Hebu tuangalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais Magufuli Maabara kuu ya Taifa

Hebu tuangalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais Magufuli Maabara kuu ya Taifa

View attachment 1440538

Soma mwenyewe hapo inaonekana vya wazungu unavikubali sana, sa sijui na hawa utawapinga

Siyo kwamba nakubali vya wazungu bali nataka wanasayansi wetu wanavyoambiwa kwamba kitu fulani kiko hivyo wasiwe wanakubali kirahisi (kibubusa) kama ngumbaru/ wajinga bali kuthibitisha kama hilo jambo kama liko hivyo wawe wanaingia maabara kufanya utafiti ili wapate ukweli mtupu na siyo kutegemea wazungu.

Halafu kuhusu wansayansi kufanya utafiti, jiulize tu mwenyewe watakua na uhuru huo katika serikali hii?

Mwanasayansi gani aliyejitokeza kufanya uchunguzi huo ila serikali ikamnyima uhuru?

wakati swala la kutoa taarifa za wagonjwa tu limewatoa imani?

Huo ndiyo udhaifu wa serikali kwa kipindi hiki ingawa hauhusiani na kufanya utafiti mkuu na haumzuii mwanasayansi kufanya utafiti.
 
Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.

Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.

Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.

1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!

Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??

Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??

2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!

Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.

Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??

Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??

Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.

3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.

Hii hoja haina mashiko.

Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??

Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??

Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??

Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.

Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..

Kuna sehemu haiko sawa katika hili.

Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Naunga mkono hoja
 
We unataka kutuambiaje sasa? Kwamba vipimo ndio tatizo au wanasayansi ndio wenye tatizo?

Vipimo ambavyo vilitumika kupima idadi ile ya watu na kukuta ma maambukizi, halafu jitihada za kimatibabu zilipofanyiwa kwa watu hao mpaka ikapelekea wapone. Unaweza kutuambia vilitumika vifaa gani kuthibitisha kua wagonjwa hao walipona?

Au ni madaktari kutoka nchi gani na vipimo kutoka wapi vilivyo confirm kua wagonjwa hao wame-recover wakati hivyo vipimo hutoa majibu ya positive katika kila test itakayo fanyika?
Tatizo ni waatalam hawana umakini na kazi yao coz huwezi kupelekewa majmaji ya papai na nanasi usigundue kitu chochote hapo ni tatozo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.

Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.

Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.

1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!

Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??

Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??

2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!

Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.

Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??

Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??

Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.

3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.

Hii hoja haina mashiko.

Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??

Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??

Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??

Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.

Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..

Kuna sehemu haiko sawa katika hili.

Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Pumba pumba pumba mashudu mashudu mashudu takakata takataka takataka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We unataka kutuambiaje sasa? Kwamba vipimo ndio tatizo au wanasayansi ndio wenye tatizo?

Vipimo ambavyo vilitumika kupima idadi ile ya watu na kukuta ma maambukizi, halafu jitihada za kimatibabu zilipofanyiwa kwa watu hao mpaka ikapelekea wapone. Unaweza kutuambia vilitumika vifaa gani kuthibitisha kua wagonjwa hao walipona?

Au ni madaktari kutoka nchi gani na vipimo kutoka wapi vilivyo confirm kua wagonjwa hao wame-recover wakati hivyo vipimo hutoa majibu ya positive katika kila test itakayo fanyika?
Wewe hukusoma nilichoandika na kama umesoma basi hukuelewa chochote.
Samahani kwa hilo mkuu.
 
Hao waliochukuwa sample za mapapai hawana utaalam ndiyo sababu tunasema huenda sample zilikuwa contaminated. Sasa unatumiaje hiyo hoja kwa sample zinachukuliwa na wataalam waliosomea kazi yao na wenye uzoefu, ondoa huo utetezi wako
Wewe pia hukuelewa kitu umekurupuka mkuu, hiki unachosema nimekieleza hapo kwenye mada soma tena kwa makini uelewe alafu uje na hoja mbadala hapa mkuu.
 
Kabla hata ugonjwa haujaja hapa bongo, madaktari kutoka nje walikua wakitoa rai kua mgonjwa wa corona akigusa kitu chochote lazima aache virus.

Sasa kama virus anaweza kukaa kwenye chuma endapo mgonjwa wa corona akishika unafikiri ni ngumu virus kukaa kwwnye liquid ya papai wakati ndio mazingira rafiki kutokana na ile liquid?

Kama wao walikua wanajua kisayansi haiwezekani virus wakawepo katika mapapai, walianzaje kupeleka sampuli hizo lab?
Mkuu narudia tena kukusisitiza, soma tena mada vizuri uelewe nilichoandika mkuu.
 
Umeambiwa wanapima DNA?Yaani unataka sampuki ije waanze kuhangaika kupima DNA ili wajue kama ni sampuli ya binadamu au mnyama?Sio sawa!Nadhani ilipaswa timu ya Rais kupeleka sampuli za binadamu!Walipaswa labda kupeleka sampuli za mtu mmoja ila kwa majina 10 tofauti ili kuona katika sampuli hizo kumi za mtu huyo huyo mmoja zitaleta majibu ya namna gani!

Unapochukua sampuli za wanyama na mimea,huwezi ukajua wana virus gani na hureact vipi pindi sampuli zao zinapoingizwa kwenye mashine za kupimia Covid 19!Usahihi nadhani ungekuwepo kama tungepeleka known specimen ya binadamu na kuchanganya vitu!

Pia nimlaumu Rais kwa kukimbilia kutoa shutuma kuwa anahujumiwa na Mabeberu kwa kushirikiana na wataalamu wa maabara ya taifa!Vp kama uchunguzi utakuja na majibu tofauti?

Atatoka hadharani kuomba radhi kama alivyotoka kushutumu?Kwanini asingesubiri awe na uhakika kwanza ndio aongee?
Naona unarudia yale yale mkuu, kwani hivo vipimo si vimetengenezwa specific kupima corona?

Kama imeletwa sample ya mmea au mnyama ambayo ni tofauti haitakiwi kwanini isitowe majibu ya kutokuitambua hiyo sample iliyopimwa na badala yake inaleta majibu positive/ negative??

Utawatetea vipi hao wataalam kuhusu weledi wao mkuu, yaani we nikuletee sim ya Nokia yenye cover la Samsung alafu nakwambia hii ni Nokia peleka sokoni, wewe kama mwanasayansi ulie bobea kwenye masuala ya uvumbuzi na utengenezaji wa simu alafu unakubali na kupeleka kweli sokoni, hivi hapo tutaacha vipi kuwa na mashaka na taaluma yako??
 
Hawa kuwa disproove ni rahisi sana

Unamuambia twende mguu kwa mguu shambani kwangu huku camera zikichukua kila tukio halafu nichukue sample kisha nizipime then tuone kama kweli kila papai lina corona
Sasa naona mkuu unaleta siasa zile zile, kwamba hizo sample wameenda kuzichukua wakiwa na ma camera!!!!?
 
Walisema lini? lete tuone hayo maandishi au video walizokuwa wanasema hivyo.

Kwanini wanasayansi wa wetu wasingefanya utafiti kuhusu hilo jambo mpaka wasubiri vidume vifanye na wao ndiyo waegemee humo humo. Wanasayansi wetu ni tatizo kubwa sana. Uelewa wao ni mdogo sana na hauendani na ukubwa wa matokeo yaliyo kwenye mavyeti yao na kwa namna wanavyovimba mtaani.
Licha ya hilo mkuu, kwanini hivi vifaa hawakuvifanyia utafiti vilipokuja badala yaka wakavipokea jumla jumla na kuanza kuvitumia hivi ndivyo taaluma yao inavyotaka??
Yaani hawakupata wazo hata chembe la kuvijaribu hivi vifaa, tutaacha vipi kujaji weledi wao??
 
Hahahahahhh

Mkuu ni aibu, dharau na dhihaka sana kukosolewa na mwanasiasa ambaye hana elimu uliyonayo. Mtu umekaa miaka 7 unasomea taaluma fulani halafu leo hii unadhalalishwa unakaa kimya?

Kama alichofanya mwanasiasa ni uongo basi hao wanasiasa waje na findings zitakazosheheni ukweli mtupu.
Mkuu nadhani una la kujifunza zaidi katika hili.
 
Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.

Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.

Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea maelezo.

1 vipimo ni Specific kwaajili ya kupima virus ama bacteria, hivyo huwezi kupima sample tofauti DNA/RNA hivyo basi hakiwezi kupima papai, lazima kitaleta majibu tofauti.!!

Hoja hii haina mashoka kama ni hivo kwa nini vipimo hivi vimetoa majibu ya positive na negative wakati sample sio sahihi??

Je wataalam wetu walijaribu kuvifanyia uchunguzi wowote hivi vifaa pindi vilipokaja kabla hawajaanza kuvitumia??
Kama hawakufanya kwanini waliviamini moja kwa moja, taaluma yao iko wapi hapi??

2 wataalam wengine wakaja na hoja kuwa majibu yanaweza kuwa positive kwasababu sample zinaweza kuwa zinamaambukizi (Contaminated) ama wakati wa kuchukua sample ama wakati wa upimaji hivyo kipimo kitatoa majibu Positive.!!

Okay.
Sasa kama ni hivi hamuoni hapo kuna uwezekano kuna watu ambao ni negative hawana maambukizi Ila kwasababu ya uzembe/ makosa wakati wa kuchukua sample ama uzembe wakati wa upimaji wakaiambukiza hiyo sample na kumpa mtu majibu ya positive kumbe Hana maambukizi?? Mtu unapewa ugonjwa ilihali huumwi.

Alafu hivi kama hiyo sample sio sahihi na imetoa positive kwasababu ipo Contaminated mbona sample za nanasi na kondoo zimetoa majibu negative??
Kwanini iwe negative wakati sample sio sahihi na haipo contaminated??

Hili limekaaje sasa wataalam? Inamaana kama inangekuwa haipo contaminated si ingetoa majibu kuwa haitambuliki (sample sio sahihi) kwanini Sasa ikatoa negative??

Halafu Inamaana team ya watafiti wa Rais hawakuwa na uelewa kabisaa kiasi kwamba wakazichukua sample tu ovyo ovyo bila ya umakini wowote na kuzipeleka tu zikapimwe hadi zinapata maambukizi??
Siamini kama ni wajinga kiasi hiki.

3 Wengine wanasema kuwa mh anawadharau wataalam, hana shukurani,anadanganya umma, anataka kuficha wagonjwa n.k.

Hii hoja haina mashiko.

Inakuwaje madaktari na wataalam wabobezi kabisa kwenye utafiti na vipimo unaletewa sample ya papai na fenesi unaambia ni ya binadamu halafu unakubali na kwenda kuipima??

Hii inatoa picha kuwa wataalam wetu wanalipua lipua tu na hawako makini na kazi yao, kama wako makini hili linawezekanaje??

Hamuoni hapa kunatakiwa kufanyaka uchunguzi wa kina kama Rais alivyotilia shaka??

Kumbe sample zinakuwa contaminated hapo hapo maabara na kutupa majibu ya positive kwanini waachwe Sasa??.

Watanzania wenzangu Mimi kwa maoni yangu mh Rais anahoja ya msingi sana tusimpuuze, hawa wataalam wetu ndio wanatudanganya mh Rais yuko sahihi..

Kuna sehemu haiko sawa katika hili.

Kama una majibu ya maswali hayo uje hapa ulete ufafanuzi.
Hoja yako ni ipi hapa?

Wataalamu ndiyo tatizo au vifaa ndiyo tatizo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeambiwa wanapima DNA?Yaani unataka sampuki ije waanze kuhangaika kupima DNA ili wajue kama ni sampuli ya binadamu au mnyama?Sio sawa!Nadhani ilipaswa timu ya Rais kupeleka sampuli za binadamu!Walipaswa labda kupeleka sampuli za mtu mmoja ila kwa majina 10 tofauti ili kuona katika sampuli hizo kumi za mtu huyo huyo mmoja zitaleta majibu ya namna gani!

Unapochukua sampuli za wanyama na mimea,huwezi ukajua wana virus gani na hureact vipi pindi sampuli zao zinapoingizwa kwenye mashine za kupimia Covid 19!Usahihi nadhani ungekuwepo kama tungepeleka known specimen ya binadamu na kuchanganya vitu!

Pia nimlaumu Rais kwa kukimbilia kutoa shutuma kuwa anahujumiwa na Mabeberu kwa kushirikiana na wataalamu wa maabara ya taifa!Vp kama uchunguzi utakuja na majibu tofauti?

Atatoka hadharani kuomba radhi kama alivyotoka kushutumu?Kwanini asingesubiri awe na uhakika kwanza ndio aongee?
The whole process was a waste of time and resources.

Watu serious na watu wanaowaongoza hawawezi kufanya ule upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
point kama hizi ufipa hawataki juzisikia kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna point yoyote hapo uchafu tu.
Ujumla alitakiwa achukue sample za mtu yeyote zikapimwe kwa siri hata mara mbili tatu aone ajibu yakoje.

Alafu achukue sample zile zipelekwe mashine zingine ayo itoe majibu.
Ndipo uwe na maajibu.

Hizo machine ni maalum kwa kupimi corona na si vinginevyo. Unafikiri uchukue mavi unadhani inakupa maji gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom