Tanki
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 538
- 246
Habari wakuu, naamini hii itasaidia Kwa wafanyabiashara na wanunuzi. Hebu Leo tuambiane siku ambazo magulio / minada / hufanyika.
Naomba nianze na Dar es salaam nilipo.
Kivule Sokoni = Kila Jumanne
Kitunda = Kila Ijumaa
TABATA Kinyerezi (Mahakamani jirani na Kinyerezi park ) = Kila Jumatatu
KINONDONI BIAFRA = Mnada ni Kila Jumamosi.
Wakuu, ongezeeni ratiba ya minada ya huko mlipo
Naomba nianze na Dar es salaam nilipo.
Kivule Sokoni = Kila Jumanne
Kitunda = Kila Ijumaa
TABATA Kinyerezi (Mahakamani jirani na Kinyerezi park ) = Kila Jumatatu
KINONDONI BIAFRA = Mnada ni Kila Jumamosi.
Wakuu, ongezeeni ratiba ya minada ya huko mlipo