Mwami Ntale
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 855
- 2,264
Mungu ampe wepesiKwa wale wapenzi wa mieleka ya WWE, mkali wa mchezo huo Roman Rain ametangaza kujivua ubingwa wa Universal Championship kutokana na kuugua saratani ya damu -Leukemia. Jambo hiki limeleta simanzi kubwa kwa wapiganaji wenzake na mashabiki pia.
Sambamba na hili, Dean Ambrose aliamua kumshambulia Seth Rollins mara baada ya wawili hao kuwashinda Drew McIntire na Dolf Ziggler na kutwaa mkanda wa Raw Tag Team Championship. Sijaelewa sababu za Dean kufanya hivyo.
Wapigaji wengine wako wap siku hizi yaani kila siku walewaleDahh mimi. now days hata huwaga sifuatilii maana huwaga naona kuwa huo mchezo umepoteza mvuto "..
enzi za kina Cena ' Randy Orton " undertaker" stone cold .Shawn Michael .batista. triple H .Umaga . etc
ndio ilikuwaga balaa patashika nguo kuchanika
Kweli aisee maana Roman ni mpiganaji mzuri. Sasa Stroman atapata kutamba, maana Roman alikuwa kikwazo kikubwa kwake.Mashindano yatapoteza mvuto wapiganaji wenyewe ni wachache na uyu akitoka si majanga
Dahh mimi. now days hata huwaga sifuatilii maana huwaga naona kuwa huo mchezo umepoteza mvuto "..
enzi za kina Cena ' Randy Orton " undertaker" stone cold .Shawn Michael .batista. triple H .Umaga . etc
ndio ilikuwaga balaa patashika nguo kuchanika
Lakini bado burudani iko palepale! The Shield ni moja kati ya makundi yenye wapiganaji mahili kabisa, lakini sasa limevunjika rasmi!Dahh mimi. now days hata huwaga sifuatilii maana huwaga naona kuwa huo mchezo umepoteza mvuto "..
enzi za kina Cena ' Randy Orton " undertaker" stone cold .Shawn Michael .batista. triple H .Umaga . etc
ndio ilikuwaga balaa patashika nguo kuchanika
iko pale pale ndio lakini imepungua ushawishi na ufanisiLakini bado burudani iko palepale! The Shield ni moja kati ya makundi yenye wapiganaji mahili kabisa, lakini sasa limevunjika rasmi!
Alikuwa anajua sana huyo jamaa ' wiki kadhaa zilizipita nili jaribu kuangalia lakini nikashindwa" nikaona kama wananipotezea muda tuNilikuwa namwelewa Bobby Lashley, alivyoondoka niliacha kwa kiasi kikubwa.
Enzi za jina Randy Orton.
wengine wame staafu" wengine wana jihusisha na uchezaji movies". nadhani shirikisho lao" lilishindwa kuwaandaa watu wengine hodari kama wale waliopita" ndio maana huo mchezo ni kama ume flop .. ila wangejiandaa vyema Aisee ingekuwa ni hatari sanaWapigaji wengine wako wap siku hizi yaani kila siku walewale
Ndoto za Strowman kutamba zinakuja kuzimwa na Brock Lesnar![emoji30][emoji30][emoji30]Kweli aisee maana Roman ni mpiganaji mzuri. Sasa Stroman atapata kutamba, maana Roman alikuwa kikwazo kikubwa kwake.
Lashlay karudi siku nyingi, na siku hizi anawanyoosha sanaNilikuwa namwelewa Bobby Lashley, alivyoondoka niliacha kwa kiasi kikubwa.
Enzi za jina Randy Orton.
Lashlay karudi siku nyingi, na siku hizi anawanyoosha sana
Alikuwa anajua sana huyo jamaa ' wiki kadhaa zilizipita nili jaribu kuangalia lakini nikashindwa" nikaona kama wananipotezea muda tu
Nilikuwa namwelewa Bobby Lashley, alivyoondoka niliacha kwa kiasi kikubwa.
Enzi za jina Randy Orton.
TNA hakuwa na mshindani kul, alikuwa anapiga tu... sasa karudi kwenye business WWEAlienda TNA, nikawa naangalia game zake baadae nikaachana nao.
Jamaa alikuwa mzee wa spears.
Kila siku wanarudia rudia tu dah, Yes yes yes yes kila sura mpya hakuna alafu na maelezo ni mengiwengine wame staafu" wengine wana jihusisha na uchezaji movies". nadhani shirikisho lao" lilishindwa kuwaandaa watu wengine hodari kama wale waliopita" ndio maana huo mchezo ni kama ume flop .. ila wangejiandaa vyema Aisee ingekuwa ni hatari sana