Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

Jamani, ni hulka ya wanadamu kutotangaza mema ya watu lakini wepesi sana kutangaza mabaya ya watu.

Hivi karibuni kuna madaktari kadhaa walitangazwa na wanafunzi wao kwa ubaya sana! Sijui kama tuhuma walizotangazwa kwazo zilikuwa na ukweli au la!

Huu uzi naomba tufanye kinyume, tuwaseme wakufunzi wetu wa vyuo vikuu kwa majina yao kwa namna walivyo 'committed', 'fair' na mahiri ktk kutoa mashule na hata walivyo fair ktk kutoa na ku'mark' mitihani yenu!
Kama hukujariwa kufika chuo kikuu ww muweke mwalimu aliyekufurahisha kwa umahiri wake wa kufundisha ktk kiwango cha juu kabisa cha cha elimu ulichofikia!
Tafadhari bandugu, muelezee kidogo kivipi alikufurahisha ili kama atajua basi atiwe moyo na hayo afanyayo! Kumbuka tukitaka kuwananga huwa walimu wetu kwa ubaya huwa hatuishii kutaja majina tu bali tunaelezea kwa kirefu hata kujaza gazeti. Leo eleza hata kwa mstari mmoja tu kumjurisha alivyougusa moyo wako! Niishie hapo
 
Captain Konsi Mgawe (Mzee wa rula) -Navigation na Meteorology huyu akikufundisha utatamani aendelee siku nzima.

Moja ya wataalamu wa kipekee na hazina ya sasa kwenye sekta ya bahari.
 
Dr. Daniel MAEDA Molecular biology UDSM anajua sana ila mitihani yake dah na rafiki yake Dr.Makene wanatisha sana
 
Dr.Rodric Ndomba
Dr.Mpalanzi
Dr.Faraja Mwendamseke
Mr.Ilonga
DR.PROTAS
DR.kaberege.
D.k.Mosha
Kuna huyu prof.pratap nasikia yuko powa sana.
Nk.Udsm Duce.

Kaberege kumbe ni dokta😎🙄🙄🙄🙄🙄
 
Giant Ntogwisangu...siku moja alimkosesha denti mmoja kwenye swali ambalo copyright from Guyton, jamaa akabebelea Guyton yake kuomba aongezewe marks! Unajua Ntogwi alimwambiaje?....Who is Guyton, I say no...! Alikuwa mbabe mwisho?

Hiyo ndo 'sungu' [emoji3]. Physiology ilikua inaitwa sungu enzi hizo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof Ngasapa wa anatomy, such a gentleman


Sent using Jamii Forums mobile app
Embryology alikuwa anafundisha na zile transparent enzi hizo! Mzee wa cumulus oophorus. Huyu amekuwa mkaguzi wa vyuo nchini kwa muda mrefu sana! Anapaswa apewe chuo kimojawapo cha madaktari akitengeneze kwa std zinazotakiwa!
 
The late Prof. Caneiro! He was such a great surgeon! RIP our mentor!
 
Giant Ntogwisangu...siku moja alimkosesha denti mmoja kwenye swali ambalo copyright from Guyton, jamaa akabebelea Guyton yake kuomba aongezewe marks! Unajua Ntogwi alimwambiaje?....Who is Guyton, I say no...! Alikuwa mbabe mwisho?
That was unfair , otherwise he should demonstrate an author was wrong
 
Dr.Longopa wa Muhas?
Dr Longopa na Dr Materu very humble...young and Energetic hawa Vijana Mungu awabariki wanajituma na wanajua kufundisha anakupiga somo kweli unakubali hawana hila.

PROF MAJAMBA MKWARA mzito ili usome very elaborative na anajua sana Sheria..Pale UD kuna vichwa balaaa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That was unfair , otherwise he should demonstrate an author was wrong
Hivi Ntogwi unamsikia au unamjua? Jamaa lenyewe lilivyopanda hata nguvu ya kubishana unaitoa wapi!? Kipindi hicho ilikua ubabe ubabe tu! Siku hizi nasikia wamepunguza sana ubabe, sijui uzee😂😂😂😂😂! Ila yupo vizuri na physiology yake and his efforts outweights his shortfalls, so he deserves to be mentioned here!
 
Dr. Hella yeye alikuwa anajiita Mwalimu Hella.

prof. Mlambiti na test zake zile.......dah
Sokoine university of Agriculture

Prof Andrew Temu - agriculture finance and credit management ( AEA 303)

Dr Anna Temu ( atakuwa prof sina hakika ) - international trade , introduction to micro economics .

Dr Hella ( now prof )- farm management , agribusiness project appraisal and evaluation

Dr Damas- macro economics

Prof mlambiti - AEA 101 introductory agriculture economics aka Yellow book
Kipindi kizima anapita siasa .


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Prof. Tarimo, Dept. (DEST) amenifundisha design of irrigation systems, irrigation water management na irrigation structures.
Prof. Mahoo, Dept. (DEST) amenifundisha rain water harvesting, design of retention and small reservoir dams pamoja na drainage.
Prof. Kahimba, Dept. (DEST) amenifundisha analysis and design of farm structures.
Eng. Stanislaus Materu, Dept. (DEST) amenifundisha engineering drawing na fluid dynamics.

Wote hawa wanapatikana pale SUA, kwa kweli wanajitoa sana katika kufundisha, naweza kusema wameacha alama kubwa sana katika maisha yangu ya taaluma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Prof. Mlengela hakukufundisha???
Yule mzee hadi sasa sielewi elewi nilivukaje somo lake..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr Salumu Matotola udom, pale jamaa alikiwa anafundisha QM ikawa laini kama chips yai kiasi cha kupiga mabanda ya uhakikaaaa
QM ilikua laini km chips yai?
QM hii hii ya kwenye Economics mwaka wa 3?
Econometrics na QM course sitazisahau hizi. Ingawa sikuwai kusapua lakin zilinikondesha
 
Back
Top Bottom