Hebu tuangalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais Magufuli Maabara kuu ya Taifa

Ebana wewe ni mzito sana kuelewa!Mimi napingana na aina ya sampuli zilizopelekwa!Ilitakiwa zipelekwe sampuli ambazo zinatambulika na kifaa husika!Sasa kama kifaa hakijawa designed kutoa majibu ya haitambuliki unataka kitoe hivyo?Ni sawa wewe uweke mkojo au damu ya mbuzi kwenye kipimo cha kupimia HIV,chenye outcome mbili tu ambazo ni + au -,kikipuka jibu kati ya hayo mawili utalaumu kifaa au wewe ambaye umeweka mkojo?
Njia sahibi ni kuweka damu ya binadamu ambayo tayari unajua majibu yake,fanya hivyo kwa mara nyingi iwezekanavyo ili kubaini ubora wa kifaa!Sikubaliani na aina za sampuli zilizopelekwa!
 
Sample inapoletwa maabala huwezi kujua ni ya nini kwa vile ni swab. Swab inatumiwa kuchukua sample wenye kitu chochote. Unaposiki kuwa virus wanaweza kuishi kwenye surface fulani kwa muda kadhaa in maana wamekenda kuchukua sample kutoka kwenye hiyo suface kwa kutumia means fulani ambayo kwa kawaida wanatumia swab. Kitu wanachofanya ni kuswab eneo ambalo wanafikiri liko contaminated na kupima. Sasa kama papai liko contaminated na ukaswab sehemu ambayo virus vipo papai litakutwa positive pia.
 
Mkuu hebu ngoja kwanza, hivi vifaa vilikuwepo hapa nchini kabla ya corona na vilikuwa vikitumika kwa matumizi mengine!!?? Ama sijakuelewa vizuri.
Ndiyo mkuu. Ukiondoa hizi Kits ambazo zimeingia majuzi PCR based techniques ziko siku nyingi tu nchini. Hizo Kits za Kichina hata za Mmarekani hazitambuliwi na WHO. Zipo kwa ajili ya screening tu.
 
Hicho unachokisema sio sahihi mkuu, hili linafahamika mkuu kama sample iliyo pimwa sio sahihi kwa matumizi ya kifaa husika kifaa kitashindwa kuitambua hiyo sample na si kutoa majibu ya positive na negative.

Kuna taarifa huko Kenya kuna mtu alipimwa Boda ya Uganda akakutwa positive, akarudishwa Mombasa karantini akapimwa tena na majibu yakaja Negative kuwa Hana.

Tena akapimwa mara mbili kwa uhakika zaidi jibu bado ni negative.

Huoni hapo tunazidi kuvumbua utata juu ya hizi machines.
 
Na iliyokutwa negative nayo ilikuwa contaminated na vitu gani hadi hicho kipimo kikatoa jibu negative??
 

Cases kama hizo huwezi kurukia kwenye conclusion kwa kutumia maabara moja.

Mngepeleka sample hizohizo Nairobi, Kampala na Kigali. Halafu ndio mje na conclusion.

Wenye akili wanaelewa namaanisha nn.
 
Ndiyo mkuu. Ukiondoa hizi Kits ambazo zimeingia majuzi PCR based techniques ziko siku nyingi tu nchini. Hizo Kits za Kichina hata za Mmarekani hazitambuliwi na WHO. Zipo kwa ajili ya screening tu.
Kwahiyo kwasasa tunatumia hizo zilizokuwepo hapa nchini au tunatumia hizo tulizoletewa??
 
Cases kama hizo huwezi kurukia kwenye conclusion kwa kutumia maabara moja.

Mngepeleka sample hizohizo Nairobi, Kampala na Kigali. Halafu ndio mje na conclusion.

Wenye akili wanaelewa namaanisha nn.
Umeyasikia ya huko Kenya na Uganda?
 
Ndio nakuuliza kama hizo sample ziko contaminated kwenye process yote hiyo na mtu aliye chukuliwa hiyo sample akapewa majibu ya positive Inamaana tuna wagonjwa ambao ni positive kwa makosa na sio kwamba wanaumwa Corona kama walivyo ambiwa??

Unasema madaktari wangegundua, wangegundua lini wakati tunaona hapa hadi Rais ndio anakuja kuwafumbua macho mkuu?.
 
Mnaongelea vipimo wakati watu wanakufa. Ubovu wa vipimo lawama ziebde kwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu kufa haituzuii sisi kujaji vipimo,

Lawama zitaenda kwa hawa wataalam wetu kwa kuto kuvichunguza hivo vipimo wakati wao ndio wamepewa dhamana na wanalipwa kwa kazi hiyo.
 

Mimi ningelimuona Rais ana busara Kama sehemu ya zile samples za: Mbuzi,kondoo,Kware na Papai angepeleka Kenya au Afrika Kusini halafu RESULTS ziwe compared!
Huwezi ku-conclude kws Test kit 1 tu bila kupambanisha na Kit zingine ili kuondoa any shadow of doubt!

Kwenye Maabara yoyote huwezi kuwa 100% accuracy Kama hukuchukua all necessary measures wakti wa Testing. Inawezekana kabisa samples zile zilikuwa contaminated hata kabla haxijafika Maabara Kuu a kulikuwa na Uzembe in handling the samples before and after being received at the National LABARATORY...Who knows?
 

Kama maelezo yako ni sahihi Ina maana Vipimo vyote vya Covid-19 Tanzania Ni Fake na Ubabaishaji mtupu!
But a serious concern is this: Wagonjwa wapo na watu wanakufa kwa !!
Sasa hapa tumwamini JPM au tuwaamini Wataalamu na Maabara? Who is trying to tell the truth or lie and for whose interest????😎😎
 
Kutokana na hayo hayo unayo jiuliza ndio mana hata Rais ameamua kuita tume ya wachunguzi huko maabara kuu ili tujue kipi ni kipi kutokana na ukakasi uliovumbuliwa.
 
Watu kufa haituzuii sisi kujaji vipimo,

Lawama zitaenda kwa hawa wataalam wetu kwa kuto kuvichunguza hivo vipimo wakati wao ndio wamepewa dhamana na wanalipwa kwa kazi hiyo.

Hawa Wataalamu hawana hatia mnataka kuwaonea tu! Wao wanakuwa GUIDED na vipimo kwa kupata swap sahihi toka kwa Binadamu under suspect ya Covid-19!

Sasa Kama mtu anakufanyia HILA anakuletea OIL, PAPAI, FENESI, KWALE etc, expect a very COMPLICATED RESULTS Kama tulivosikia: INDERTEMINATE, NEGATIVE na POSITIVE altogether!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…