tumegundua kuwa bidada alijidharirisha sana katika kuwalea wadogo zake japo hajazungumza kwa namna gani, ila pia imemuuma kusikia mwanamke mwenzake anajidharirisha tena ili apate simu?Wachambuzi wa maudhui katika fasihi andishi mmegundua nini katika andiko la huyu bidada
Sharobaro tu hawezi kulea mwanamke bado dunia haijamcharazaKaa naye chini umwambie unaujua ujinga wake.Hivyo atulie na kujipanga kwa majukumu ya malezi kwa mtoto mtarajiwa.
Hivi baba mtu unajisikiaje...kuwa chips kavu ndio ilimlteta mtoto dunianiMambo mengine huwa sijui mnayafukunyua ya nini,mtoto kashazaliwa basi,afadhali huyo kazaliwa kwa sababu ya simu,je ukikutana aliyezaliwa kwasababu ya chipsi kavu utasemaje
Kuna mwingine kazaliwa kwa sababu mama yake alilewa baada ya kunywa bia za ofaMambo mengine huwa sijui mnayafukunyua ya nini,mtoto kashazaliwa basi,afadhali huyo kazaliwa kwa sababu ya simu,je ukikutana aliyezaliwa kwasababu ya chipsi kavu utasemaje
Mwisho wa siku huyo mtoto unamuona kama chipsi kavu au unamuona kama mtoto?Hivi baba mtu unajisikiaje...kuwa chips kavu ndio ilimlteta mtoto duniani
yaan mimi nimlelee kitoto ambacho amekizaa kwa kuhonga simu msichana toka familia duni, Pesa zake ndio ziharabu maisha ya huyo binti....nakwambia ataishi na huyo mtoto wake mimi sileiJapo sio mlengwa wa kundi lilioulizwa ila naweza jibu tu " it was written. Haijalishi kwa njia Gani.
tatizo litakua mindset yako tu.
Umeniweza....hahahah ila inaumiza etiMwisho wa siku huyo mtoto unamuona kama chipsi kavu au unamuona kama mtoto?
Umekunywa maji leo?Kasongo yeyee..mombali nangaa,, kasongo mbona wewooh,,songali nangaa,,wo- yeyee,, kasongo mbona weweeeh,,mbona wewoooooh!!???
Mbona wewoooooh!!?Umekunywa maji leo?
Kuna duka karibu hapo unywe majiMbona wewoooooh!!?
Hatar ya mama yake kama anaeee..
Kasongo yeyee
Yani umeona ugumu kisa sababu za mtoto kuzaliwa ni sababu ya simu mtu kuhongwa ndio iwe tatizo? Na wenyewe wadogo zako wangekukataa ulivyojidhalilisha ili uwaleee? Shame on you. Tatufa sababu nyingine ya kukataa kulea sio huu utumbo😏😏yaan mimi nimlelee kitoto ambacho amekizaa kwa kuhonga simu msichana toka familia duni, Pesa zake ndio ziharabu maisha ya huyo binti....nakwambia ataishi na huyo mtoto wake mimi silei
Kasongo yeyee..mombali nangaa,, kasongo mbona wewooh,,songali nangaa,,wo- yeyee,, kasongo mbona weweeeh,,mbona wewooooohKuna duka karibu hapo unywe maji
Hatari sana.Kasongo yeyee..mombali nangaa,, kasongo mbona wewooh,,songali nangaa,,wo- yeyee,, kasongo mbona weweeeh,,mbona wewoooooh!!???
Maisha ya kitoi yanaweza kuwa magumu kwa sababu atakua bila mwongozo wa kutosha kutoka kwa mzazi aliyekomaaYani umeona ugumu kisa sababu za mtoto kuzaliwa ni sababu ya simu mtu kuhongwa ndio iwe tatizo? Na wenyewe wadogo zako wangekukataa ulivyojidhalilisha ili uwaleee? Shame on you. Tatufa sababu nyingine ya kukataa kulea sio huu utumbo😏😏
mada two in oneWachambuzi wa maudhui katika fasihi andishi mmegundua nini katika andiko la huyu bidada
Home Arusha, baba Mngoni, Mama Mchaga naitwa Marytina
Hebu fikiria kama ulizaliwa kwa sababu mama yako alihitaji Simu, akarubuniwa na ukazaliwa wewe tena ukazaliwa wa kiume
Jana nilienda kumtembea mdogo wangu wa KIUME , nilipofika kuna kitu kikaniambia usibishe hodi sogea mlangani, Nikamsikia 100% akiongea kwa simu....kile kidemu nilikihonga SIMU kikapata mimba sijui ntafanyeje kimejifungua nataka nikaongee na Shemeji (Mume wangu) nimwombe sister alee kitoto kwani mazingira ya kile kidemu ni duni sana ataniharibia mtoto.
Hawa wadogo zangu niliwalea (tukiwa KENYA tulipokuwa tumetorokea baada ya BABA kukamatwa) kwa shida sana. Nilijidhalilisha ili wale kipindi BABA .MAMA naye alikamatwa na kuletwa Tanzania Gerezani.
Hivi nakuuiza na nawauliza wanaume wote kwa nin hamjali maisha ya wenzenu. Je au na nyie mlizaliwa kwa MAMA zenu kurubuniwa na SIMU, tatizo ni vile kujua sababu iliyochangia kuja duniani
Humo Kuna mambo mengi sanamada two in one
Baba & mama gerezanii.....()tumegundua kuwa bidada alijidharirisha sana katika kuwalea wadogo zake japo hajazungumza kwa namna gani, ila pia imemuuma kusikia mwanamke mwenzake anajidharirisha tena ili apate simu?
Hapo tukichambua zaidi makosa ya kiufundi tunaona aliyehongwa ana makosa makubwa kuliko muhongaji