Hebu naomba niweke jambo Moja bayana: PUNYETO HAIPUNGUZI NGUVU ZA KIUME

Hebu naomba niweke jambo Moja bayana: PUNYETO HAIPUNGUZI NGUVU ZA KIUME

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
May all souls find enlightenment,

Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko kadhaa pia. Sinywi pombe, sivuti sigara, napenda kula vizuri (starehe yangu nyingine) nafanya mazoezi, na yes NAPIGA PUNYETO.

Utashangaa vipi nimeoa nina michepuko na Bado NAPIGA PUNYETO, tulia kwanza nikupe maarifa, PUNYETO iko na utamu wake tofauti kabisaaa na papuchi na sitaki kuikosa hii burudani ya nyeto nataka zote zote papuchi zichakatwe na nyeto ipigwe inategemea na mizuka na nahitaji ya mwili.

Kuna waziri Fulani wa Congo nadhini au Zambia zilivuja clip zake akipiga PUNYETO ofisini kwake na hata msanii maarufu Afrika Kusini aliwahi kukutwa akipiga PUNYETO sasa utajiuliza waziri mzima na hata msanii maarufu ambae wanawake wa Kila aina wanajileta kwake anapiga PUNYETO ndio nakusanua sasa PUNYETO ina Raha yake tofauti na casual sex.

Nimepiga PUNYETO tangu nikiwa 16 na mpaka sasa naendelea kujichukilia Sheria mkononi Kila mara ninapopata mizuka na SIJAWAHI KUWA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

imekuwepo dhana POTUFO baina ya wanaume kwamba PUNYETO husabavisha upungufu wa nguvu za KIUME, nianze kwa kusema ukisikia mtu anasema hivyo huyo hajui mfumo wa uzazi unafanya vipi kazi.

Nguvu za KIUME au labodo kwa kimombo huchochewa na homone ya testerstrone inayozalishwa mwilini mwanaume anapofikia umri wa miaka 14 na huongezeka anapofikia miaka 20 - 27 hapo huanza kushuka taratibu kadri umri unavyokwenda.

Matokeo yake ni kwamba kadri umri unavyokwenda sex drive au ndio mnaita nguvu za KIUME hupungua KAMA HAYA YAFUATAYO HAYATAZINGATIWA:

(1). Ulaji Mbaya.
Kula vyakula visivyo na virutubisho kama chips mayai ya kisasa, sembe, maandazi, mikate nk sasa hata hizo shahawa zitatengenezwa vipi kwa kula mikate, unajua mara nyingine hebu tumieni akili.

(2). Ulevi.
Pombe ni sababu kubwa ya kuzuia mwili kuzalisha testerstrone homone. Mwili unauweka katika tensions na unataka ufunction vizuri. Yani una gari badala uweke naji safi kwenye rejeta wewe unaweka maji machafu yenye matope na unataka gari iwe na nguvu.
download (1).jpeg


(3). Kutofanya mazoezi. Kutoshughulisha mwili mtu amekaa kama likuku la kisasa na anakula machips, mikate alafu anataka awe na nguvu za KIUME are you insane ?! Kuna wanaume wengine wamelegeaaaa ikiwaangalia wako kama wanawake (sijakusudia kuwatukana it's true though) alafu ati na wao wanataka wawe na nguvu za KIUME hell no LAZIMA UWE FIT ili testerstrone izalishwe na kuboost sex drive Yako.
download (2).jpeg


(4). Maradhi au matumizi ya baadhi ya dawa. Kwa mfano magonjwa Kawa kisukari hupunguza sana nguvu za KIUME na hata matumizi ya baadhi ya dawa. Japo baadhi ya magonjwa haya,uiliki lakini mengi kama kisukari, pressure yangezuilika kwa kufanya mazoezi.

(5). Kutuopata muda wa kutosha wa kupumzika. Unajua kwamba mtu asipotata kulala kwa siku nne (4) atadhoofu na hata changanyikiea ?! Kulala ni tiba ni njia ya mwili kurecharge na kujiponya. Sasa Kuna jamaa wao ni kukesha wanaangalia mipira au wanaangalia movie sijui series kesho yake unamkuta macho mekundu anatembea kwa kupepesuka sasa imagine haya ndio maisha yake alafu na yeye anataka ati na yeye awe na nguvu za KIUME, ni kichekesho HAKIKA.

Unajua ni hulka ya binadamu kutafuta sehamu ya kutupia lawama zake pale anaposhindwa jambo, kwa mfano mtu mvivu akishindwa kijenga uchumi wake atasingizia serikali, ndio hivyo wanaume magoigoi, wanakula junk foods, wanaokunywa mapombe wakikosa nguvu za KIUME kamwe hawataki kuukabili ukweli kua mtindo wao wa maisha ni mbovu wanakimbikia kuilaumu PUNYETO.

Sasa mtu hafanyi juhudi yoyote kutunza afya yake then nguvu za KIUME zinashuka anaisinguzia kunyeto, kwanza kwa taarifa yenu tafiti kadhaa zimethibitisha PUNYETO kuchochea ongezeko la uzalishaji wa shahawa na kuimarisha pelvic muscles.

Yani mwili kikawaida hua unapitia adaptation kwa mfano mtu akifanya mazoezi ya mwili kama bench press au squarts misuli inakua imara baada ya mwili kuadopt mazingira ya mazoezi au mtu anaependa kula sana mwili unazalisha zaidi insulin na pancreatic enzymes siku asipokula atahisi njaa kwa haraka maana mwili umeadopt mazingira ya yeye kula Kila wakati

Ndivyo hata mtu anayepiga PUNYETO uume wake unakua imara zaidi na hata korodani zake huzalisha shahawa kwa wingi zaidi, huu ujinga ati PUNYETO inapunguza nguvu za KIUME sijui hata ulitokea wapi. sasa fala Fulani anaikunywa mapombe, anavuta sigara, hafanyi mazoezi na chakula chake ni chips na mikate akijosa nguvu za kiume anaisinguzia PUNYETO.

Hata hao wanaowauzieni dawa za kuengeza kuvu za KIUME watakwambia "lakini zingatia kufanya mazoezi na acha pombe" sasa hapo hata kama ni mjinga hauoni kua dawa ya nguvu za KIUME unayo wewe mwenyewe kurekebisha mtindo wako wa maisha.

Na mwisho japo sio kwa umihimu niseme kua kula vizuri, kuacha pombe na kufanya mazoezi sio tu itakuongezea nguvu za KIUME na kuzichakata papuchi ipadavyo lakini pia itakufanya kua mchangamfu zaidi, kua na afya zaidi, kuweza kuficus na ku concentrate zaidi katika shughuli zako maana hautakua goigoi na hii itakufanya kufurahia maisha na kua productive zaidi hali ambalo nadhani unatakiwa kuwa hivyo.
images.jpeg
 
Sijui ukweli wa hoja ya punyeto na nguvu za kiume. lakini nina uhakika na ushuhuda kuwa mazoezi ni tiba sahihi ya tatizo la nguvu za kiume.
1. mazoezi huondoa kabisa tatizo la kuwahi kumwaga (hata kwa bao la kwanza)
2. mazoezi yanasaidia uwezo wa mwanaume kurudia tendo mara kadhaa tena bila kusubiri kwa muda mrefu.
wengi wanahangaika na dawa lakini tiba sahihi ni mazoezi
 
Nakubaliana na wewe, punyeto haina mahusiano na kupungua kwa nguvu za kiume.

Sema Punyeto inasababisha unapoteza interest kwa wanawake, kwa sababu huna sababu ya kuhangaika kutongoza mtu wiki 2 ama 3 ukimbembeleza akupe utamu wakati unaweza kujipimia utamu wako mwenyewe.

Wanaume utamu wanao wenyewe, kwa wanawake hua wanatafta utelezi tu ila utamu tunao wenyewe.
 
Sijui ukweli wa hoja ya punyeto na nguvu za kiume. lakini nina uhakika na ushuhuda kuwa mazoezi ni tiba sahihi ya tatizo la nguvu za kiume.
1. mazoezi huondoa kabisa tatizo la kuwahi kumwaga (hata kwa bao la kwanza)
2. mazoezi yanasaidia uwezo wa mwanaume kurudia tendo mara kadhaa tena bila kusubiri kwa muda mrefu.
wengi wanahangaika na dawa lakini tiba sahihi ni mazoezi
Hakika
 
hakuna tafiti za kutosha kwenye hili eneo,

lakini nimeona watu wengi mtandaoni wakilalamika nyeto imewaletea erectile dysfunction

na pia nimeona mahali daktari anasema wagonjwa wake wengi wenye ED wana historia ya punyeto

Sasa sijui ED ndo kukosa nguvu za kiume, ila ni hatari
 
Sijui ukweli wa hoja ya punyeto na nguvu za kiume. lakini nina uhakika na ushuhuda kuwa mazoezi ni tiba sahihi ya tatizo la nguvu za kiume.
1. mazoezi huondoa kabisa tatizo la kuwahi kumwaga (hata kwa bao la kwanza)
2. mazoezi yanasaidia uwezo wa mwanaume kurudia tendo mara kadhaa tena bila kusubiri kwa muda mrefu.
wengi wanahangaika na dawa lakini tiba sahihi ni mazoezi
Mazoezi gani hayo mnayofanya mpaka mna helewa kumwaga?
Mie nafanya jogging mwaka wa 6 huu lakini kibamis sekunde 40 nyingi kilishamwaga
 
Punyeto na chips hazisababishi upungufu wa nguvu za kiume, kama huna n huna tuu.
Kinachopunguza nguvu ni kutojiamini na mtu kuwa na mashaka juu yake mwenye.. nimepiga nyeto kwa miaka 35++ na bususu nasimamia ukuchuaa.. kuanzia dk 25 ++ .. sema punyeto inachosha akili, Yale ma imagination.. kama kutombaaa physical kupitia akili.. Hadi inatoa jasho 😅😅😅

C.c mzabzab mzee wa vugu vugu
 
Anaesema Sembe haina virutubisho alete hoja zake hapa.

Ninachojua, mbegu ya mahindi ni monokodiledoni na ina sehemu kuu 3

1-Ganda la nje (Testa)
Hii kazi yake ni kulinda sehemy ya ndani isiharibike

2 Lishe (endosperm)
Hii ni sehemu ya mbegu ambayo ina akiba ya wanga na sukari ambayo kazi yake kuu ni kutoa chakula kwa mbegu/kitoto kinapoota kabla hakijaanza kujitengenezea chakula kwa mionzi ya jua (photosynthesis)

3 Kitoto cha mmea.

Hii ni ile sehemu ya mbegu ambayo ndo inayoota, yaani ndio chanzo cha mizizi na majani. sehemu hii inakuwa na virutubisho vya protin


Sembe ni unga wa mbegu za mahindi zilizokobolewa . Na mbegu ya mahindi inapokobolewa, ni sehemu 1 tu kati ya sehemu 3 za mbegu ndo inayoondolewa kabisa, yaani sehemu 1 (ganda la nje) amabyo kimsingi haina virutubisho.

Na sehemu ya kitoto (inayoota) inakwanguliwa kwa kiasi lakini hainondolewi kabisa

Kwahiyo, kwa kuzingatia hoja tajwa hapo juu, ni bayana kuwa unga wa sembe una virutubisho vya WANGA na PROTINI


Anayesema sembe haina virutubisho alete hoja zake hapa
 
Nyeto inaonewa sana kila kitu kibaya lawama inaenda kwake.
 
Nakubaliana na wewe ila punyeto sio kitu cha kujivunia ,ni kitu flan hivi cha kiboya mno halafu huwez kuacha bila divine intervention
 
Upigaji nyeto upo wa namna mbalimbali,nazan hii njia ya kutumia sabuni na maji baridi ni mbaya na ina madhara

Nyeto linatakiwa lipigwe kavu kavu hakuna kutumia kilainishi yaan unakuwa una bana na kuachia viganja vyako huku ukipeleka kwenye kichwa na kwenye shina la ubool
 
Punyeto waachieni wanafunzi na wafungw tu. Niki imagine jinsi navyopenda mishangazi afu eti nipige nyeto huo niuchawi
 
May all souls find enlightenment,

Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko kadhaa pia. Sinywi pombe, sivuti sigara, napenda kula vizuri (starehe yangu nyingine) nafanya mazoezi, na yes NAPIGA PUNYETO.

Utashangaa vipi nimeoa nina michepuko na Bado NAPIGA PUNYETO, tulia kwanza nikupe maarifa, PUNYETO iko na utamu wake tofauti kabisaaa na papuchi na sitaki kuikosa hii burudani ya nyeto nataka zote zote papuchi zichakatwe na nyeto ipigwe inategemea na mizuka na nahitaji ya mwili.

Kuna waziri Fulani wa Congo nadhini au Zambia zilivuja clip zake akipiga PUNYETO ofisini kwake na hata msanii maarufu Afrika Kusini aliwahi kukutwa akipiga PUNYETO sasa utajiuliza waziri mzima na hata msanii maarufu ambae wanawake wa Kila aina wanajileta kwake anapiga PUNYETO ndio nakusanua sasa PUNYETO ina Raha yake tofauti na casual sex.

Nimepiga PUNYETO tangu nikiwa 16 na mpaka sasa naendelea kujichukilia Sheria mkononi Kila mara ninapopata mizuka na SIJAWAHI KUWA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

imekuwepo dhana POTUFO baina ya wanaume kwamba PUNYETO husabavisha upungufu wa nguvu za KIUME, nianze kwa kusema ukisikia mtu anasema hivyo huyo hajui mfumo wa uzazi unafanya vipi kazi.

Nguvu za KIUME au labodo kwa kimombo huchochewa na homone ya testerstrone inayozalishwa mwilini mwanaume anapofikia umri wa miaka 14 na huongezeka anapofikia miaka 20 - 27 hapo huanza kushuka taratibu kadri umri unavyokwenda.

Matokeo yake ni kwamba kadri umri unavyokwenda sex drive au ndio mnaita nguvu za KIUME hupungua KAMA HAYA YAFUATAYO HAYATAZINGATIWA:

(1). Ulaji Mbaya.
Kula vyakula visivyo na virutubisho kama chips mayai ya kisasa, sembe, maandazi, mikate nk sasa hata hizo shahawa zitatengenezwa vipi kwa kula mikate, unajua mara nyingine hebu tumieni akili.

(2). Ulevi.
Pombe ni sababu kubwa ya kuzuia mwili kuzalisha testerstrone homone. Mwili unauweka katika tensions na unataka ufunction vizuri. Yani una gari badala uweke naji safi kwenye rejeta wewe unaweka maji machafu yenye matope na unataka gari iwe na nguvu.
View attachment 3201420

(3). Kutofanya mazoezi. Kutoshughulisha mwili mtu amekaa kama likuku la kisasa na anakula machips, mikate alafu anataka awe na nguvu za KIUME are you insane ?! Kuna wanaume wengine wamelegeaaaa ikiwaangalia wako kama wanawake (sijakusudia kuwatukana it's true though) alafu ati na wao wanataka wawe na nguvu za KIUME hell no LAZIMA UWE FIT ili testerstrone izalishwe na kuboost sex drive Yako.
View attachment 3201440

(4). Maradhi au matumizi ya baadhi ya dawa. Kwa mfano magonjwa Kawa kisukari hupunguza sana nguvu za KIUME na hata matumizi ya baadhi ya dawa. Japo baadhi ya magonjwa haya,uiliki lakini mengi kama kisukari, pressure yangezuilika kwa kufanya mazoezi.

(5). Kutuopata muda wa kutosha wa kupumzika. Unajua kwamba mtu asipotata kulala kwa siku nne (4) atadhoofu na hata changanyikiea ?! Kulala ni tiba ni njia ya mwili kurecharge na kujiponya. Sasa Kuna jamaa wao ni kukesha wanaangalia mipira au wanaangalia movie sijui series kesho yake unamkuta macho mekundu anatembea kwa kupepesuka sasa imagine haya ndio maisha yake alafu na yeye anataka ati na yeye awe na nguvu za KIUME, ni kichekesho HAKIKA.

Unajua ni hulka ya binadamu kutafuta sehamu ya kutupia lawama zake pale anaposhindwa jambo, kwa mfano mtu mvivu akishindwa kijenga uchumi wake atasingizia serikali, ndio hivyo wanaume magoigoi, wanakula junk foods, wanaokunywa mapombe wakikosa nguvu za KIUME kamwe hawataki kuukabili ukweli kua mtindo wao wa maisha ni mbovu wanakimbikia kuilaumu PUNYETO.

Sasa mtu hafanyi juhudi yoyote kutunza afya yake then nguvu za KIUME zinashuka anaisinguzia kunyeto, kwanza kwa taarifa yenu tafiti kadhaa zimethibitisha PUNYETO kuchochea ongezeko la uzalishaji wa shahawa na kuimarisha pelvic muscles.

Yani mwili kikawaida hua unapitia adaptation kwa mfano mtu akifanya mazoezi ya mwili kama bench press au squarts misuli inakua imara baada ya mwili kuadopt mazingira ya mazoezi au mtu anaependa kula sana mwili unazalisha zaidi insulin na pancreatic enzymes siku asipokula atahisi njaa kwa haraka maana mwili umeadopt mazingira ya yeye kula Kila wakati

Ndivyo hata mtu anayepiga PUNYETO uume wake unakua imara zaidi na hata korodani zake huzalisha shahawa kwa wingi zaidi, huu ujinga ati PUNYETO inapunguza nguvu za KIUME sijui hata ulitokea wapi. sasa fala Fulani anaikunywa mapombe, anavuta sigara, hafanyi mazoezi na chakula chake ni chips na mikate akijosa nguvu za kiume anaisinguzia PUNYETO.

Hata hao wanaowauzieni dawa za kuengeza kuvu za KIUME watakwambia "lakini zingatia kufanya mazoezi na acha pombe" sasa hapo hata kama ni mjinga hauoni kua dawa ya nguvu za KIUME unayo wewe mwenyewe kurekebisha mtindo wako wa maisha.

Na mwisho japo sio kwa umihimu niseme kua kula vizuri, kuacha pombe na kufanya mazoezi sio tu itakuongezea nguvu za KIUME na kuzichakata papuchi ipadavyo lakini pia itakufanya kua mchangamfu zaidi, kua na afya zaidi, kuweza kuficus na ku concentrate zaidi katika shughuli zako maana hautakua goigoi na hii itakufanya kufurahia maisha na kua productive zaidi hali ambalo nadhani unatakiwa kuwa hivyo.
View attachment 3201442
Kama Punyeto ingekuwa kwa namna yoyote ile inapunguza nguvu za kiume, basi hali ingekuwa mbaya zaidi kwenye kujitawaza/kuchamba, ushoga ungekuwa unaanzia na kuingilia huko.
 
Back
Top Bottom