UNDENIABLE
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 2,326
- 1,314
- Thread starter
- #21
kumbe figganigga siku hizi ndio
ananaliu na Heaven on earth loooooz!!
Aaaa wapi, hizi ni propaganda tu mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe figganigga siku hizi ndio
ananaliu na Heaven on earth loooooz!!
nilipata mshtuko wa ghafla ujue!!Aaaa wapi, hizi ni propaganda tu mkuu!
Unataka kusema kuwa sasa hv watu hawapendani nini mkuu! watu wanapendana tena sana pengine kuliko zamani, ila kilichobadilika kwa sasa ni terms and conditions basi mkuu hakuna kingine, sasa hv mapenzi ni matamu sana kuliko zamani asikwambie mtu!
Nimeelewa Mkuu
Pole sana, unajua mama mwenye mabinti warembo ndo husumbuliwa sana na wanaume, kila akienda huku oooh ma'mkwe akifanya vile ooh ma'mkwe yote ni ishara ya matunda mema aliyo nayo! hivyo usiogope ni ishara njema ya uhusiano mzuri tuliona nao!nilipata mshtuko wa ghafla ujue!!
Mwimbie haka kawimbo pengine atakusikia:
Heaven on earth
Siku uliyoondoka, uliniacha nalia na machozi.
Umekwenda kuishi mbali nami, Heaven on earth wa mamaaaa.
Sipati usingizi, nikikumbuka tulivyoishi mimi nawe Heaven on earthaaaa.
Ooo Heaven on earth
Nawasalimu nyote WanaCC!
Mke wangu Heaven on earth simwoni humu ndani kwa muda wa siku kadhaa sasa, hii ni baada ya kupata safari ya kwenda kijijini kwetu sitimbi kwenda kumsalimia bibi! Nimekuwa nikimwona mara nyingi akibeng' humu ndani lakini tangu obama alipotua humu nchini amekuwa akionekana kwa nadra sana! ni wasiwasi na akina mshana jr na kundi lake maana kipindi fulani walijaribu kurusha mawe kutest kasimamaje kwenye penzi letu!
Plz kuna zawadi nono kwa yeyote atakayefanikiwa kunipa taarifa sahihi za upatikanaji wake!
Zawadi ya pikipiki aina ya boxer mpya, na verossa mpya pamoja na pesa taslimu za sh. bilioni moja(zimbabwean dollar) zipo kwa yeyote atakayesaidia! Kwa wale wenzangu waislamu plz, allah atakusamehe makosa yako yote kipindi hiki cha mfungo!
Popote ulipo mke wangu Heaven on earth jitokeze nikubusu mpenzi, sikuoni kabisa humu ndani! Hata hivyo bibi anakusalimu sana!
Plz naombeni ushirikiano wenu!
Ahsanteni sana!
CC: Himidini
^^
UNDENIABLE
Öndoa shaka kabisaaa Heaven on earth yupo anakutazama,amejaa tabasamu anaona jinsi ambavyo unatetea pendo lako kwako.
Usisikilize ya watu,,habari aliyoleta Lady doctor ni kutikisa kiberiti tu
^^
kama ni muona mahala, sikumbuki wapi?
^^
Ngoja tukute tunaimba huu wa Ray C
,,
Uko wapi nikufuate,
Niambie nipajue,
Angalau nikuone,
Roho yangu itulie,
..
Najiuliza kila siku wapi pa kukupata,
Ni muda sasa hatujaonana,
Napata shida sana,
Nataka niwe nawe,
Ntakupataje pataje,
Nawe huonekani.
..
Heaven on earth
Nipe simu ya mkononi,
Au barua pepee,
Niondokane na mawazo,
Ya kukuwaza wewee!
^^
Mwimbie haka kawimbo pengine atakusikia:
Heaven on earth
Siku uliyoondoka, uliniacha nalia na machozi.
Umekwenda kuishi mbali nami, Heaven on earth wa mamaaaa.
Sipati usingizi, nikikumbuka tulivyoishi mimi nawe Heaven on earthaaaa.
Ooo Heaven on earth