Hebu tuanzie hapa: Ben Saanane alitoka kwao saa mbili asubuhi ila hakurudi mpaka leo. Yupo hai? Kuna huu ujumbe aliotuambia

Jamani hebu mtutendee haki, hizo buku saba mnazolipwa na maharage mnayolishwa ni hela za kodi zetu sisi wavuja jasho, changieni hoja za maana basi.
Ndio maana mahakaman kila kitu huwa counted. Ukisema kapigwa risasi 38 lzm kuwe na ushahid

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani huko bavicha mtu akija na desa lolote hasi kwa serikali mnaliamini. Reasoning huko ni ZERO.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi mkuu mimi ni mkulima halisi nipo kijijini kwetu niko huku baada yakukosa ajira dar. Sipo kwenye chama chochote cha siasa. Ila nimepima hoja za vijana wa Lumumba wengi ni mazuzu posts zao nyingi ni utumbo na hazina mshiko. Wenzao posts zao zina mvuto na za kisomi. Hivyo mkuu ukiandika uwongo wa kipuuzi sitaacha kukuambia. Karibu kijijini mkuu tulime, nitakugaia ekari hata tano.
 
Endelea kulima mkuu.Kama umesoma hadi University na umeshindwa kuhoji inawezekanaje risasi 38 mtu apone,Ni wazi kukosa kwako ajira ni halali.Umeshindwa kuhoji kama lisu toka Dar alikua anafuatiliwa kwanini asiende polisi na yy akaenda kwenye social media?Kama Anatoka bungeni a anaona wanamfuata walewale na ye anaendelea na safari tu,Bado kwa hili hupati swali basi ni halali kuendelea kukosa ajira.Search BBC uone mahojiano yake, alipigwa Swali na mwandishi akabaki anazunguka zunguka tu.Shida yenu huko ufipa ni mwiko kuhoji jambo lolote linalomhusu lisu au Mbowe.kwamba hao ndio watakatifu wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu silaha ya kivita sina hakika nalo ila mimi nain Thank you mkuu.
 
Ndo maana nasema nchi huongozwa na wenye uelewa, walio wengi tunatakiwa kufuata tu! CHADEMA wanaposema wanataka wachunguzi wa nje wanategemea kukubaliwa? Gharama hiyo nani alipe? je, Huyo aliyepotea ni national treasure kiasi cha kukubali gharama kama hizo? Kenya walifanya ktk mauaji ya Ouko, aliyekuwa waziri ili kujikosha lakini ripoti ilipatikana kwa nani? Upende usipende, kuna watu ambao serikali iko tayari kuingia gharama na kuna watu tunapewa bei ndogo. Hiyo ni kote duniani.
Kama serikali ikikubali maoni ya CHADEMA uchunguzi ukifanyika na kuhusisha serikali, wataiona hiyo ripoti maana anayewaleta siyo CHADEMA ni serikali.
 

Mkuu kutudharau sisi wakulima ni hulka yenu kuwa hatuna akili ndio maana tunalima. Lakini maharage tunayo lima mnakula mpaka mnavimbiwa hayana kasoro. Mkuu utetezi wako hauna mashiko Nape alinyooshewa bastola mbele ya polisi, Picha ya mhusika ilionekana wazi kwenye media nyingi na hakuchukuliwa hatua zozote.
 
Kwani ni kosa Nape kunyoshewa bastola?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu sijui wewe ni wa nchi ipi lakini kwa mujibu wa katiba yetu uhai wa raia wote unadhamani sawa. Hakuna mwenye uhai wa thamani kuliko mwingine. Kuhusuu wachunguzi kutoka nnje serekali hakuambiwa igharamie walichoombwa ni kutoa kibali. Mheshimiwa kuhusu Lisu si anatibiwa kwa gharama isiyohusisha serekali. Pamoja na serekali kupewa ripoti lakini walio waita wangepewa yao pia.
 
Mkuu, ben saanane hakuondolewa whatsup kwa shinikizo, ila ni utaratibu wa whatsup ikikaa miezi sita bila kutumika, unaleft automatically. Ndicho kilitokea kwa Ben

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa, ili tuondokane na ‘UPUMBAVU’ huo, tuambie idadi ya risasi unazoona zingemtosha, alipigwa ngapi?
 
Taarifa ya polisi inasema risasi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…