Hilo la kupangilia maisha nakiri ni kweli, lakini nahisi huyu mtu nimemsamehe, ingawa sitaki kumuona, wala kusikia habari zake!!!
hebu msome my dia Micheele hapa chiniKaka nimekuelewa lakini sasa naona kama miaka mitano itakuwa imenisaidia kujifunza zaidi sijui.
miaka si ishu LD,ni nini hasa unachojifunza wewe?
tehe tehe! highway!
kudos!
hapa ulikosea.....!
tena kama wewe ni mchaga basi utakuwa wa KISHUMUNDU.....yaani wewe ulijichukulia madaraka mkononi UNAANZA TU KUMUAMINI?..lakini pia mimi nadhani ni ''utoto''
sasa mama.....
unamchukulia mtu kama MUME kwani alileta barua ya posa au mahari alitoa?
hivi mama.....!
uliwezaje kujikabishi maamuzi ya KIUME HAYA?
-wewe ndo ulieamini
-wewe ndo ulimchukulia mume
-wewe ndo uliamua kuifikiria ndoa
I MEAN......!what were you thinking?...jibu ninalo....EXPOSURE YAKO KWENYE MALOVEE ILIKUWA NDOGO MNO
sasa mama mi nasema hivi...HIYO ADHABU VIILE UMEJIPA NI KUBWA MNO....YAANI UMEJIVERRATE (kama torress)
Thanks Michelle, nimekupata na ushauri wako hapo juu, ee bwana unajiingiza mzimamzima kwa lijamaa halafu daaaaa...........
Hii thread babu anaruhusiwa kuchangia?:A S 13::A S 13:
:rain::rain::rain:
kwa nini ulijiingiza mzima mzima?Thanks Michelle, nimekupata na ushauri wako hapo juu, ee bwana unajiingiza mzimamzima kwa lijamaa halafu daaaaa...........
yaani wanafanana mno na kwinini hata siwezi kumtofautisha kolokwini ni yupi, nitakachofanya ni kuwaambia wote.
Hii thread babu anaruhusiwa kuchangia?:A S 13::A S 13:
:rain::rain::rain:
urudi na ile nyama aisee!
yaani ninyi wakinamama mnashida sana.....!sisi wanaume tunaosoma katikati ya mistari tunajua kuwa:
1)-bado unampenda sana tena sana
2)-hujamsamehe!hujamsamehe kwakuwa ...(rejea point nr moja)
YUPO KWENYE DAMU YAKO HUYO MTU........!
HE DRIVES YOU CRAZY.......!you know why....?
ld naomba upunguze muda wa hiyo likizo ni ndefu mno,,,nna kaka yangu hatakubrek hat tena,,lol!otherwise u need to move on ld if n only if,u have released.open ur heart for another chance with positive attitude,cheers
mi kuna wengine nilikuwa najiona nikilea nao watoto na tukivishana pete kanisani.....uhusiano ulivyoisha wala sijui....wanaume....salute!!!
mi kuna wengine nilikuwa najiona nikilea nao watoto na tukivishana pete kanisani.....uhusiano ulivyoisha wala sijui....wanaume....salute!!!
Pole DA, nachoshukuru ni vile naona inawezekana, baada ya kuona ninyi mmeweza.
hahahahahaa! umeonaeee!!!
ld naomba upunguze muda wa hiyo likizo ni ndefu mno,,,nna kaka yangu hatakubrek hat tena,,lol!otherwise u need to move on ld if n only if,u have released.open ur heart for another chance with positive attitude,cheers