Hebu 'singo mama' saidieni wake zetu kupata wasaidizi wa kazi za nyumbani.

Hebu 'singo mama' saidieni wake zetu kupata wasaidizi wa kazi za nyumbani.

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ni kwamba wasioolewa tu ndo wana muda wa kutosha kujipatia wasaidizi wa kazi za ndani wenye hadhi?

Yaani unakuta wanaendana, wengine hadi wanavaliana nguo. Msaidizi mrembo, msafi na mchangamfu kiasi kwamba hata ukifika yuko mwenyewe unakuwa na amani kwa bashasha.

Hizi sampuli wanazojipatia wake zetu ni daraja la chini kabisa, hata kushinda na watoto wetu ni basi tu.

Au kuna siri gani mkiolewa tu mnabadili sampuli?
 
Usiruhusu mkeo atafute msaidizi wa kazi ndani atakuletea mtu haeleweki na kituko sababu anajua analeta mpinzani ndani kwake. Wewe organize kila kitu tafuta dada mzuri ambaye hata akivaa nguo hapo ndani wageni wakija wanauliza huyu ni mdogo wako au ndugu yako yaani wasione kabisa sura ya mfanyakazi hapo ndani.
 
Back
Top Bottom