ld naomba upunguze muda wa hiyo likizo ni ndefu mno,,,nna kaka yangu hatakubrek hat tena,,lol!otherwise u need to move on ld if n only if,u have released.open ur heart for another chance with positive attitude,cheers
Acha tu my dear, mi mtu anayeitwa mwanaume hapa duniani Mungu angeniuliza awape siku ngapi za kuishi ningesema 21 tu.
Binti unamatatizo makubwa.Acha tu my dear, mi mtu anayeitwa mwanaume hapa duniani Mungu angeniuliza awape siku ngapi za kuishi ningesema 21 tu.
Acha tu my dear, mi mtu anayeitwa mwanaume hapa duniani Mungu angeniuliza awape siku ngapi za kuishi ningesema 21 tu.
mi ningewapa lisaa limoja....watusaidie katika reproduction then wapotee....viumbe wanaweza kufanya unywe sumu hawa......:decision::decision:
hapo ndipo utata wa msamaha wako unapoibuka.......Sio kweli hata kidogo!!!
Na kama Mungu hakuwa upande wangu, nahisi ningemfanyia kitu kibaya sana,
Kwa jinsi nilivyokuwa najiona amenipotezea muda na malengo ya maisha yangu.
Lakini naishukuru Neema ya Mungu, sikufanya kitu nilichokuwa nafikiria kukifanya.
Sidanganyi wala sitaniii, nimemsamehe kama mwanadamu mwingine tu wa kawaida, lakiniiiiiiiii mmmh, mwache Mungu tu
aendelee kutusaidia viumbe wake!!!
hiyo spare tyre ndo itauua kabisa huo moyo, maana yule mwingine aliuvunja tu
Binti unamatatizo makubwa.
unahitaji msaada, umeshajaribu kumtafuta huyo unayemuita heart breaker wako siku za karibuni?
Hebu mtafute muyaongee yaishe bana!:A S 13::A S 13:
huwezi ukampenda mwanaume mwingine kama bado unampenda ex wako bana
Aisee.........hebu mfuate....huo ni ushauri wa bure.
Binti unamatatizo makubwa.
unahitaji msaada, umeshajaribu kumtafuta huyo unayemuita heart breaker wako siku za karibuni?
Hebu mtafute muyaongee yaishe bana!:A S 13::A S 13:
huwezi ukampenda mwanaume mwingine kama bado unampenda ex wako bana
Aisee.........hebu mfuate....huo ni ushauri wa bure.
Acha tu my dear, mi mtu anayeitwa mwanaume hapa duniani Mungu angeniuliza awape siku ngapi za kuishi ningesema 21 tu.
Nakubali nina matatizo, lakini kwa sababu unaupenda ukweli zaidi,
Huyo unayenambia ni mtafute sasa hivi nasikia ni mume wa mtu, na ameshafunga ndoa.
Bada unataka nikamtamfute??
Dah, unajikuta umejinyonga hivi hivi!!!
Kila kitu ni uamuzi LD, kama umeamua utaweza, miaka mitano siyo mingi ukiwa unaishi na amani....................
fuata nafsi yako. kupumzika hasa baada ya kuvunjika moyo ni kuzuri sana ingawa wadada wengi hawataki kufanya hivyo, na matokeo yake unajikuta unahama kwa mkaka mmoja baada ya mwingine maana kila mwanaume unakuwa humwamini.
My advice to u LD, take as much break as you can, hata ikifika miaka 10, so long as you are happy.
hebu kwanza kiri kwamba bado wampenda huyo x...regardless of what!
Mnatulalamikia sana kwa sababu mnatupenda sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....
Naomba uwe spare tyre wangu tafadhali.
Hii thread babu anaruhusiwa kuchangia?:A S 13::A S 13:
:rain::rain::rain:
hapana :hand::hand::hand:
Bila kujali ushauri wa hawa Beijing wawili hapa juu:babu si unaona inawezekana? tatizo ni kuamua tu, ukiamua napumzika unaweza, yaani baiolojia haina say kwa mwili wako........ mfungo unawezekana, ni maamuzi tu
Naomba uwe spare tyre wangu tafadhali.