Heaven on earth mke wangu kipenzi, nahisi ametekwa mbona simuoni humu ndani?

Heaven on earth mke wangu kipenzi, nahisi ametekwa mbona simuoni humu ndani?

Hahahaaaaa utaisoma namba kaka!!! Chezeya zongo weye.! Mtoto ninaye mahbubah tuko malibu tunakula vyetu ...na hilo zawadi lako?!! Khe 2billion Zimdollar hahahaaaaa hahahaaaaa hahahaaaaa

sasa jamani mshana jr mbona nilikuuliza kama una kifua ukasema eenhe
kwanini umenigeuka umekuja kusema huku wakati nilikwambia iwe siri yako!!!!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana, unajua mama mwenye mabinti warembo ndo husumbuliwa sana na wanaume, kila akienda huku oooh ma'mkwe akifanya vile ooh ma'mkwe yote ni ishara ya matunda mema aliyo nayo! hivyo usiogope ni ishara njema ya uhusiano mzuri tuliona nao!
i miss you Heaven on earth popote ulipo plz njoo, nakupenda tafadhali jamani, na wewe hakika unajua hili!

nimemmis jamani huyu mrembo, sijui kanipa nn hadi nakosa raha kama simwoni!

jamani UNDENIABLE wangu mie nipo!!!!
kweli kupendwa raha sijaonekana siku 2
natafutwa hivi!!!!!!!!!!!!!!!!!

hapo kwenye red ni mapenzi tu ya kitanga
niliyofundwa na bibi yangu!!!
 
Last edited by a moderator:

la haula ya jalali we mwana
sa toka umefungiwa c umekua mwalabu kama si mzungu
halafu shost niliomba id ya pl
ifungwe kabisa maana pamoja na kubadilishiwa paswad
mchezo uliendelea,but naw ndio nishakua dismynder1 bila kupenda
kuepuka shida na matatizo ya walimwengu!!
 
Hajakaguliwa wewe!
Filipo anamkagua mida hii akimaliza atakuja,

N:B
Ukaguzi wake utachukua siku kadhaa yapaswa uwe na subira mkuu...

jamani ukaguzi wa huyu Filipo ni nomaa
hivi ni mimi tu au na wengine pia ni hivi hivi!!!!!!

Shem kiwatengu ukaguzi wenyewe haujakamilika
ulikuwa ukaguzi wa siku 2 lakin kaongeza hadi wiki!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
^^
Heaven on earth
Haa! Usiwe unajificha hujui mwenzio UNDENIABLE
Chakula hakula,kazunguka mitaa yote ya Jf hakuoni,,but I trust in ur wisdom,,siku nyingine utamuarifu.
Halafu pelekeni file kwa Baba V muishi wote,,macho kodo mitaani ujue.
^^
 
Last edited by a moderator:
Busara zako tu kaka! naziheshimu sana! huyu mtu ana busara tuache zongo plz! Ahsante sana mkuu Himidini!

^^
Aaa! UNDENIABLE hapo umenipendelea,,wapo wenye busara mpaka mvua inanyesha kiangazi!! Jambo moja nalipenda kwako ni uwezo wa kuweka wazi unachoamini pasipo kulazimisha jambo,dalili ya kuamua mambo kwa hekima..ALL IN ALL Heaven on earth amerudi,,si unajua tena mambo ya wanawake,alikuwa anapima unampenda kiasi gani!
^^
 
Last edited by a moderator:
^^
Heaven on earth
Haa! Usiwe unajificha hujui mwenzio UNDENIABLE
Chakula hakula,kazunguka mitaa yote ya Jf hakuoni,,but I trust in ur wisdom,,siku nyingine utamuarifu.
Halafu pelekeni file kwa Baba V muishi wote,,macho kodo mitaani ujue.
^^

nimekuelewa my shem,ushauri wako ntazingatia

hao wa macho kodo waache tu waendelee kuwa kodo
file kwa mwenyekiti next week litakuwa limemfikia
 
yaani my girl dismynder1 kuna mtu alinifunga sehem
mwezi wa ramadhani umeanza ndo kaniachia!!!!!!!

sasa jamani mshana jr mbona nilikuuliza kama una kifua ukasema eenhe
kwanini umenigeuka umekuja kusema huku wakati nilikwambia iwe siri yako!!!!

Hapa napaswa kufanya maamuzi ya hekima kabla ya dk 30 kupita!
Heaven on earth Heaven on earth Heaven on earth Heaven on earth @ heaven on earth Heaven on earth

"a man with no codes is never a man, my code is 'independent' "
"an easily predictable man can never win a survival battle and he deserve death, i must win a battle so not to die"
Himidini Himidini Himidini Himidini @ himidini Himidini Himidini Himidini Himidini Himidini Himidini
 
Last edited by a moderator:
Hapa napaswa kufanya maamuzi ya hekima kabla ya dk 30 kupita!
Heaven on earth Heaven on earth Heaven on earth Heaven on earth @ heaven on earth Heaven on earth

"a man with no codes is never a man, my code is 'independent' "
"an easily predictable man can never win a survival battle and he deserve death, i must win a battle so not to die"
Himidini Himidini Himidini Himidini @ himidini Himidini Himidini Himidini Himidini Himidini Himidini

^^
Yeess!! Here you stand again,,I LOVE IT
^^
 
Last edited by a moderator:
jamani ukaguzi wa huyu Filipo ni nomaa
hivi ni mimi tu au na wengine pia ni hivi hivi!!!!!!

Shem kiwatengu ukaguzi wenyewe haujakamilika
ulikuwa ukaguzi wa siku 2 lakin kaongeza hadi wiki!!!!!!

hahahaha umenichekesha sana..afu mbona nilikusikia ukilalalamika sana?
alizidisha manjonjo au?

nshaongea na marejesho kila kitu sawa uko huru kumaliziwa shem
 
Back
Top Bottom