Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamugisha prof in biochemistryRemember you doctor luhende na prof. Kamugisha penda sana nyie
Kama hukusoma Economics basi ulisoma Statistics!Prof. Lipumba
Prof. A. V. Y. Mbelle rip
Prof. N. Osorro
Prof. M. C . Y Mbago
Prof. Kasungu
Prof. Katapa
Dr. Mtatifikolo rip
KE hawasomi physics?
Dr. Karamagi mwalimu bora sana wa Ec 126(intermidiate Micro Economics) anajua hadi anakeraHa ha nimeshangaa kuwataja hao jamaa hao jamaa hawafai hata kidogo na Ossoro jr naye hakuna kitu anachofundisha hakieleweki kutishana tu kwa kifupi EC 116 na 126 hazina lecturer walio fair ila EC 117 na 127 wako poa sana
Naam Dr Siasa Issa Mzenzi sheikh yupo fair sana.DR SIASA ISSA MZENZI WA UDSM MZEE BABA AKIKUFUNDISHA AC 100 NA AC 101 FIRST YEAR KULE B.COM YANI HAPA MZEE BABA NDIO UTAJUA NINI MAANA YA MAKABATI YA ACCOUNTS YANI MIE NIMESOMA HGL MPAKA NAMALIZA BCOM 2012 SIKUWAHI KU BALANCE BALANCE SHEET STATEMENT HATA MOJA MPAKA NAMALIZA HADI MASTERS.ILA NIKAJA NIKAGUNDUA KUWA MARKS ZA KWENYE MITIHANI YA ACCOUNTS HUWA ZINAPATIKANA KWENYE ZILE CORRECT ENTRIES.
PSPA1. Dr Bruce
2. Prof. Samuel Mushi
3. DR. Mohamed Bakari.
4. Dr Kiwanuka
prof Nyirabu mohabe na DK Sansa sitowasahau kwa ukatili wenu
Prof. Haidari Amani
Huyu amenifundisha Consumer Behavior mwaka wa kwanza chuo kikuu cha Dar es Salaam ktk Introductory Microeconomic Analysis EC 116. Alikuwa fundi sana na alinifanya niupende sana uchumi. Hii course walikuwa wanafundisha na aliyekuwa naibu gavana benki kuu Dr. Natu Mwamba pamoja aliyekuwa msajili wa hazina Dr. Oswald Mashindano, hawa walikuwa wabovu wote. [emoji2]
Prof. Delphin Gayata Rwegasira
Mtaalamu huyu na mhitimu wa chuo kikuu cha Harvard (A.M, PhD Economics, 1971-1976) amenifundisha Monetary Economics EC 371 na Policy Analysis EC 664, Alikuwa anafundisha kwa hisia sana na ana ujuzi mkubwa sana wa sera za fedha, pia alikuwa msimamizi wa andiko langu kipindi namaliza chuo.
Hawa kwa sasa wote wamestaafu ila ni waalimu niliowapenda sana walikuwa very smart kichwani, mmoja ni jirani yangu huwa tunakutana mara moja moja kupiga story.
Alikuwa mrefuuu mwembamba alichelewa kuoa na kithembe kwa mbali rafiki yangu sana akiwa makapuchini fathers.
Kweli mkuu nimewasahau hao watu, especially Dr. Kaaya. Huyu jamaa alikua anajua hadi kero [emoji23]Umemsahau Prof Malisa,Dr kaaya,Dr Marobhe,Dr Nelson
[emoji23] [emoji23] mkuu ndio majina yake. Na course contents zenyewe zimesheheni majina magumu zaidi.
Karamagi yule wa tics bandari aliekuwa waziri Nazir karamagiDr. Karamagi mwalimu bora sana wa Ec 126(intermidiate Micro Economics) anajua hadi anakera
Sent using Jamii Forums mobile app