R.I.P mdada
R.I.P mdada
Sintoweza kueleza hospitali aliyolazwa mpaka nipate hidhini yake. samahani sana Mkuu.
mbona ulishaitaja? Rudi kwenye mchango wako wa kwanza hapo juu! Tutajie pia wodi namba, maana akina dada/mama waliolazwa hapo ni wengi!
R.I.P mdada
Mkuu, nilitaja Hospitali baada ya kupata hidhini yake, kwa sasa amekwishatoka na anaendelea vizuri.Karibu.
Sangarara na Vin Diesel ebu wekeni wazi Heaven on Earth amevamiwa na vibaka/wezi/majambazi sehemu gani? Alikuwa kwenye gari au kwa mguu? Alivamiwa nyumbani kwake au njiani wakati anarudi? Je ameporwa vitu gani? Nani aliyejua kama kavamiwa na hajitambui(kama alikuwa peke yake)? Isije ikawa kala vya watu wakaamua kumu-ulimboka!
Sangarara na Vin Diesel ebu wekeni wazi Heaven on Earth amevamiwa na vibaka/wezi/majambazi sehemu gani? Alikuwa kwenye gari au kwa mguu? Alivamiwa nyumbani kwake au njiani wakati anarudi? Je ameporwa vitu gani? Nani aliyejua kama kavamiwa na hajitambui(kama alikuwa peke yake)? Isije ikawa kala vya watu wakaamua kumu-ulimboka!