Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
25 bossAge yako?
Shukrani naenda kuscan hii comment1. Afya yako ya akili unaitunza kwa kuepuka kufanya mambo ambayo hayatakutengenezea hali ya uraibu.
2. Kukubali uhalisia na usijiumize kwa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako.
3. Epuka madeni
4. Ishi kadri ya uwezo wako
Afya ya mwili
1. Kula kwa muda.
2. Fanya mazoezi
3.Epuka tamaa &jifunze kujicontrol
5.usipime kwa macho.
Kila la heri mkuuShukrani naenda kuscan hii comment
Umeipatia hii ni elimu kubwa umetoa1. Afya yako ya akili unaitunza kwa kuepuka kufanya mambo ambayo hayatakutengenezea hali ya uraibu.
2. Kukubali uhalisia na usijiumize kwa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako.
3. Epuka madeni
4. Ishi kadri ya uwezo wako
Afya ya mwili
1. Kula kwa muda.
2. Fanya mazoezi
3.Epuka tamaa &jifunze kujicontrol
5.usipime kwa macho.
Lastborn rekebisha hapo no 3,serikali yenyewe ina madeni,binadamu yeyote ni muhimu kuwa na deni stahimilivu ili liwe linachangamsha akili isiwe dumavu😅1. Afya yako ya akili unaitunza kwa kuepuka kufanya mambo ambayo hayatakutengenezea hali ya uraibu.
2. Kukubali uhalisia na usijiumize kwa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako.
3. Epuka madeni
4. Ishi kadri ya uwezo wako
Afya ya mwili
1. Kula kwa muda.
2. Fanya mazoezi
3.Epuka tamaa &jifunze kujicontrol
5.usipime kwa macho.
Kama n hivyo sawa dada mkubwa acha lastborn nikakope wakubwa zangu mtanisaidia kulipa nikishindwa😅Lastborn rekebisha hapo no 3,serikali yenyewe ina madeni,binadamu yeyote ni muhimu kuwa na deni stahimilivu ili liwe linachangamsha akili isiwe dumavu😅
Hapo uhakika hiyo point 3 nayo n muhimu sana.Umeipatia hii ni elimu kubwa umetoa
Cha kuongezea
1.Kunywa maji ya kutosha
2.Kula nutrient food.
3.Kupunguza junk foods k na bidhaa zenye sukari nying hasa za viwandani
4.kupata muda wa kupumzika pia
Tuko na wewe!Huko Somalia ukitaka mkw unaulizwa status yako ya madeni ukiwa na clean sheet hupati mke unaonekana mzembe mtoto wao atalala na njaa😂😂😂Kama n hivyo sawa dada mkubwa acha lastborn nikakope wakubwa zangu mtanisaidia kulipa nikishindwa😅
Hii kali itabidi nihamie huko 😂Tuko na wewe!Huko Somalia ukitaka mkw unaulizwa status yako ya madeni ukiwa na clean sheet hupati mke unaonekana mzembe mtoto wao atalala na njaa😂😂😂
🤣🤣🤣Hii kali itabidi nihamie huko 😂
Mkuu,1. Afya yako ya akili unaitunza kwa kuepuka kufanya mambo ambayo hayatakutengenezea hali ya uraibu.
2. Kukubali uhalisia na usijiumize kwa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako.
3. Epuka madeni
4. Ishi kadri ya uwezo wako
Afya ya mwili
1. Kula kwa muda.
2. Fanya mazoezi
3.Epuka tamaa &jifunze kujicontrol
5.usipime kwa macho.
Dada mkubwa Joannah kanielekeza pia, basi yasiwe yale madeni yasiolipika. Kopa lipa kwa wakati ili kujenga uaminifuMkuu,
Unawezaje kuishi bila madeni? Kwamba upo free hudaiwi hata kidogo.?
Kama serikali yetu sikivu ina deni stahimilivu...sisi ni nani tusiwe na deni...Happy new year shem darlingMadeni himilivu mkuu🤣🤣
Binafsi nakopa kwa kujiamini kabisa, najua serikali yangu itanilipia niki-default🤣🤣🤣Kama serikali yetu sikivu ina deni stahimilivu...sisi ni nani tusiwe na deni...Happy new year shem darling