Habarini za wakati huu wakuu
Niliona sehemu mtandaoni wanauna kadubwasha kanaitwa "HDTV Antenna" kana uwezo wa kupata idadi kubwa cha tv channels kwa kukaweka katika muelekeo fulani kama dish.Nimevutiwa kukanunua ila sina hakika kama kwa nchi ya Tanzania kanaweza fanya kazi au la.Kwa wenye uzoefu nacho naombeni tuchangie mawazo.
Asanteni.
View attachment 1114192