Hebu tuambizane, hospitali binafsi zimeanza mgomo baridi Kwa wanaotumia Bima za NHIF?

Hebu tuambizane, hospitali binafsi zimeanza mgomo baridi Kwa wanaotumia Bima za NHIF?

Tatizo sio bima kubwa au ndogo, tatizo ni NHIF kutolipa kwa wakati madai ya watoa Huduma. Na sasa ndio wamepunguza vitita mfano, huduma iliyokuwa inalipiwa 25,000/= imeshushwa hadi 14,000/=

Ebu fanya maamuzi hapo, jifanye wewe ndio mtoa huduma
Mtoa huduma lazima wawe waelewa tu kwa maana ugonjwa sio kitu kizuri wawambie watu waongeze pesa unawaambia kiasi kimepunguzwa so huduma hii kwa leo naruhusu ila kwa siku nyingine inabidi uongeze pesa maana imekatwa asilimia fulani basi
 
Duh ni wakati sasa watanzania kuachukulia suala la afya serious.

1.Shusha neti unapo taka kulaa kama kuna mambu mbu huko kwako.

2.Jitahidi kunywa maji safi na salama

3.Makachumbali kachumbali kwa mama ntilie punguza

4.Tumia CD huko vichochoroni usipatwe na magono na makaswende.

5.Kumbuka kuangalia kulia na kushoto unapo vuka barabara...[emoji16][emoji16]
Hayo Makachumbali Makachumbali ndio mpango mzima kuleta ladha hasa ukimix Kwa Mihogo😁
 
Back
Top Bottom