Hebu sikieni ninavyowaza!!

Ama kweli Mtakatifu nimezeeka hivi nilikuwa wapi mpaka hili neno likanipita,nisubiri chumbani tumalizane huko mama................
 
Ama kweli Mtakatifu nimezeeka hivi nilikuwa wapi mpaka hili neno likanipita,nisubiri chumbani tumalizane huko mama................

Mtakatifu mi niko likizo bwana, huko chumbani huko mmmmmh................
 
Mtakatifu mi niko likizo bwana, huko chumbani huko mmmmmh................




Chumbani usipaogope mama,na likizo sikubaliani nayo ni vyema tu maisha yakaendelea kama zamani kwanini ujitese sababu ya mtu ambaye hakuwa na nia na wewe,kumbuka kuwa bado unakula unashiba na chakula unachokula kinatengeneza hormones za mwili wako ili uwe kamili hivyo kujipa likizo ni sawa na kujitesa wakati huyo aliyekufanya uwe hivyo yeye anaendelea na maisha kama kawa..........
 

Kwa hiyo Mtakatifuuuuuuuuuuuuuu!!!!
Sasa huko chumbani ndo likizo tuimalizie humo auuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!
 
Labda uwe MTAWA ,vinginevyo wangekutafuta wakware profesional na ukaona likizo ulijipa ya nini!!Wengine wanatumia sijui dawa au ubobezi,oohoo
 
Labda uwe MTAWA ,vinginevyo wangekutafuta wakware profesional na ukaona likizo ulijipa ya nini!!Wengine wanatumia sijui dawa au ubobezi,oohoo

Hili wazo naona nilizuri pia,
nakuwa mtawa wakujitegemea lol!!!
 
Kuna wakati tunda ukilivundika huwa linavunda!!!

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haha!!!!
Duuu, ngoja nimalizie likizo mwezi huu aisee!!
 
Kwa hiyo Mtakatifuuuuuuuuuuuuuu!!!!
Sasa huko chumbani ndo likizo tuimalizie humo auuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!



Ndio nilichomaanisha maana ukiendelea na likizo utakuwa hujatutendea haki...
 
Asi utaimalizia kwangu likizo yako ee....:A S-heart-2::A S-rose:

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
Mmmmh, na huo mchakamchaka wako, nitauweza kweli,
Sijasahau ule ugonjwa wako aisee, au umepona...............................!!!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!
Mmmmh, na huo mchakamchaka wako, nitauweza kweli,
Sijasahau ule ugonjwa wako aisee, au umepona...............................!!!




Shaka ondoa mama,tutakimbia polepole si unajua hata gwaride lina mwendo wa pole na mwendo wa kasi?Tutaanza na mwendo wa pole mpaka pale .................................
 
Hilo la kupangilia maisha nakiri ni kweli, lakini nahisi huyu mtu nimemsamehe, ingawa sitaki kumuona, wala kusikia habari zake!!!

LD tulia moyo kabisa.hupaswi kujinyima raha tafuta mpenzi wa kweli na utampata!wapo wanaume wengi sana waaminifu!utapata na utasahau yote yaliyotokea!being single sometimes ni kuzuri sana ila sio wakati wote.kila la kheri mrembo
 
LD tulia moyo kabisa.hupaswi kujinyima raha tafuta mpenzi wa kweli na utampata!wapo wanaume wengi sana waaminifu!utapata na utasahau yote yaliyotokea!being single sometimes ni kuzuri sana ila sio wakati wote.kila la kheri mrembo

Popompo kaka angu, hivi natafuta je huyu mpenzi, hebu nipe mbinu za kutafuta!!!!!!
 
Shaka ondoa mama,tutakimbia polepole si unajua hata gwaride lina mwendo wa pole na mwendo wa kasi?Tutaanza na mwendo wa pole mpaka pale .................................

Ngoja nikufikirie, kama kuna compatibility yoyote iliyopo kati ya Mtakatifu na LD!!!
Halafu nitajua...............
 
Mh!! pole sana LD ila hiyo bwana ni ajali kazini tu,je ukimaliza likizo ukakutata na mvunja moyo mwingine utajipa likizo tena kama hiyo?samehe sahau,weka moyo wazi akija kijana mwingine mpe upendo wote ila ile kitu uwe mchoyo kidogo,unajua nini sometimes mwanaume akikukamata sana na akakumaliza atasubiri nini sasa utakacho m surprise nacho?alafu anaona kama yeye sio mmeo ushamwachia kila kitu utamshawishije huwezi toa hiyo offer kwa mtu mwingine?Yapomambo mengi tu yakupima mapenzi ya kweli hiyo kitu ni muhimu but sio lazima.Nakutakia kila raheli:decision:
 

Nimesikia kwa masikio yote mawili Charger!!
Thanks!!
 
Una umri gani? Lets make a simple comparison. Imagine uombe ban ya miaka mitano hapa JF ukirudi sijui utaikutaje? Unafikiri wanaJF would stop waiting for you or they will just move on? Tena ukirudi JF baada ya miaka mitano utakuta kumeongezewa applications mpya, which you need to learn first.
 
Pole sana LD kaza BUTI Mungu amekuandalia mwingine atakayeziba hiyo nafasi iwapo utaendelea KUMUHESHIMU! Pole tena Mamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…