Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Sintoweza kueleza hospitali aliyolazwa mpaka nipate hidhini yake. samahani sana Mkuu.

mbona ulishaitaja? Rudi kwenye mchango wako wa kwanza hapo juu! Tutajie pia wodi namba, maana akina dada/mama waliolazwa hapo ni wengi!
 
mbona ulishaitaja? Rudi kwenye mchango wako wa kwanza hapo juu! Tutajie pia wodi namba, maana akina dada/mama waliolazwa hapo ni wengi!

Mkuu, nilitaja Hospitali baada ya kupata hidhini yake, kwa sasa amekwishatoka na anaendelea vizuri.Karibu.
 
GWS
..


lakini apunguze matusi kwa watu wazima humu jukwaani!e inaleta mikosi Sana kutukana watu wazima bila kosa lolote!
 
Sangarara na Vin Diesel ebu wekeni wazi Heaven on Earth amevamiwa na vibaka/wezi/majambazi sehemu gani? Alikuwa kwenye gari au kwa mguu? Alivamiwa nyumbani kwake au njiani wakati anarudi? Je ameporwa vitu gani? Nani aliyejua kama kavamiwa na hajitambui(kama alikuwa peke yake)? Isije ikawa kala vya watu wakaamua kumu-ulimboka!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu Heaven on Earth alivamiwa na vibaka wakati anarudi nyumbani akitokea kwenye function ya rafiki yake...nimezungumza nae na atakuja jukwaani hapa kuweka taarifa sahihi....as long as she is doing well sidhani kama itakuwa vyema nikimsemea....just be patient....utapata majibu yote hata zaidi ya yale umeuliza...
VD
 
Last edited by a moderator:

Tuwe wavumilivu, siku akionekana humu ndani naamini atakuwa kwenye nafasi ya kutoa maelezo kamili kama ataona inafaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…