Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mwanamke wa wapi? Inaelekea wanawake mna hasira sana na wanaume wa Dar.... hawawafikishini kileleni au ni wabahili?Jee mumewe ni mwanaume wa Dar?
Kuna ukweli flani hapaSwala si kusingiziwa. Swala ni kwanini usingiziwe.... unapopress sana kupata mtoto.... na mkeo akajua. Atatafuta njia yoyote ule akutimizie haja yako. Ndo hapo sasa mtakapoanza kulea watoto wa wenzenu mkidhani ni wenu.
Mpende mkeo, watoto ni majaliwa ya Mungu.
Walahi usiseme hivyo! Mie ndio nilikuwa na hofu kuwa nimekukwaza maana sio kwa ukimya huo jamani?Niambie nilichokukosea nikuombe msamaha.
Vyovyote utakavyo au ulivyoamua.... mi bado nakupenda na ntaendelea kukupenda daimaWalahi usiseme hivyo! Mie ndio nilikuwa na hofu kuwa nimekukwaza maana sio kwa ukimya huo jamani?
Vyovyote utakavyo au ulivyoamua.... mi bado nakupenda na ntaendelea kukupenda daima
Daaah! hadi naishiwa maneno jamani!!! Nimekuelewa....Vyovyote utakavyo au ulivyoamua.... mi bado nakupenda na ntaendelea kukupenda daima
Yap inawezwkana ila sio kwa UPT,unafanya leopard manouverHivi ukipima ujauzito unaweza kujua umri wake? Jibu please
Ahsante kwa kunielewa. Mi ndo maana nakupendaga sanaDaaah! hadi naishiwa maneno jamani!!! Nimekuelewa....
mambo mengine yanachekesha kweli akapige dushe ndio nnSubiri tu mtoto azaliwa apime dna. Kama hana hela afanye dna ya kienyeji!
Katoto kakilala akapige dushe kichwani kama si kake lazima kafe!
Mmmh mganga kaishafanya yake. Anasema hivi " hii dawa inabidi uwekewe kwenye papuchi na mwanaume ambae hujawahi kulala nae"
sasa si mganga nae ni mwanaume? Anaamua amuwekee yeye ili dawa aiweke vizuri. Chezea mganga wewe!
Binadamu ni wanafiki sana umehangaika miaka yote hiyo alafu leo Mungu kakujalia badala ya kumshukuru unautilia mashaka uwezo wake? Huo ni unafiki hali ya juu kupita hata wa shetani.Naombeni ushauri wa hili linamsibu kaka yangu kipenzi.
Ameishi na mwanamke 4 years na yeye alikua na mtoto wa nje na huyu binti pia alikua na mtoto. Alimkuta huyu binti anatumia sindano za uzazi wa mpango alimsihi aache na akaacha.Wameshiriki tendo la ndoa miaka yote hawakupata mtoto.
Alimpeleka hospital akaangaliwa akasafishwa na kupewa matibabu ila aliendelea bila kufanikiwa. Mwaka huu mwanamke alifiwa na babu yake akaenda kwao kakaa miezi miwili, alimpigia kuwa amepata mtaalam anampa dawa za uzazi za kienyeji pia akaenda kwa docta akapewa dawa za kuvuta mayai baada ya kamaliza period.
Sasa alirudi kama mwezi umeisha juzi tumbo likawa linamsumbua kwenda kupima anasema ana mimba. Sasa jamaa anakuwa na wasiwasi juu ya hii mimba anaomba ushauri.
Hii mimba itakua kaja nayo au? Afuate njia gani kuamini kama huu ujauzito ni wake? Ushauri yupo hapa nitampa mrejesho.
Kausha bhana, mimi ni dume la mkoani.Wewe ni mwanamke wa wapi? Inaelekea wanawake mna hasira sana na wanaume wa Dar.... hawawafikishini kileleni au ni wabahili?
Basi mdogomdogo.... mwanaume kuusema udhaifu wa mwanaume mwenzie watu wanaweza kukufikiria vibaya ujue...Kausha bhana, mimi ni dume la mkoani.
Basi wewe utakua mwanaume wa Dar tu sasa maana hakuna namna?!Basi mdogomdogo.... mwanaume kuusema udhaifu wa mwanaume mwenzie watu wanaweza kukufikiria vibaya ujue...
Hahahaha Vijana wa bongo daslama mnataabuNaombeni ushauri wa hili linamsibu kaka yangu kipenzi.
Ameishi na mwanamke 4 years na yeye alikua na mtoto wa nje na huyu binti pia alikua na mtoto. Alimkuta huyu binti anatumia sindano za uzazi wa mpango alimsihi aache na akaacha.Wameshiriki tendo la ndoa miaka yote hawakupata mtoto.
Alimpeleka hospital akaangaliwa akasafishwa na kupewa matibabu ila aliendelea bila kufanikiwa. Mwaka huu mwanamke alifiwa na babu yake akaenda kwao kakaa miezi miwili, alimpigia kuwa amepata mtaalam anampa dawa za uzazi za kienyeji pia akaenda kwa docta akapewa dawa za kuvuta mayai baada ya kamaliza period.
Sasa alirudi kama mwezi umeisha juzi tumbo likawa linamsumbua kwenda kupima anasema ana mimba. Sasa jamaa anakuwa na wasiwasi juu ya hii mimba anaomba ushauri.
Hii mimba itakua kaja nayo au? Afuate njia gani kuamini kama huu ujauzito ni wake? Ushauri yupo hapa nitampa mrejesho.