Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yombo v, Lumo
Wewe mleta uzi,
unatueleza kuhusu zahama iliyompata H.O.E harafu hutaki watu wajue
hospitali alipolazwa ili wakamjulie hali, wewe unataka wafanyaje? kama
unaona wanajf hawaaminiki si ni afadhari usingesema tu.
unakuta mtu mpo nae hospitali ila mnashindwa kujuliana hali, eti kwa
sababu tu ya kuendeleza utamaduni wa kutofahamiana miongoni mwetu!
Pole sana my da H.O.E
Ndugu Jamaa na Marafiki.
Nasikitika kutoa taarifa juu ya madhira aliyokutana nayo dada na ndugu yetu HEAVEN ON EARTH jana usiku.
Akiwa anaelekea nyumbani kwake jana usiku alivamiwa na vibaka/majambazi na kumjeruhi vibaya sana.
Toka alipopatwa na madhira hayo mpaka mchana huu bado hawajeza kuongea, naomba tushirikiane kumuombea ili matibabu anayopata yaweze kumrejeshea nguvu na afya yake.
Nitakapopata taarifa za ziada nitawajuza.
UPDATE
Hatimaye amefanikiwa kuongea mchana huu, inatia matumaini kwamba afya yake inahimarika kwa upesi.