Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

Jamani pole sana my wii
Mwenyezi Mungu akusaidie upone haraka!

Na hao vibaka haooo............
 
Wewe mleta uzi, unatueleza kuhusu zahama iliyompata H.O.E harafu hutaki watu wajue hospitali alipolazwa ili wakamjulie hali, wewe unataka wafanyaje? kama unaona wanajf hawaaminiki si ni afadhari usingesema tu.
unakuta mtu mpo nae hospitali ila mnashindwa kujuliana hali, eti kwa sababu tu ya kuendeleza utamaduni wa kutofahamiana miongoni mwetu!
Pole sana my da H.O.E
 
Pole sana Heaven on Earth. Au alikutana na wale vijana wa mbwamwitu wa Yombo na Kiwalani? Apone haraka, amen.
 
Sasa nilitaka tupitishe ka mchango toka kwa wana jf ndiyo itakuwaje kama hataki tumtembelee hospitalini? Hata hivyo ninampa pole nyingi mwenyezi Mungu amponye na aweze kuendelea na ujenzi wa taifa letu ambalo kila mwaka tunaambiwa ni changa halikui.
Mkuu hapo kwenye red inamaanisha kama halikui basi limedumaa khaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…