Heaven on earth mke wangu kipenzi, nahisi ametekwa mbona simuoni humu ndani?

Unataka kusema kuwa sasa hv watu hawapendani nini mkuu! watu wanapendana tena sana pengine kuliko zamani, ila kilichobadilika kwa sasa ni terms and conditions basi mkuu hakuna kingine, sasa hv mapenzi ni matamu sana kuliko zamani asikwambie mtu!

Nimeelewa Mkuu
 
nilipata mshtuko wa ghafla ujue!!
Pole sana, unajua mama mwenye mabinti warembo ndo husumbuliwa sana na wanaume, kila akienda huku oooh ma'mkwe akifanya vile ooh ma'mkwe yote ni ishara ya matunda mema aliyo nayo! hivyo usiogope ni ishara njema ya uhusiano mzuri tuliona nao!
i miss you Heaven on earth popote ulipo plz njoo, nakupenda tafadhali jamani, na wewe hakika unajua hili!

nimemmis jamani huyu mrembo, sijui kanipa nn hadi nakosa raha kama simwoni!
 
Last edited by a moderator:

ngoja nikuitie
we Heaven on earth wewe
mwenzio povu lamtoka we upo kimya
shost njoo huku bana!!
 
Last edited by a moderator:
^^
UNDENIABLE
Öndoa shaka kabisaaa Heaven on earth yupo anakutazama,amejaa tabasamu anaona jinsi ambavyo unatetea pendo lako kwako.
Usisikilize ya watu,,habari aliyoleta Lady doctor ni kutikisa kiberiti tu
^^
 
Last edited by a moderator:

Ofisini kwangu sina kumbukumbu zinazoonyesha ndoa yako, are you sure?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kama ni muona mahala, sikumbuki wapi?

Ayaaaaa kabanga bhana! nipe faraja mkuu sio kunirusha tena roho hivi! nipo taabani hapa nilipo, just imagine tangu tarehe 8 july sina mawasiliano na wife wangu Heaven on earth, unahisi nina hali gani sasa mkuu! very terrible kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Hajakaguliwa wewe!
Filipo anamkagua mida hii akimaliza atakuja,

N:B
Ukaguzi wake utachukua siku kadhaa yapaswa uwe na subira mkuu...
 
Last edited by a moderator:

jamani shem Himidini mie nipo namba yangu si unayo
sema tu nilikuwa siko hewani
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…