itakuwa una kabifu na mtoa mada teteteeeh angalia ujumbe si mtoa ujumbeComments zako nyingi huko nyuma wala hazikuwa za kumpenda Wema, sasa leo from nowhere tu eti umekuja kama mtu mwema wa kumshauri....Mama kalee mumeo,wanao,na ndugu. kama huna mume, mwana wala ndugu tafuta lingine la kufanya........la Wema waachie ndugu na wanafamilia. Ya nyumbani kwako hujayamaliza leo ukamvalie njuga Wema utayaweza?? Smahani kwa kukutouch. byeeeeee