G. Activist
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 482
- 125
Wana bodiHii imekutwa kwenye baadhi ya email ambazo huwa zinakuwa circulated kwa waalimu wote wa UDSM wakijadili maada fulani.
Hivi ni wapi kunaunafuu, sisi wanafunzi hapa UDSM ndio kabisa tunaogopa kupaza sauti zetu, je na hawa walimu wetu wanaogopa pia kupaza sauti zao!!
Kiutaratibu wanasiasa hawakupaswa kulipwa mshahara kama wabunge au mawaziribadala yake zingelipiwa taaluma zao. Hivi mtu kama professor maji marefu au Jahpeople analipwaje milioni kumi na marupurupu juu wakati professor aliyesota kusomana kupublish for years analipwa milioni tatu na bado mazingira ya kazi yanambana?Hivi kazi ya mbunge au waziri ni ipi hadi astahili malipo makubwa kiasi hicho? Hataofisini hawaonekani, wakienda field wana allowance, hizi milioni kumi mshahara nikwa ajili ya nini? Huku ukimuacha TA, AL, Lecture na professor wa chuo kikuuanahangaika kupiga lecture hadi saa mbili za usiku na akitumia vi-cube kama ofisi? Inashangaza sana kwamba mtu anafanya kazi Univeristy lakini hata kiti cha kukaliaofisini hakuna.
Ukifika asubuhi ukakuta ofisini kwako kumejaa unaanza kupitakuchungulia ofisi nyingine kuona ni nani hayupo ili upate pa kukaa. Ofisi ya watuwatatu inatumiwa na watu 20? Hata computer moja hakuna. Lakini kila kukichaunapangiwa deadlines za kumaliza kazi. Hizo kazi tunafanyia wapi? Hata mkopo wakununua laptop tu hatukuwahi kupewa. Na hapo hapo kila mwaka unalazimishwa upublish.Na huna incentives wala benefits zozote unazozipata kutokana na kazi zako zaidi yamshahara. Na bado serikali inabana fursa za watu kujiongezea kipato halali, kwakuchelewa promotion na nyongeza za mishahara. Arrears za tangu mwakajana hatujapatahadi leo. Wengine tangu wapandishwe madaraja hawakuwahi kubadilishiwa mishahara.Nafikiri UDASA waangalie ni namna gani hatua zichukuliwe dhidi ya uonevu huu.
Hivi ni wapi kunaunafuu, sisi wanafunzi hapa UDSM ndio kabisa tunaogopa kupaza sauti zetu, je na hawa walimu wetu wanaogopa pia kupaza sauti zao!!
Kiutaratibu wanasiasa hawakupaswa kulipwa mshahara kama wabunge au mawaziribadala yake zingelipiwa taaluma zao. Hivi mtu kama professor maji marefu au Jahpeople analipwaje milioni kumi na marupurupu juu wakati professor aliyesota kusomana kupublish for years analipwa milioni tatu na bado mazingira ya kazi yanambana?Hivi kazi ya mbunge au waziri ni ipi hadi astahili malipo makubwa kiasi hicho? Hataofisini hawaonekani, wakienda field wana allowance, hizi milioni kumi mshahara nikwa ajili ya nini? Huku ukimuacha TA, AL, Lecture na professor wa chuo kikuuanahangaika kupiga lecture hadi saa mbili za usiku na akitumia vi-cube kama ofisi? Inashangaza sana kwamba mtu anafanya kazi Univeristy lakini hata kiti cha kukaliaofisini hakuna.
Ukifika asubuhi ukakuta ofisini kwako kumejaa unaanza kupitakuchungulia ofisi nyingine kuona ni nani hayupo ili upate pa kukaa. Ofisi ya watuwatatu inatumiwa na watu 20? Hata computer moja hakuna. Lakini kila kukichaunapangiwa deadlines za kumaliza kazi. Hizo kazi tunafanyia wapi? Hata mkopo wakununua laptop tu hatukuwahi kupewa. Na hapo hapo kila mwaka unalazimishwa upublish.Na huna incentives wala benefits zozote unazozipata kutokana na kazi zako zaidi yamshahara. Na bado serikali inabana fursa za watu kujiongezea kipato halali, kwakuchelewa promotion na nyongeza za mishahara. Arrears za tangu mwakajana hatujapatahadi leo. Wengine tangu wapandishwe madaraja hawakuwahi kubadilishiwa mishahara.Nafikiri UDASA waangalie ni namna gani hatua zichukuliwe dhidi ya uonevu huu.