Hebu Sikieni Furaha Yangu

Hebu Sikieni Furaha Yangu

Nini kilicho wapelekea wakatengana na wewe ukawarudisha?
Jamaa umewasiliana nae anasema kilicho sababisha watengane amesha kisolve?

tulishazungumza naye mamb mengi sana na sioni busara yoyote kuyaweka hapa kama yalivyo ndio maana nikatoa muhtasari tu. but nionavyo ile nyumba na kwa hatua hii waliyofika, naamini hicho kilichowatenga watakisolve. tuendelee kuwaombea na kuwapa support yoyote inayoitajika.

nasisitiza tena, siyo mimi niliyewarudisha, ni Mungu mwenyewe amewarehemu watoto wake. mimi nimefurahishwa tu na reheme hizi za Mungu wetu zinazodumu vizazi hata vizazi
 
Furaha yako ilikuwa nini?
Kuwaunganisha au
kukwepa kutendwa?
 
Furaha yako ilikuwa nini?
Kuwaunganisha au
kukwepa kutendwa?

Jamaa alikaa kooni alikuwa anamtaka sasa walipo rudiana na mke wake huyu akawa anapumua na akapata sababu ya kumpiga chini
 
Miss Judith nikusifie kwa kitendo cha aina yake; mpo wachache sana wa aina yako, tafadhali pokea pongezi zangu za dhati!
 
Miss Judith nikusifie kwa kitendo cha aina yake; mpo wachache sana wa aina yako, tafadhali pokea pongezi zangu za dhati!

nimezipokea kaka na asante sana, sifa na utukufu apewe Bwana, hakika Mungu ni mwema sana
 
Furaha yako ilikuwa nini?
Kuwaunganisha au
kukwepa kutendwa?

Jamaa alikaa kooni alikuwa anamtaka sasa walipo rudiana na mke wake huyu akawa anapumua na akapata sababu ya kumpiga chini

So, if your time had come when you met him, you would have acted otherwise?

dear wapendwa, kindly note that maswali yote haya yameishajibuwa vizuri kwenye post zangu zilizotangulia humuhumu kwenye hii thread, please search. stay blessed
 
Si kuna swala la kusubili mama maana subira yavuta kheri shostito au sio?

Ni kweli Mkuu subira yavuta heri lakini pia kuna ile Biological clock ticking very fast. Natumai dada yetu Judy yake bado ina masafa marefu hivyo anaweza kuendelea kusubiri bila ya kuwa na wasiwasi.
 
leo nimepata furaha kubwa sana. kuna mkaka mmoja aliwahi kuniapproach miaka ya nyuma akitaka kunichumbia na aliniambia ukweli kuwa alishadivorce na alipata mtoto mmoja kabla ya hiyo talaka. siku moja nikampa mtihani kuwa ampigie mtalaka wake simu mbele yangu amwambie kuwa licha ya talaka yao, anaomba wazae mtoto mmoja zaidi kwani hapendi kuwa na watoto na wanawake tofauti. alisita sana kwani alisema mtalaka wake ana maneno makali sana tena saa nyingine ya kashfa na angeweza kumtukana. baada ya kumhakikishia kuwa kama atamtukana nitamkubalia ombi lake palepale, alikubali.

alipompigia, mkewe alikuwa tofauti na alivyomtarajia. alicheka kwanza kwa mzaha, baadaye akamuuliza "leo una nini wewe, kitu gani kimekupata hadi unafikiria hivyo? natamani nikuone leo nijue kilichokupata!" walipokata simu alishangaa sana kwa maongezi yale, nilimwambia kuwa Mungu akishaunganisha watu huwa hawawezi kutengana, nikamwambia aendelee kumpigia simu kama hizo na amtafute ila akimkataa, tutakubaliana kuoana. sasa leo kanipigia simu anasema kuwa kakubali kuzaa naye! wow. God is at work! i am soooooo happy wapendwa.

jamani ALICHOKIUNGANISHA MUNGU, MWANDAMU ASIKITENGANISHE please!!!!!!!!!!!!!
halafu unakomba mzigo au...?
 
Kubali kuwa mke wa pili kama yule wa Dokta Silaa, kanisa si linaruhusu? Na kama haliruhusu muulize Dokta Silaa akupe maujanja aliyotumia mpaka kuweza kuwa na nke wa ntu.
 
Kubali kuwa mke wa pili kama yule wa Dokta Silaa, kanisa si linaruhusu? Na kama haliruhusu muulize Dokta Silaa akupe maujanja aliyotumia mpaka kuweza kuwa na nke wa ntu.

umepotea?? rudi kule kwenye siasa haraka
 
Nazidi kuamini mama kwamba unabusara sana , u r really a philosopher. tulia tu utampata aliye wako! Na hiyo signature yako ni sala tosha!
 
Kubali kuwa mke wa pili kama yule wa Dokta Silaa, kanisa si linaruhusu? Na kama haliruhusu muulize Dokta Silaa akupe maujanja aliyotumia mpaka kuweza kuwa na nke wa ntu.

Mungu wangu hivi huyu mtu ana akili kweli?
 
Nazidi kuamini mama kwamba unabusara sana , u r really a philosopher. tulia tu utampata aliye wako! Na hiyo signature yako ni sala tosha!

asante kaka, ubarikiwe sana
 
Back
Top Bottom