ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Bao ni bao tu iwe umerubuniwa au umependa kwa maamuzi yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na akili timamu wakati anafanya hilo jambo. Ajifunge mkanda kama wababa wafanyavyo aache kucheza na maisha yake na uzao wake, la sivyo anaweza kujikuta na yeye anaishia jelanilee ili afanye tena kwa mwingine?
Hapana, kuna shida hapa. Usimtetee kwa maamuzi yake, unamuendekeza. Mtoto wa kiume sifa ni kujishughulisha kwa chochote kitu. Katika usharobaro wake, alee kilicho chakeSharobaro tu hawezi kulea mwanamke bado dunia haijamcharaza
1.Baba ba mama gerezani....YES baba aliwekwa korokoroni TZ, Mama na sisi tukatorokea Kenya baadae Mama akakamatwa na kuunganishwa na Baba kwenye ile kesiBaba & mama gerezanii.....()
Nliwatunza wadogo zangu.....()
Changamoto za mdogo wake....()
Mtoa mada yupo Kenya familia yake ipo Tanzania....()
Mim namsubiri kwa hamu ntamwambia sio alee tu aoe kbs staki bebea watu majukumu ya kijitakia nimlee yeye na mwanae?Alikuwa na akili timamu wakati anafanya hilo jambo. Ajifunge mkanda kama wababa wafanyavyo aache kucheza na maisha yake na uzao wake, la sivyo anaweza kujikuta na yeye anaishia jela
Nadhani labda ni sababu ya kukosa kuona mfano hai/uwepo wa baba akaona wanaume wanavyotakiwa kuwa, anaona ni jukumu la mwanamke kuhudumia familia kama ambavyo ulikuwa ukifanya wakiwa wadogo. Na hata akikufuata, muelezee tu kwa upendo lakini kwa msimamo kuwa inampasa kuhudumia mtoto wake
Kazi anayo ila ujana mwingi mpaka namwonea huruma huyo binti....amepanga mbali na home ili tusiwe tunajua mienendo yake sasa yamemkutaHapana, kuna shida hapa. Usimtetee kwa maamuzi yake, unamuendekeza. Mtoto wa kiume sifa ni kujishughulisha kwa chochote kitu. Katika usharobaro wake, alee kilicho chake
Maskini ya Mungu anayezalisha mwenyewe ana hela ya kuhonga tu ila hata uwezo wa kulea hana anatarajia Dada yake ndiye amlelee...mwisho wa siku huyo dogo atabanduliwa nyuma ataishia kuwa shoga tu.Jana nilienda kumtembea mdogo wangu wa KIUME , nilipofika kuna kitu kikaniambia usibishe hodi sogea mlangani, Nikamsikia 100% akiongea kwa simu....kile kidemu nilikihonga SIMU kikapata mimba sijui ntafanyeje kimejifungua nataka nikaongee na Shemeji (Mume wangu) nimwombe sister alee kitoto kwani mazingira ya kile kidemu ni duni sana ataniharibia mtoto.
Vijana hawana hata mtaji wa biashara hata kula yao tu ni shida ila pesa wanazopata ni kuhonga na kuzaa hovyo.Wachambuzi wa maudhui katika fasihi andishi mmegundua nini katika andiko la huyu bidada
Dogo kanikatisha sana tamaa....ingawa kazi anayo ila ujana mwingi 100% kiasi kwamba mpaka natamani asimamishwe kazi ili amkumbuke MUNGU na ajue wanayopitia watu wengineMaskini ya Mungu anayezalisha mwenyewe ana hela ya kuhonga tu ila hata uwezo wa kulea hana anatarajia Dada yake ndiye amlelee...mwisho wa siku huyo dogo atabanduliwa nyuma ataishia kuwa shoga tu.
Yaani mtoto tangu akiwa mchanga anategemea kulelewa kwa msaada wa ndugu?
Nashukuru Mungu sina mdogo wangu mwenye akili finyu kama hizi
Hili andiko linatafakarisha sana.Home Arusha, baba Mngoni, Mama Mchaga naitwa Marytina
Hebu fikiria kama ulizaliwa kwa sababu mama yako alihitaji Simu, akarubuniwa na ukazaliwa wewe tena ukazaliwa wa kiume
Jana nilienda kumtembea mdogo wangu wa KIUME , nilipofika kuna kitu kikaniambia usibishe hodi sogea mlangani, Nikamsikia 100% akiongea kwa simu....kile kidemu nilikihonga SIMU kikapata mimba sijui ntafanyeje kimejifungua nataka nikaongee na Shemeji (Mume wangu) nimwombe sister alee kitoto kwani mazingira ya kile kidemu ni duni sana ataniharibia mtoto.
Hawa wadogo zangu niliwalea (tukiwa KENYA tulipokuwa tumetorokea baada ya BABA kukamatwa) kwa shida sana. Nilijidhalilisha ili wale kipindi BABA .MAMA naye alikamatwa na kuletwa Tanzania Gerezani.
Hivi nakuuiza na nawauliza wanaume wote kwa nin hamjali maisha ya wenzenu. Je au na nyie mlizaliwa kwa MAMA zenu kurubuniwa na SIMU, NGUO na VIZAWADI?
Hahahah ingalao umenichekeshaVijana hawana hata mtaji wa biashara hata kula yao tu ni shida ila pesa wanazopata ni kuhonga na kuzaa hovyo.
Baadae wanakuja kulalamika eti ccm imesababisha maisha magumu😅😅
Huenda hii ni Karma...unahitaji kufanya maombi ya nguvu sana...una wadogo zako wa kike? Wahi haraka sanaHawa wadogo zangu niliwalea (tukiwa KENYA tulipokuwa tumetorokea baada ya BABA kukamatwa) kwa shida sana. Nilijidhalilisha ili wale kipindi BABA .MAMA naye alikamatwa na kuletwa Tanzania Gerezani.
Sasa kazi anayo kwanini anasema alete mtoto kwako? Au ndivyo mlilelewa kupenda mteremko?Dogo kanikatisha sana tamaa....ingawa kazi anayo ila ujana mwingi 100% kiasi kwamba mpaka natamani asimamishwe kazi ili amkumbuke MUNGU na ajue wanayopitia watu wengine
🤣💓Mambo mengine huwa sijui mnayafukunyua ya nini,mtoto kashazaliwa basi,afadhali huyo kazaliwa kwa sababu ya simu,je ukikutana aliyezaliwa kwasababu ya chipsi kavu utasemaje
Shem 😀😀♥️Japo sio mlengwa wa kundi lilioulizwa ila naweza jibu tu " it was written. Haijalishi kwa njia Gani.
tatizo litakua mindset yako tu.
I'd yako nyingine ni ipi kiongozi.🤔 Ili nikurudishie ukampeni Uchagani Hope urassa meku akeeeeShem 😀😀♥️
Mkuu hapo hakuna shida kabisa na ndio NATURE ILIVYO (NATURE INGESEMA ILETE MAADILI DUNIA INGEKUA NA KIZAZI KICHACHE NA DHAIFU) asilimia kubwa tumepatikana kwa staili hiyo Na ndio maana ni Shupavu (TUKO FIT.)Home Arusha, baba Mngoni, Mama Mchaga naitwa Marytina
Hebu fikiria kama ulizaliwa kwa sababu mama yako alihitaji Simu, akarubuniwa na ukazaliwa wewe tena ukazaliwa wa kiume
Jana nilienda kumtembea mdogo wangu wa KIUME , nilipofika kuna kitu kikaniambia usibishe hodi sogea mlangani, Nikamsikia 100% akiongea kwa simu....kile kidemu nilikihonga SIMU kikapata mimba sijui ntafanyeje kimejifungua nataka nikaongee na Shemeji (Mume wangu) nimwombe sister alee kitoto kwani mazingira ya kile kidemu ni duni sana ataniharibia mtoto.
Hawa wadogo zangu niliwalea (tukiwa KENYA tulipokuwa tumetorokea baada ya BABA kukamatwa) kwa shida sana. Nilijidhalilisha ili wale kipindi BABA .MAMA naye alikamatwa na kuletwa Tanzania Gerezani.
Hivi nakuuiza na nawauliza wanaume wote kwa nin hamjali maisha ya wenzenu. Je au na nyie mlizaliwa kwa MAMA zenu kurubuniwa na SIMU, NGUO na VIZAWADI?
Mkuu kutungwa mimba za members wa Jf unaowauliza swali hilo, zilitungwa kwa mazingira tofauti tofauti.Home Arusha, baba Mngoni, Mama Mchaga naitwa Marytina
Hebu fikiria kama ulizaliwa kwa sababu mama yako alihitaji Simu, akarubuniwa na ukazaliwa wewe tena ukazaliwa wa kiume
Jana nilienda kumtembea mdogo wangu wa KIUME , nilipofika kuna kitu kikaniambia usibishe hodi sogea mlangani, Nikamsikia 100% akiongea kwa simu....kile kidemu nilikihonga SIMU kikapata mimba sijui ntafanyeje kimejifungua nataka nikaongee na Shemeji (Mume wangu) nimwombe sister alee kitoto kwani mazingira ya kile kidemu ni duni sana ataniharibia mtoto.
Hawa wadogo zangu niliwalea (tukiwa KENYA tulipokuwa tumetorokea baada ya BABA kukamatwa) kwa shida sana. Nilijidhalilisha ili wale kipindi BABA .MAMA naye alikamatwa na kuletwa Tanzania Gerezani.
Hivi nakuuiza na nawauliza wanaume wote kwa nin hamjali maisha ya wenzenu. Je au na nyie mlizaliwa kwa MAMA zenu kurubuniwa na SIMU, NGUO na VIZAWADI?