Wakiristo wa jf mnatabika sanaEwe njiwa ewe njiwa (Peleka salamu)
Kwa Hezbollah kwa Hebollah (siwezi tumia simu)
Sehmu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.
Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.
View attachment 3099556
View attachment 3099559
Huhitaji kuwa muislam, mkristo, budhah, mhindu, n.k. kutambua wanachofanya hezbollah ni ugaidiWakiristo wa jf mnatabika sana
Ugaidi wa hisbullah ni upi? Hisbullah anafanya nini ambapo sreal hawafanyi?Huhitaji kuwa muislam, mkristo, budhah, mhindu, n.k. kutambua wanachofanya hezbollah ni ugaidi
Hezbollah wanatarget raia,, Israel wanatarget Hebollah.Ugaidi wa hisbullah ni upi? Hisbullah anafanya nini ambapo sreal hawafanyi?
Wakiristo wa jf hunifurahisha sana mawazo yao. Kama mawazo ndio haya tupo mbali sana kupata maendeleoHezbollah wanatarget raia,, Israel wanatarget Hebollah.
Hezbollah yupo tayari kujitoa muhanga kuua raia, Israel anaweka bomu lenye mlipuko mdogo kwenye vifaa vya hezbollah kwa lengo la kuwaua magaidi pekee bila kudhuru raia wengine
Mnawaishwa Mapema uko Mbinguni ili Mkapate Mabikra 700 kutoka Kwa Allah Wenu Mvaa MakobaziWakiristo wa jf hunifurahisha sana mawazo yao. Kama mawazo ndio haya tupo mbali sana kupata maendeleo
ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
wemueleze afahamu kwamba Mina napata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,
Sehmu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.
Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba,
Hizbollah kwa jinsi jana walivyopasuliwa mibusha na mibawasiri hata kutumia majini yao kuwasiliana wanaogopa itakuwa wanaamini majini yapo hackedewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,
Sehmu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.
Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.
View attachment 3099556
View attachment 3099559
Hisbullah hawana maarifa.Ugaidi wa hisbullah ni upi? Hisbullah anafanya nini ambapo sreal hawafanyi?
Mcheki mwamba hapo chini mkombozi wa uislamu na waislam.Ugaidi wa hisbullah ni upi? Hisbullah anafanya nini ambapo sreal hawafanyi?
Kumbe wewe ni Mhindi.Mcheki mwamba hapo chini mkombozi wa uislamu na waislam.
Siyo mwengine ni Imaam Hussein Ibn Ali (AS). Kupitia yeye tumepewa Tawfiq/Tawfeek the ability and opportunity to succeed tuna uhakika wa Jannah na Firdaus.
Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali (AS).
Pagers ππππΏ
View attachment 3099691
Al maktoum
Pagers maamaee πππ π€£ππΏππΏππΏKumbe wewe ni Mhindi.
Na maria yupo?Mnawaishwa Mapema uko Mbinguni ili Mkapate Mabikra 700 kutoka Kwa Allah Wenu Mvaa Makobazi
Majini nayo yamegoma???ewe njiwa ewe njiwa peleka salamu x2
umueleze afahamu kwamba nnapata tabu,
hali yangu mahamumu maradhi yamenisibu,
Sehmu kubwa ya mission za Israel kufanikiwa kuwaangamiza Hamas ilikuwa ni kudukua simu zinazotumia internet au minara ya simu, Hezbollah waliona watumie vifaa vinavyotumia mawimbi ya radio lakini bado wakadukuliwa na kulipuliwa viuno.
Kwa hali ya sasa imebidi kuchukua tahadhari kuepukana na teknolojia za kisasa na kurudi kwenye teknolojia za zama za kale mfano kutumia Njiwa kupeleka jumbe, kutumia simu za kamba, n.k.
View attachment 3099556
View attachment 3099559
Wakiristo wa jf hunifurahisha sana mawazo yao. Kama mawazo ndio haya tupo mbali sana kupata maendeleo