Hebollah inafikiria kutumia njiwa na simu za Kamba kuwasiliana kwa hofu ya Israel kudukua mawasiliano, location na kuweka vilipuzi kwenye simu

Palipo na Mrusi,iran mchina hakishindikani kitu subiri uone hizbollah bado ipo sana tu. Shida kwamba device za Western na us saivi zitakua haziaminiki tena. Huwei anaenda kupasua anga saivi ngoja

Hapo sio uwezo device Mkuu.......unajua kilichotokea......! Mosad walifungua kampuni ya siri, bila kujua Hizbolah akaaingia mkenge wa kununua toka "authorized dealer" Ambaye akaziwekea explosives! Hii inaweza kufanyika kwenye device yoyote ile!

Ni Teknolojia gani imetumika kumuua Haniyeh Iran?Ni akili tu na ujuzi wa kijasusi! Halafu kumbuka Page ni teknolojia ya zamani Mkuu! Hamas aliamua kuitumia kukwepa simu, maana ni ngumu kuidukua!
 
Nassallah kachekesha watu leo.. Eti Amewashushua Israel as if mpango wao wa kuua Hezbollah 4000 kwa wakati mmoja wamefeli... Hivi kuna kiongozi hapo kweli.. yaani watu wamesubiri speech tokea jana and kaongea kama shoga
 
Ndio enzi za ujima aliousema Netanyau
 
Wewe jamaa umenifanya nicheke
 
Hezbollah hawana vifaa vya ku detect explosives?
 
Ndio enzi za ujima aliousema Netanyau
Na kuishi kwanye Mapango sio zama za mawe hizo? maana hawatakaa watoke kama wanaendelea na upuuzi wa kuua watu na watasimamisha shughuli zao na ndio kinachoendelea saivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…