Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Wajamaaee! Nchi hii amani imetoweka... Vibaka full swing kila kona?
Pole Mkuu Miss Heavan on Earth, Mwenyezi Mungu akuafu na awe na wewe 24/7 ..poleni jamiiforums
Mtihani huu upite bila madhara na Madhilaa kwetu sote....!
 
sio kila alie humu ni mwema...pengine mleta thread ana maana nzuri ya kiusalama
 
Dah habari za kusikitisha sana,Mungu amponye huko aliko.Jana tu tulikua naye kwenye thread flani kumbe kapatwa na majanga jioni.
 

mpe pole sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…