Hebu sikieni ninavyowaza!!

Hebu sikieni ninavyowaza!!

kujipa likizo ni kujiongezea stress....

it's like a woman whose kid dies JUST AFTER giving birth,halafu ''akajipa likizo'' ya miaka kadhaa ya kutokuwa na mtoto....

i'm telling you my dear.....UNAPATA MADHARA MAKUBWA SANA KISAOKOLOJIA

Mi nilidhani, napunguza stress, kwa sababu nimejiona nimejifunza mengi kuhusu wanaume,
Mfano mimi nilikuwa namwamini mtu asilimia mia moja, nikidhani nilivyomwaminifu mimi ndivyo na mtu mwingine alivyo.
Nilikuwa siamini kama mwanaume anaweza akawa na wasichana/wanawake wawili wa tatu kwa pamoja, hata kama anamuabudu Mungu,
na kuhudhuria kanisani. Lakini sasa nimejua.
 
Kila kitu ni uamuzi LD, kama umeamua utaweza, miaka mitano siyo mingi ukiwa unaishi na amani....................
fuata nafsi yako. kupumzika hasa baada ya kuvunjika moyo ni kuzuri sana ingawa wadada wengi hawataki kufanya hivyo, na matokeo yake unajikuta unahama kwa mkaka mmoja baada ya mwingine maana kila mwanaume unakuwa humwamini.
My advice to u LD, take as much break as you can, hata ikifika miaka 10, so long as you are happy.

Asante FP, kikubwa ni Amani na furaha mioyoni mwetu ni kweli
 
Eti eeh, ukinihakikishia nitakuwa mtakatifu, nitaendelea hadi miaka 20.

Hebu mcheki Carina Teai hapo juu.....
kukimbia tatizo sio ufumbuzi wa tatizo.....usikimbia mahusiano, ni kitu cha kimaisha....usikwepe (labda kama unaamua kufanya mfungo kama wa mama tereza)....
Mapenzi sio 'all sweet'...kuna changamoto zake...zikabili...muhimu usiache moyo ukaamulia akili yako.....
 
yaani we dada unaplan miaka mitano....again unakuwa na signature imeandikwa

Who knows what tomorrow has to offer??
 
Hivi LD, heart breaking huwa ni kwa akina dada tu, au hata wanaume?
Naona akina dada wengi ndo wahanga sana wa hii kitu!

Ni kweli bacha, wahanga sana ni kinadada kwa sababu ya jinsi tulivyoumbwa,
na jinsi sisi tunavyolichukulia swala la mahusiano, hasa kwa First LOVE.

Manake nina uhakika sitarudia makosa niliyofanya mwanzo, kwa hiyo hata ikitokea maumivu yake,
hayatakuwa mabaya kivileee!!
 
Hebu mcheki Carina Teai hapo juu.....
kukimbia tatizo sio ufumbuzi wa tatizo.....usikimbia mahusiano, ni kitu cha kimaisha....usikwepe (labda kama unaamua kufanya mfungo kama wa mama tereza)....
Mapenzi sio 'all sweet'...kuna changamoto zake...zikabili...muhimu usiache moyo ukaamulia akili yako.....
sure sure mtakatifu roya....

halafu katika zama hizi za maisha mafupi KWANIN UJIFUNGIE KWENYE KISIWA CHA UPWEKE KWA MUDA WOTE HUO?...
 
Nahisi nitapenda kama zamani, lakini kwa tahadhari sana.
Nafasi ya Mungu ibaki pale pale pia.
If that is the case, Mi nakuambia usisubiri mpaka miaka mitano, kwa sababu sioni kile utakachoweza kukipata ama kukizuia baada ya miaka mitani, maana hata sasa ivi unaweza kupenda kwa taadhari na mambo yakaenda mswano vile vile baada ya miaka mitano unaweza kupenda kwa taadhari na ukaishia kuumizwa tena!!
Mshiki mi katika hili sikushauri kabsaa usubiri hiyo miaka! Happiness can not be guranteed my dia after all five years! Enyoy life bana!
 
Ni kweli bacha, wahanga sana ni kinadada kwa sababu ya jinsi tulivyoumbwa,
na jinsi sisi tunavyolichukulia swala la mahusiano, hasa kwa First LOVE.

Manake nina uhakika sitarudia makosa niliyofanya mwanzo, kwa hiyo hata ikitokea maumivu yake,
hayatakuwa mabaya kivileee!
!
kwani mkuu....

hebu tupe uzoefu hapa....

ULIFANYA MAKOSA GANI?
 
Unaweza sana mimi hiyo miaka niliwahi kabisa kukaa toka 19... mpaka 2001. Ila hiyo sababu ilikuwa bab kubwa na sitaweza kusahau mpaka naingia kaburini maana nilikuwa nachukia kila mwanaume.

Pole DA, nachoshukuru ni vile naona inawezekana, baada ya kuona ninyi mmeweza.
 
yaani we dada unaplan miaka mitano....again unakuwa na signature imeandikwa

Who knows what tomorrow has to offer??

Ni kweli CT, I dont know what tommorow has to offer lol.
Na ndio maana nimeona nisife na kamba shingoni, hebu ngoja nitolewe tongotongo,
kwenye hichi ninachokiwaza. Manake kweli niko siriazi, hata mtu anipe nini saa hii sitaki kusikia neno I Love you!!
 
kwenye bold hapo ni UPOTOSHAJI.....!
mi sitaki kuamini kuna maisha ya ''being happy'' kwenye hii likizo.....

Carina unanishangaza, hujawahi kuwa single and happy? yaani kama huwi happy ukiwa single basi maisha yako yatakuwa magumu sana
 
If that is the case, Mi nakuambia usisubiri mpaka miaka mitano, kwa sababu sioni kile utakachoweza kukipata ama kukizuia baada ya miaka mitani, maana hata sasa ivi unaweza kupenda kwa taadhari na mambo yakaenda mswano vile vile baada ya miaka mitano unaweza kupenda kwa taadhari na ukaishia kuumizwa tena!!
Mshiki mi katika hili sikushauri kabsaa usubiri hiyo miaka! Happiness can not be guranteed my dia after all five years! Enyoy life bana!

Kaka nimekuelewa lakini sasa naona kama miaka mitano itakuwa imenisaidia kujifunza zaidi sijui.
 
My dear sister LD.....pole kwa yaliyokukuta,yametukuta mengi pia wenzio yanayofanana na wewe....shukuru Mungu wewe aliyekutenda ni first love wako,wenzio hadi ten love wameshatuumiza na tunasamehe na kusonga mbele......
Waga tunajipa muda kusamehe,kujifunza kutokana na makosa then kuomba Mungu na kurudisha imani kuwa tunaweza kuwa na wapenzi tena...
Umeshajua kama mimi nilivyojua kuwa Mungu from now on atakuwa namba one....sitaki kumpa mwanaume nafasi ya Mungu na hili linanipa amani na furaha......somo namba moja......umeshajua hupaswi kumuamini mtu 100% bali kumuombea tu kwa msaada wa Mungu ayashinde majaribu na pale anapokosea kutegemeana na kosa usamehe na uvumilie yanayovumilika au uvunje uhusiano inapobidi.....

You can move on my dear after those lessons,waga hatujiwekei muda ili mradi....ni ili tu-reflect uhusino uliopita,wapi tuliokosea na kama maamuzi yalikuwa sahihi....kwa maoni yangu miaka mitano ni mingi......na wewe ni mwanamke....at least build potential relationship zisizokuwa na sex by making friendships......but all in all ni wewe unavyojisikia,any day ukiona you are ready just move on,usijiwekee limits za muda mrefu sana....maisha yanakimbia na kuna vitu havisubiri.......
 
Ni kweli CT, I dont know what tommorow has to offer lol.
Na ndio maana nimeona nisife na kamba shingoni, hebu ngoja nitolewe tongotongo,
kwenye hichi ninachokiwaza. Manake kweli niko siriazi, hata mtu anipe nini saa hii sitaki kusikia neno I Love you!!

Sijui kwanini nahisi hivi.....
Nahisi LD kamwona mr. right....sasa anataka tumtie moyo kukubali kwamba ameanza kupenda kabla ya muda aliojiwekea haujaisha....
 
Angalizo Marufuku kunitania Broken Heart!! Umesikia GY, Asprin, TF, Askofu na Teamo T, bila kumsahau Bigirita. Mjukuu mtiifu umesikia!! na wewe St. RR.

Hizi big ups hapa JF huwa zinanikumbusha kipindi cha salamu redio Tanzania na Malima Ndelema
 
Ni kweli CT, I dont know what tommorow has to offer lol.
Na ndio maana nimeona nisife na kamba shingoni, hebu ngoja nitolewe tongotongo,
kwenye hichi ninachokiwaza. Manake kweli niko siriazi, hata mtu anipe nini saa hii sitaki kusikia neno I Love you!!

tatizo lako ni kwamba ''maisha umeyapangilia sana''...

lakini pia tatizo kubwa ni kwamba UNA KINYONGO KIKUBWA SANA NA HUYO ALOKUTENDA.....!na by the look ninaona wazi kabisa kwamba UNATAKA KUFANYA KAMA REVENGE HIVI...

MSISITIZO:sijaona hata chembe ya ''amani'' moyoni mwako....neither do i see ''msamaha''...naona vita inaendelea!utakachokifanya baadae ni kikubwa sana (kwa utabiri wangu)....naogopa kukiandika hapa
 
Swali la msingi, wakati unafanya uamuzi huo ulikuwa na umri gani? Na sasa una umri gani? Na kwa nini umeuliza mara baada ya miaka 2 kupita? kwanini usingeuliza mara tu baada ya kufanya uamuzi huo. Ila pole kwa yote Muombe Mungu tu atakupa mwenza wa kweli
 
Back
Top Bottom