Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Professor Alan Morton Harvard university sitakusahau kwenye criminal law
 
Dr. Mkai alikuwa very simple and straight forward.

Ukifeli somo lake wewe kilaza.

Umemsahau Madam Mkenda. Yupo mama yupo organized AF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr. Karamagi alikuwa anapata kichwa sana alivyokuwa anakamata watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr. Mkai alikuwa very simple and straight forward.

Ukifeli somo lake wewe kilaza.

Umemsahau Madam Mkenda. Yupo mama yupo organized AF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes mkenda alikuwa international economics au monetary economics???

Those two course were good for me sio upuuzi wa econometric au intermidiate micro economics.

Mambo ya lagrange theory sijui nimepatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilimkubali sana Mr. Erick Mkwizu (UDsm). Lecture yake ilikuwa jumuishi . Sometimes maswali ya hapa na pale. Alikuwa anafanya utamani siku ya Lecture nyingine ifike haraka. Kila la Kheri Kwake.
 
Mbona vyuo vingine sioni? hamtaki kujulikana mlisoma wapi? hahhaaha
 
Sembuche alikuwa shida.. Alipostaafu alikwenda kulima turiani.. Kuna kasile na kazuzura nao walikuwa shida kwenye statistics

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof Lugumamu mzee wa misifa anasema ukiliona garo lake limepako manzese poga simu polisi limeibiwa au limetekwa maana yeye hans Cha kufuaya manzese

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna space ya kupaki magari UDsm pale chini Faculty of Law nilikuwa naona pameandikwa jina la huyo Prof. Bila shaka msomi wa sheria huyo!? Hakuwa mjivuni fulani kweli?
 
Pereka alikuwa anapiga lecture hadi anatokwa jasho... Namkumbuka kwenye topic ya endocrinology
Sent using Jamii Forums mobile app
 
tulioishia la saba nadhani sio mahala pake,endeleeni kututenga&karibuni mtaani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nina miaka 12 niko mtaani sasa. Huko vyuoni wengi wanaochangia utakuta washaondoka na wako huko huko mitaani uliko wewe. Mfano mimi mwenyewe.
 
Hawa wote ni watu poa sana
Hapo ongeza na
Dr. Nsajigwa Mbije
Prof. Japhary kidegesho
Prof.Shemweta
Prof. Dos Santos Silayo

Hawa jamaa Mungu awabariki sana
Ongeza mama muzanila na malisa wa biochemistry, mugasha wa soil chemistry na nsolomo wa forest ecology ila munishi sikuwahi kumulewaga kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani si ndio ninyi wafuasi wa jiwe mnavyofanya hivyo hivyo. Unadanda na majungu yaliyopitiliza ili mpate kuishi. Ni sawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…