Hebu nipeni ukweli wa hii mimba

Hebu nipeni ukweli wa hii mimba

Swala si kusingiziwa. Swala ni kwanini usingiziwe.... unapopress sana kupata mtoto.... na mkeo akajua. Atatafuta njia yoyote ule akutimizie haja yako. Ndo hapo sasa mtakapoanza kulea watoto wa wenzenu mkidhani ni wenu.

Mpende mkeo, watoto ni majaliwa ya Mungu.
Kuna ukweli flani hapa
 
WAJAMAA WA KUPEANA DAWA ZA UZAZI HUWA WANAPAKA DAWA KWENYE DUSHE KISHA ANAKUTUMBUKIZIA UKENI HAHAHAHA
 
Si alitaka mtoto? Mke kapata mimba ili amzalie mtoto, sasa mwaulizia mimba yanani wakati ni mke wake? Kitanda hakizai haramu. Mke karudi ana mwezi, mimba imepimwa ina mwezi huo ni ushindi shangilieni hasa wewe wifi mtu. Mshukuru Mungu na umpongeze kaka yako kwa kuweka kiluwiluwi hai na wifi yako kukubali kuingiziwa kiluwiluwi.
 
Walahi usiseme hivyo! Mie ndio nilikuwa na hofu kuwa nimekukwaza maana sio kwa ukimya huo jamani?
Vyovyote utakavyo au ulivyoamua.... mi bado nakupenda na ntaendelea kukupenda daima
 
Kwani huyo kaka yako hajacheka na nyavu tangu shemejiyo arudi?
Miaka yoote hiyo alihaha kupata mtoto, sasa mimba imenasa wasiwasi wa nini??
 
Subiri tu mtoto azaliwa apime dna. Kama hana hela afanye dna ya kienyeji!

Katoto kakilala akapige dushe kichwani kama si kake lazima kafe!

Mmmh mganga kaishafanya yake. Anasema hivi " hii dawa inabidi uwekewe kwenye papuchi na mwanaume ambae hujawahi kulala nae"

sasa si mganga nae ni mwanaume? Anaamua amuwekee yeye ili dawa aiweke vizuri. Chezea mganga wewe!
mambo mengine yanachekesha kweli akapige dushe ndio nn
 
Naombeni ushauri wa hili linamsibu kaka yangu kipenzi.

Ameishi na mwanamke 4 years na yeye alikua na mtoto wa nje na huyu binti pia alikua na mtoto. Alimkuta huyu binti anatumia sindano za uzazi wa mpango alimsihi aache na akaacha.Wameshiriki tendo la ndoa miaka yote hawakupata mtoto.

Alimpeleka hospital akaangaliwa akasafishwa na kupewa matibabu ila aliendelea bila kufanikiwa. Mwaka huu mwanamke alifiwa na babu yake akaenda kwao kakaa miezi miwili, alimpigia kuwa amepata mtaalam anampa dawa za uzazi za kienyeji pia akaenda kwa docta akapewa dawa za kuvuta mayai baada ya kamaliza period.

Sasa alirudi kama mwezi umeisha juzi tumbo likawa linamsumbua kwenda kupima anasema ana mimba. Sasa jamaa anakuwa na wasiwasi juu ya hii mimba anaomba ushauri.

Hii mimba itakua kaja nayo au? Afuate njia gani kuamini kama huu ujauzito ni wake? Ushauri yupo hapa nitampa mrejesho.
Binadamu ni wanafiki sana umehangaika miaka yote hiyo alafu leo Mungu kakujalia badala ya kumshukuru unautilia mashaka uwezo wake? Huo ni unafiki hali ya juu kupita hata wa shetani.
 
Naombeni ushauri wa hili linamsibu kaka yangu kipenzi.

Ameishi na mwanamke 4 years na yeye alikua na mtoto wa nje na huyu binti pia alikua na mtoto. Alimkuta huyu binti anatumia sindano za uzazi wa mpango alimsihi aache na akaacha.Wameshiriki tendo la ndoa miaka yote hawakupata mtoto.

Alimpeleka hospital akaangaliwa akasafishwa na kupewa matibabu ila aliendelea bila kufanikiwa. Mwaka huu mwanamke alifiwa na babu yake akaenda kwao kakaa miezi miwili, alimpigia kuwa amepata mtaalam anampa dawa za uzazi za kienyeji pia akaenda kwa docta akapewa dawa za kuvuta mayai baada ya kamaliza period.

Sasa alirudi kama mwezi umeisha juzi tumbo likawa linamsumbua kwenda kupima anasema ana mimba. Sasa jamaa anakuwa na wasiwasi juu ya hii mimba anaomba ushauri.

Hii mimba itakua kaja nayo au? Afuate njia gani kuamini kama huu ujauzito ni wake? Ushauri yupo hapa nitampa mrejesho.
Hahahaha Vijana wa bongo daslama mnataabu
 
Back
Top Bottom