Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Kila binadamu ana haki ya kuishi I feel sorry for what happened to her.
Last few days somebody was been shot dead but the reaction was different to this , why because she was Indian lady,
Get well soon HoE
 

Kama ndivo basi kuna umuhimu wa kuanzia hapo
 
Last edited by a moderator:
Sasa nilitaka tupitishe ka mchango toka kwa wana jf ndiyo itakuwaje kama hataki tumtembelee hospitalini? Hata hivyo ninampa pole nyingi mwenyezi Mungu amponye na aweze kuendelea na ujenzi wa taifa letu ambalo kila mwaka tunaambiwa ni changa halikui.
 

Kwa Huzuni tumepokea taarifu hii:- Pole kwa wanaJF na Pole nyingi kwa dada mpendwa HOE. Kwa pamoja tunanyanyua mikono juu kuomba kwa Moula akuponyeshe haraka na atulinde sote.AMIN
utainuka haraka.
 
Pole sana H.O.E wishing you early recovery....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…