
 
Mimi Niko CRDB mpaka muda huu salary haijasoma kabisa ,Ila Kuna Jamaa kanipigia Jana jion kuwa yeye kapata saa sita mchana na salary yake inapitia NMB.

Mi naona Kuna shida tu imeanza kujitokeza huko hazina ,tokea mwez wa 11 huu ujinga ulianza kujitokeza ,yaan badala ya kwenda mbele Zaid tunarud nyuma.

Note: hapa hakuna Cha upendeleo wa bank fulan Zaid kitengo Cha malipo hazina Kuna namna wameanzisha huu ujinga wao wa kusubirishana had kwa siku moja au mbili km kipindi Cha nyuma huko.

Utaratibu uliokuwepo ulikua mzuri Sana yaan salary ikianza kutoka saa sita mchana Basi kufikia saa moja jion au mbili usiku kila mtu anakua ashapata Ila kwasasa ni upumbavu tu unaendelea huko hazina
 
Mtu yoyote yawa kawaida hata fanya kazi Serikalini au mstaafu ukijaribu kumwambia mambo ya capital investment unamchanganya.Hali ngumu sana .Angalia mwalimu au nesi aliyeko Mababa Kasulu anayaelewa hayo?Wafanyakazi wanadhalilishwa kijinsia mpaka kadi za Benk zinasalimishwa madukani.Hivi mnaojadili Hali hii mmeenda pembezoni mwa Tanzania? Tumwombee maono Mama Samia aingilie tatizo hili.Kuna wastaafu hivi pensheni Yao ni fixed hakuna adjustment? Say Mwalimu aliyestaafu 1990 na anayestaafu 2023 kuna uwiano? TPB ilitapeli au kuwarubuni wastaafu wachukue mikopo kupitia dhamana ya pensheni / hazina sasa wametoswa hakuna Toup hadi mwaka upite.Hii ni halali?
Mimi Nashauri Serikali hili swala la mishahara na Wastaafu litafutiwe ufumbuzi au vizazi vitatoweka haraka
 
Ujui lolote zaidi ya force and demand tulia
Shida ya Umaskini ndio hii. Dunia ya sasa ulisikia serikali gani ina ingilia biashara? Unajua mkataba wa CRDB na Govt ukoje? Unajua muajiri bora nchini ni nani? Au una fikiria tu hicho kimshahara chako cha laki 6 tu ukajua ndio Fikira za Dunia ziliko? Bado una mawazo ya Kijamaa kuwa serikali ina Dictate everything! Wake up!
 
Shida ya Umaskini ndio hii. Dunia ya sasa ulisikia serikali gani ina ingilia biashara? Unajua mkataba wa CRDB na Govt ukoje? Unajua muajiri bora nchini ni nani? Au una fikiria tu hicho kimshahara chako cha laki 6 tu ukajua ndio Fikira za Dunia ziliko? Bado una mawazo ya Kijamaa kuwa serikali ina Dictate everything! Wake up!
Ujui lolote nje ya mavitabu uliyoyasoma shule uku field mambo ni tofauti na ujuavyo nyamaza hii nchi usione hivi zaidi na ujuavyo
 
Soko linapaswa kuwa huria, Serikali haipaswi kuibeba NMB au CRDB.

Nmb pia wazito sana hata kwenye akaunti za makampuni. Ni wazuri kwenye mikopo ila utendaji binafsi sina experience nzuri na wao.
 
Shida ya Umaskini ndio hii. Dunia ya sasa ulisikia serikali gani ina ingilia biashara? Unajua mkataba wa CRDB na Govt ukoje? Unajua muajiri bora nchini ni nani? Au una fikiria tu hicho kimshahara chako cha laki 6 tu ukajua ndio Fikira za Dunia ziliko? Bado una mawazo ya Kijamaa kuwa serikali ina Dictate everything! Wake up!
Laki sita anaipataje mkuu.acha masihara kama hana mkopo na hajawahi kukopa hata load bord bas anachkua 513k.kama ana mkopo anabakiw a na 270k.akutanishe mwez mwingine
 
Mimi Niko CRDB mpaka muda huu salary haijasoma kabisa ,Ila Kuna Jamaa kanipigia Jana jion kuwa yeye kapata saa sita mchana na salary yake inapitia NMB.

Mi naona Kuna shida tu imeanza kujitokeza huko hazina ,tokea mwez wa 11 huu ujinga ulianza kujitokeza ,yaan badala ya kwenda mbele Zaid tunarud nyuma.

Note: hapa hakuna Cha upendeleo wa bank fulan Zaid kitengo Cha malipo hazina Kuna namna wameanzisha huu ujinga wao wa kusubirishana had kwa siku moja au mbili km kipindi Cha nyuma huko.

Utaratibu uliokuwepo ulikua mzuri Sana yaan salary ikianza kutoka saa sita mchana Basi kufikia saa moja jion au mbili usiku kila mtu anakua ashapata Ila kwasasa ni upumbavu tu unaendelea huko hazina
hata mimi niko crdb mpaka muda huu amna kitu mshahara unatoka kwa mafungu mafungu
 
Mtoa mada uko sahihi, kuna jambo lipo ila halijawekwa wazi.
 
Back
Top Bottom