UPDATE: Jana zimelipuka pager, leo zimelipuka radiocall
ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,
Sehemu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.
Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.
ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,
Sehemu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.
Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.