Nathaniel jr
Member
- Dec 8, 2016
- 71
- 70
1. Late Prof. Haroub Othuman - UDSM
2. Late Prof. S. S Mushi - UDSM
3. Prof. Rwekaza Mukandala - UDSM
4. Prof. Chris Brewster - London SouthBank
5. Prof. Collin Knap - London SouthBank[/QUOTE
PSPA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Prof. A. J Kaduri wa Anatomy
Ms Nyamagere,sijua ameshakuwa Dr au Prof kwa sasa ila huyu siku ya kwanza mwaka 2006 tu akatuambia, kila mmoja wenu hapa ana B juhudi binafsi itakupatia B+ na A.
Mkitaka kuwatukana na kuwasema kwa mabaya huwa mnaomba ridhaa?Nimewakumbuka wahadhiri wangu pale VETA Shinyanga, VETA Mbeya na VETA Mwanza.Kwakweli najivunia kusoma VETA imenipa ujuzi mkubwa Wa kujitegemea na kuanzisha viwanda.
Degree tatu za VETA zinanipa ujanja mjini.
Wahadhiri nitawataja majina wakinipa ridhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dr.Mihanjo, nasikia siku hizi ni,prof, na Prof Byabegeya.
Ukimtoa Mchome...hao wengine nimekutana nao Law School.Chuwa, Taisamo, Dr.Twalib Fauz, Prof. Majamba, Judge Ruhangisa, Judge Mchome few to mention...
College of Informatics and Virtual Education (CIVE).PROF. BABU MSELE (UNIVERSITY OF DODOMA COLLAGE OF INFORMATICS AND VISUAL EDUCATION (CIVE) )
Nakumbuka Kuna mwamba alikuwa CW ya 34 mwisho wa siku UE akapata kalai yaani kila mtu hakuamini kabisa...Mkuu pratap hiyo kichwa I won't forget alivyokuwa anashuka anatomy and physiology yuko poa sema mtihani wake sasa ni mgumu balaa.aliwahi kutoa UE ya ajabu watu hawakutegemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana huyu Parking yake ilikuwa kule Geography Department kwenye IRA building kulikuwa na kajinjia kwa nyuma usawa na TUKI Kama sijasahau ndio ilikuwa Parking inajina lake..Law kulikuwa na majina ya ajabu ajabu Sana Mara Prof Mgongo Fimbo Mara sijui Majamba Mara Kanywanywi Yaan Nilikuwa napenda sana kuyasoma tu nikipita pale..Kuna space ya kupaki magari UDsm pale chini Faculty of Law nilikuwa naona pameandikwa jina la huyo Prof. Bila shaka msomi wa sheria huyo!? Hakuwa mjivuni fulani kweli?
Acha kuleta utani na majina ya maboss wako ebo!Hapana huyu Parking yake ilikuwa kule Geography Department kwenye IRA building kulikuwa na kajinjia kwa nyuma usawa na TUKI Kama sijasahau ndio ilikuwa Parking inajina lake..Law kulikuwa na majina ya ajabu ajabu Sana Mara Prof Mgongo Fimbo Mara sijui Majamba Mara Kanywanywi Yaan Nilikuwa napenda sana kuyasoma tu nikipita pale..
Typed Using KIDOLE
Parasitology ilikuwa imelala pale. Alikuwa mzee mtaaratibu na mpenda Haki.
Aiseeee nikiwa masters Dr Mlaki alinitabiria mazuri sana mungu amsimamie huko aliko..Dean of student pale UDOM Dk Mlaki..asee Maza hujawah kunifundsha ila ulitulea Kama wanaom..natafta hela nije nikupe zawadi nzuuuriii...Mr kwambaza..Mr yohana..Mr Mwenda..dah. ..Mungu awape maisha marefu Mara elfu hamsa....
Hadi jamaa yangu akakimbilia bondeni, huwaga analalamika sana kuhusu zile mambo alifanyiwa.Dr.Chacha Bhoke Murungu, huyu Mtu anaijua sana International law, specifically "International Criminal Law. Live longer brother japo humu katikati ulipitia changamoto Kidogo baada ya kuingia pale kwa jamaa wa Wese na mitungi!