Hebollah inafikiria kutumia njiwa na simu za Kamba kuwasiliana kwa hofu ya Israel kudukua mawasiliano, location na kuweka vilipuzi kwenye simu

Hebollah inafikiria kutumia njiwa na simu za Kamba kuwasiliana kwa hofu ya Israel kudukua mawasiliano, location na kuweka vilipuzi kwenye simu

Palipo na Mrusi,iran mchina hakishindikani kitu subiri uone hizbollah bado ipo sana tu. Shida kwamba device za Western na us saivi zitakua haziaminiki tena. Huwei anaenda kupasua anga saivi ngoja

Hapo sio uwezo device Mkuu.......unajua kilichotokea......! Mosad walifungua kampuni ya siri, bila kujua Hizbolah akaaingia mkenge wa kununua toka "authorized dealer" Ambaye akaziwekea explosives! Hii inaweza kufanyika kwenye device yoyote ile!

Ni Teknolojia gani imetumika kumuua Haniyeh Iran?Ni akili tu na ujuzi wa kijasusi! Halafu kumbuka Page ni teknolojia ya zamani Mkuu! Hamas aliamua kuitumia kukwepa simu, maana ni ngumu kuidukua!
 
Nassallah kachekesha watu leo.. Eti Amewashushua Israel as if mpango wao wa kuua Hezbollah 4000 kwa wakati mmoja wamefeli... Hivi kuna kiongozi hapo kweli.. yaani watu wamesubiri speech tokea jana and kaongea kama shoga
 
UPDATE: Jana zimelipuka pager, leo zimelipuka radiocall

ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,


Sehemu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.

Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.
View attachment 3099825

View attachment 3099556
Ndio enzi za ujima aliousema Netanyau
 
UPDATE: Jana zimelipuka pager, leo zimelipuka radiocall

ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,


Sehemu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.

Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.
View attachment 3099825

View attachment 3099556
Wewe jamaa umenifanya nicheke
 
Hapo sio uwezo device Mkuu.......unajua kilichotokea......! Mosad walifungua kampuni ya siri, bila kujua Hizbolah akaaingia mkenge wa kununua toka "authorized dealer" Ambaye akaziwekea explosives! Hii inaweza kufanyika kwenye device yoyote ile!

Ni Teknolojia gani imetumika kumuua Haniyeh Iran?Ni akili tu na ujuzi wa kijasusi! Halafu kumbuka Page ni teknolojia ya zamani Mkuu! Hamas aliamua kuitumia kukwepa simu, maana ni ngumu kuidukua!
Hezbollah hawana vifaa vya ku detect explosives?
 
Ndio enzi za ujima aliousema Netanyau
Na kuishi kwanye Mapango sio zama za mawe hizo? maana hawatakaa watoke kama wanaendelea na upuuzi wa kuua watu na watasimamisha shughuli zao na ndio kinachoendelea saivi
 
Back
Top Bottom